Dah wana bahati sana hawa,ndio maana wanakua free kumove kutoka sehemu moja kwenda nyingine,hata maisha yakiwapiga wanarudi tu home.Mna bahati sana mliolelewa na wazazi wote wawili
Kuna story za Kitoabu pia ni nzuri hajaishia njianiUnakipaji kikubwa Sana Cha uandishi tangu nimejiunga jf 2014 ni wewe tu ndio nimesoma story yako na ukafika mwisho tena simulizi ya kweli bila blah blah ...
Fanyia kazi huo uandishi usiache kipawa kipotee.
Me nili lelewa na wazaz ambao walikua busy na kusaka maisha, hawakua care sana na sisi.Kama mdogo wangu wa tano na wa sita ni kama hawajalelewa na Mama.Alikua busy sana kusafir na biashara zake.Dah wana bahati sana hawa,ndio maana wanakua free kumove kutoka sehemu moja kwenda nyingine,hata maisha yakiwapiga wanarudi tu home.
Yote ya yote,jamaa anajua kusimulia na kupangilia matukio. Hongera sana Holly
๐๐๐ na rafiki angu mmoja kashaoa lakin anakwambia kutoka chaputa lbda akatwe mikono na miguu yote.na me bado ni mwanachama kimtindo mtindo ๐๐๐shukran sana dogo kwa ujasiri wa kuimaliza hii stori na kuwa msafi kabisa,
umeelezea umeacha wizi, utapeli, ukabaji, ugomvi, uzinzi. nk
but nakukumbusha tuh usije ukaacha na CHAPUTA ๐ ๐ ๐ nitakuw mpweke asee
๐๐๐ upo mpk lini Mkuu ila ubaya sasa Qilah yupo na Mama mkwe wake huko bush ila nikimtaka aje huku anakuja fastaMkuu holy holm mimi ni mgeni hapa Musoma. Stori yako imekuwa muongozo wangu kutalii hapa. Naweza kusema nimefika 100% ya maeneo ya Musoma uliyoyataja. Nimebakiza kumuona Qilah pekee ๐๐.
Nimeweka kambi hapa Mlima Mkendo.
View attachment 1763858
View attachment 1763861
View attachment 1763863
Nimesoma nae jamaa bweni moja kabisa RIPMkuu ulikuwa una mfahamu jamaa mmoja anaitwa Fredrick chilly kisaina Sasa hivi ni marehemu
Nipo mpaka wiki ijayo mkuu. Leo nimekuja mwanza mara moja. Nitakuja huko alhamisi๐๐๐ upo mpk lini Mkuu ila ubaya sasa Qilah yupo na Mama mkwe wake huko bush ila nikimtaka aje huku anakuja fasta
Hata mimi naishi nao Upareni, I know them in and outKufuta kwa ubaya gani kusema unaowajua huenda ni wazee? Mi nimeishi nao ndo maana nakwambia hivyo..when it comes kwenye imani yao they are good ila haimaanishi hawafanyi mengine..they are just like everybody else. Halafu sijaelewa hapo mwishoni umenichimba biti ama niaje mzee au huangalii hata mtu kajiunga lini jf
Hata 5yrs ni story mkuu, itakuwa upgraded baadae22/3 yrs unasimulia str ya maisha yako mkuu kweli?
Ukifikisha 42/3 utarudi tena kusimulia?
Lkn kiukweli makundi yale Makhirikhiri na mengine dah yalikuwa htr sana!
Nakumbuka kwenye story yake nilisoma mahali amenunua Kitanda na Godoro akavipeleka kwa rafiki ,.baadae sikujua alivipeleka wapi,.nahisi kuna mahali nimeruka.mkuu umenifurahisha sana ulivyoenda kuchukua godoro lako kwa yule mal***