Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Nimesikitishwa na kitendo cha BASATA kumzuia msanii Ney wa Mitego kuandaa show huko Njombe hii sio mara ya kwanza na naona kuna kila dalili Ney wa Mitego akazuiliwa kualikwa kwenye matamasha yote ya muziki yanayofanyika nchini tayari kazi zake hazichezwi kwenye vituo vya habari
Kama kijana mwenzetu aliyeamua kujiingizia kipato kupitia sanaa yake ney wa mitego ni msanii vibao vyake vinagusa maisha ya wananchi wote hasa wanachama wa chadema lakini ameishia kupewa sifa tu
Hali hii inanishangaza kwanini viongozi wa CHADEMA hawataki kumtumia ney wa mitego hichi ndio chama kimejipambanua kupigania kubadili maisha ya watanzania endapo watapata ridhaa kuongoza nchi
Kwanini Ney wa Mitego kategwa licha ya kuonesha yupo pamoja na nyinyi kama mmeshindwa hili mtaweza kubadili maisha ya watanzania kama mnavyohubiri kwenye majukwaa
Kijana huyu kwa sasa hatoweza kuingiza kipato chochote tusisubiri mtu aumwe au apate matatizo
CHADEMA mmenivunja moyo sana kwa hili kumtenga Ney wa Mitego
Kama kijana mwenzetu aliyeamua kujiingizia kipato kupitia sanaa yake ney wa mitego ni msanii vibao vyake vinagusa maisha ya wananchi wote hasa wanachama wa chadema lakini ameishia kupewa sifa tu
Hali hii inanishangaza kwanini viongozi wa CHADEMA hawataki kumtumia ney wa mitego hichi ndio chama kimejipambanua kupigania kubadili maisha ya watanzania endapo watapata ridhaa kuongoza nchi
Kwanini Ney wa Mitego kategwa licha ya kuonesha yupo pamoja na nyinyi kama mmeshindwa hili mtaweza kubadili maisha ya watanzania kama mnavyohubiri kwenye majukwaa
Kijana huyu kwa sasa hatoweza kuingiza kipato chochote tusisubiri mtu aumwe au apate matatizo
CHADEMA mmenivunja moyo sana kwa hili kumtenga Ney wa Mitego