ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
- Thread starter
- #41
Tatzo mleta mada hujui hata lolote unaloongea basi messi hakufaa kupewa tunzo toa sababu, haya akina muller walifaaa kupewa toa sababu pia? Kwa taarifa yako messi kawa man of the match mara nne mfululizo kati ya mechi saba alizocheza na pia kapiga basi hai nyingi kuliko hao unaowasema hapa!!
kumbe ndio vigezo!" basi wangenipa mimi hiyo 2nzo mana kwenye ndondo huku mtaani nafanya zaidi ya hivyo ..........