Kiongozi Miongoni
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 197
- 255
Redio free africa ina matatizo sana kuanzia kwenye menejiment mpaka watumishi, program pamoja na maudhui ya vipindi vyao.Kuna baadhi ya watangazaji ukiwasikia unapata haibu mwenyewe,sijui hii inasababishwa na ukweli kuwa hawalipwi mishahara kama ipasavyo au ni cheap labor?Kuna vipindi havivutii kabisa lakini kibaya zaidi siku hizi hata wanapojiunga na dw,bbc na voa huwa matangazo yanakatwa na kuweka matangazo ya wizara ya afya, sasa najiuliza je ni kweli kwamba wizara ya afya au wamekuwa wadhamini wa matangazo ya dw, bbc na voa?