Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

shukrani sana , la kujifunza lipo, la kuburudisha pia , all in all usipomua qailah jua tu hutakaa upate tena pisi kama hiyo maishaa yako yote ,, ila broo ua so luck fala ww
😂😂🤣🤣 lazima uwe mjanja mjanja u survive, hii pisi kuicha labdaa cjui.
 
Holy kama holy big up kwa story,sasa nakupa mchongo nataka umfanyie tukio jamaa flan keegan paul maana ametusubirisha hatuelewi nn kinaendelea ukishindwa tumpelekee wahuni wetu wa tarime wakamalize kazi
😂😂😂 aisee, muheshimiwa kama muheshimiwa
 
Hongera sana na imekuwa heri kuwa sasa hutamani kuiba tena, ila kuhusu kutapeli nna shaka kuwa umeisha,
Ila mi ni muimbaji nataka unitengenezee beat kama vipi tupatane bei tupige kazi

Stori yako ni nzuri sana imeniburudisha mno,
Asante sana
nichek pm tuyajenge kama upo serious
 
Target yako ilikua ngumi ya pua na mdomo sipat picha aibu aliyopata konda
😂😂 ngoja nikuhadithie kidogo, Siku hyo kwenye hyo hiace niliyoipanda, kama bahat nilikutana na demu mmoja nilishawahi kumtongoza mwaka 2017 kipind tumeenda nyamongo kutoa huduma ya kiroho.Sasa cku hyo nilikutana nae alikua anatoka chuo mwanza anaenda Nyamongo.

Nilikaa nae siti pamoja na mdada mmoja alikua anatoka dar anaelekea tarime ( alikua hapajui, kuna mtu alikua ana mdairect kwenye simu ).siku pia nilikua nimewekwa kati, huyo manzi wa chuo alikua kakaa mkono wangu wa kulia na huyo wa dar alikua mkono wangu wa kushoto.

Hicho kitu nacho kilichangia konda kuudhika maana alimsemesha huyo mdada alie kuwa anatoka dar, huyo mdada akamkazia hatari.Aliumia sana alivyokia anaona me naongea na wote ndo akaleta ufala wake wa kikuda wa kunipandishia nauli.

Alipata linalo mstahili cku hyo.
 

Nimesoma story yako na umekuwa mu wazi sana. Jambo moja ninaliona ni kwamba Mungu anakupenda sana na ninafikiri ana makusudi na maisha yako ndiyo maana bado unaishi. Kwa ushauri wa kiroho ninaomba usome maandiko yafuatayo:-​

Isaya 1:18-20 "Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu. 19Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi; 20bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya."

Rumi 10:9-12 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao."

Matahyo 11: 18-20- Yesu anasema "Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."

Yohana 1:12 " Bali wote waliompokea (Yesu) na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe."

Ufunuo 3:20 "Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami."

2 Koritho 5:17-19 "Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho; yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba".

Yohana 14:6 "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."



 

Nimesoma story yako na umekuwa mu wazi sana. Jambo moja ninaliona ni kwamba Mungu anakupenda sana na ninafikiri ana makusudi na maisha yako ndiyo maana bado unaishi. Kwa ushauri wa kiroho ninaomba usome maandiko yafuatayo:-​

Isaya 1:18-20 "Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu. 19Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi; 20bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya."

Rumi 10:9-12 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao."

Matahyo 11: 18-20- Yesu anasema "Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."

Yohana 1:12 " Bali wote waliompokea (Yesu) na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe."

Ufunuo 3:20 "Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami."

2 Koritho 5:17-19 "Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho; yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba".

Yohana 14:6 "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."



Imeandikwa maneno ya hekima sana,,,,japo style ya uandishi wako imekua ya kishamba sana.
 
Inaendelea


Nawashukuru sana tena wale tuliyokua pamoja kwenye huu uzi.Nilikua nasita sana kuelezea haya maisha yangu, asanteni kwa mlio nitia moyo Pm na hata hapa kwenye comment, bila kuwasahau wale mlio nivunja moyo pm na hapa ila chakuwaambia ni kuwa MAISHA NI HAYA HAYA.


Wazazi na ndugu zangu licha ya kuwaaibisha lakini bado huwaambii kitu kuhusu mimi ( wananipenda), kuna watu nilikua siwapendi yani siwapendi bila wao kujua kama siwapendi.Hicho kitendo kilikua kinasabisha nawachukia na nikikuchukua lazma nikulie njama yoyote ile, mfano mwalimu wangu wa piano enzi hizo nilikua simpendi nikimuona anavyoimba na jinsi watu wanavyopenda kipaji chake nilikuwa nachukia mpk cku moja nilimchomesha kwa muhuni wangu ( saiv ni marehemu ) akamteka simu mbili kali.

Mwingine nae ni jamaa fulani hivi sahiv ni jamaa wa faida kwangu kabisa nae nilikua cmpendi sema huyu ckumfanyia baya lolote.Nakumbuka cku nimeongea nae cku hyo hyo tukawa marafiki wakubwa sana.Tena huyu bila hiyana alinipa Xbox yake aliyopewa na Mama yake kutoka Uingereza, Alinipa bure kabisa bila hiyana na ninayo mpk saiv ila ni mbovu.

Nilisha nusulika kifo kwenye ajali ya pikipiki niliipata pale kona ya baruti, nilikua mwenyewe kwakweli Mungu mkubwa sana na alikua ananipenda sana.


Yule rafiki tuliye kuwa tunateka nae watu simu, mwaka 2012 yeye saivi ni marehemu.Alikufa mwaka 2014 kwa ajali ya pikipiki, walikufa wawili yeye na swahiba wake, nasikia walikua wametoka kupiga tukio sasa speed waliyokua nayo ilikua kubwa sana, pikipiki iligongana na land kruza, japo cjui nitakufaje lakin jamaa angu alikufa vby sana.


Mwaka jana kipind najiandaa kwenda Arusha niimpoteza tena rafiki angu kwa ajali ya pikipiki, cku hyo ilikua jumapili majira ya saa tano alikuja ofisin kwangu ( Ps ), alikua yupo yeye na rafiki zake wawili.Walicheza ps mpk kwenye saa kumi jioni wakasepa.Neno lake la mwisho alinambia "Hakikisha tunaonana leo usiku we fala" akimaanisha kuwa usiku huo tuwe wote kwenye happy birthday ya mdada mmoja hivi ilikua inafanyika palm Beach ( jirani na bwalo la police ).

Hiyo usiku ckuonana nae maana nilikua busy tu na mambo yangu.Kesho yake asubui tu naingia whatsapp naona kawekwa status kuwa kafariki.Niliumia sana yani ila ndo ivo mipango ya Mungu.Alipata ajali pale jirani benki ya crdb majira ya usiku saa saba akiwa anatoka kwenye hyo sherehe.


Mambo ni mengi sana yani kuyaweka yote itabidi tena nianze kusimulia na huku nilishaaga.Mungu mkubwa sana niseme ananipenda maana hebu fikiria kwa hayo yote aliyonitendea bado niko vizuri kiafya na hata kiuchumi (najimudu na nina mmudu Qilah wangu ) ingawa pia wazazi wananivusha nikikwama.

Tutende mema ili tuishi vizur bila hofu yoyote ila sometimes kuwa mgumu kidogo pale unapoona inatakiwa kuwa hivyo.Usipende kuwa dhaifu tu muda wote.Kama kuna Konda mmoja siyo konda msafi ni hawa makonda wa hiace za kwenda Tarime kutoka musoma.

Ni mwaka huu tu nilikua naenda kijiji fulani hivi kiko karbu na kinesi ( kuruya ) sasa nauli ni 3000 na tulikubaliana na huyo konda kuwa ni hyo bei sasa alikuja kunigeuka kipindi anakusanya nauli, nilimpa hyo buku tatu akadai nauli ni buku nne.Nilimwambia vizur toka saa ngap nauli imepanda. tulibisha sana mpk tulipofika pale darajani kinesi kwenye ile check point konda alimwambia dereva akasimamisha gar alafu konda akanichomesha kwa wale maafande kuwa cna nauli alafu naleta fujo.

Nilikua mpole nikamuanyesha afande mmoja nauli yangu na nikakubali kumlipa konda hyo buku nne.Sasa tulivyofika hapo kuruya gari lilpaki pembeni nikampa nauli konda, kwa vile nilikua na kamzigo kalikua kwenye buti nilimwambia konda anitolee.Napo alivyotoa ule mzigo akadai niulipie tena Buku, nilimwambia nishaulipia maana nauli ni 3k ko hyo 4k niliyompa buku ni ya mzigo.

Konda alinitukana akafu kwa sauti mpk abiria wakawa wanackia pamoja na bodaboda waliyokua hapo pembeni mwa barabara.Neno lililo nikera ni alivyonambia "Unafikiri hili gari ni la baba yako mpk utupangie nauli" nilimpiga konda ngumi ya mdomo akakasirika zaidi tena nikampiga ngumi yenyewe ya pua mpk damu zilimtoka.Dereva alimpa lichuma flani lilikua ndani ya ile gari eti anipige nalo.Nilikimbia kuelekea kule Center na uzuri ni kwamba huyo konda aliangua chini alivyokua akinifukuza, nilivyoona kaangu niliokota likuni nilimpiga nalo mgongoni.nilivyoona nimempiga kisawa sawa nilichukua mzigo wangu nikadandia boda huyo nikasepa.Dereva hakuamini kama nimeondoka maana alijarbu kunikimbiza lakin holaa.


Huyo konda aliyataka mwenyewe na kiukweli cjutii kabisa kumpiga hata cku nikionana nae akitaka ngumi tutazipga tu.


Saivi Holy ni mtu safie kabisa tena mcheshi mpenda masihara. Tena leo baada ya cku nyingi kutokwenda kanisani nimejumuika na wenzangu na tena nimeimba japo nilianza kusahau baadhi ya note.

Biashara ndo inaniweka mjini na kupiga beat ndo kunaniondolea stress kama nikiwa nazo bila kuwa sahau Ndugu zangu, rafiki zangu wa faida bila kumsahau Mama la Mama Qilah nampenda sana.


mcute tu fanya urudi Musoma unipe visa vyako ulivyonisimulia tukiwa sehemu yoyte nzuri

Asanteni sana najihisi sina Deni kabisa ikiwa kuna mtu anaswali akiniuliza nitamjibu hapa au Pm.



Mwisho
Hongera sana kwa kubadilika na kuwatu mwema, tumeburudika sana na story yako ,asante sana
 
Inaendelea


Nawashukuru sana tena wale tuliyokua pamoja kwenye huu uzi.Nilikua nasita sana kuelezea haya maisha yangu, asanteni kwa mlio nitia moyo Pm na hata hapa kwenye comment, bila kuwasahau wale mlio nivunja moyo pm na hapa ila chakuwaambia ni kuwa MAISHA NI HAYA HAYA.


Wazazi na ndugu zangu licha ya kuwaaibisha lakini bado huwaambii kitu kuhusu mimi ( wananipenda), kuna watu nilikua siwapendi yani siwapendi bila wao kujua kama siwapendi.Hicho kitendo kilikua kinasabisha nawachukia na nikikuchukua lazma nikulie njama yoyote ile, mfano mwalimu wangu wa piano enzi hizo nilikua simpendi nikimuona anavyoimba na jinsi watu wanavyopenda kipaji chake nilikuwa nachukia mpk cku moja nilimchomesha kwa muhuni wangu ( saiv ni marehemu ) akamteka simu mbili kali.

Mwingine nae ni jamaa fulani hivi sahiv ni jamaa wa faida kwangu kabisa nae nilikua cmpendi sema huyu ckumfanyia baya lolote.Nakumbuka cku nimeongea nae cku hyo hyo tukawa marafiki wakubwa sana.Tena huyu bila hiyana alinipa Xbox yake aliyopewa na Mama yake kutoka Uingereza, Alinipa bure kabisa bila hiyana na ninayo mpk saiv ila ni mbovu.

Nilisha nusulika kifo kwenye ajali ya pikipiki niliipata pale kona ya baruti, nilikua mwenyewe kwakweli Mungu mkubwa sana na alikua ananipenda sana.


Yule rafiki tuliye kuwa tunateka nae watu simu, mwaka 2012 yeye saivi ni marehemu.Alikufa mwaka 2014 kwa ajali ya pikipiki, walikufa wawili yeye na swahiba wake, nasikia walikua wametoka kupiga tukio sasa speed waliyokua nayo ilikua kubwa sana, pikipiki iligongana na land kruza, japo cjui nitakufaje lakin jamaa angu alikufa vby sana.


Mwaka jana kipind najiandaa kwenda Arusha niimpoteza tena rafiki angu kwa ajali ya pikipiki, cku hyo ilikua jumapili majira ya saa tano alikuja ofisin kwangu ( Ps ), alikua yupo yeye na rafiki zake wawili.Walicheza ps mpk kwenye saa kumi jioni wakasepa.Neno lake la mwisho alinambia "Hakikisha tunaonana leo usiku we fala" akimaanisha kuwa usiku huo tuwe wote kwenye happy birthday ya mdada mmoja hivi ilikua inafanyika palm Beach ( jirani na bwalo la police ).

Hiyo usiku ckuonana nae maana nilikua busy tu na mambo yangu.Kesho yake asubui tu naingia whatsapp naona kawekwa status kuwa kafariki.Niliumia sana yani ila ndo ivo mipango ya Mungu.Alipata ajali pale jirani benki ya crdb majira ya usiku saa saba akiwa anatoka kwenye hyo sherehe.


Mambo ni mengi sana yani kuyaweka yote itabidi tena nianze kusimulia na huku nilishaaga.Mungu mkubwa sana niseme ananipenda maana hebu fikiria kwa hayo yote aliyonitendea bado niko vizuri kiafya na hata kiuchumi (najimudu na nina mmudu Qilah wangu ) ingawa pia wazazi wananivusha nikikwama.

Tutende mema ili tuishi vizur bila hofu yoyote ila sometimes kuwa mgumu kidogo pale unapoona inatakiwa kuwa hivyo.Usipende kuwa dhaifu tu muda wote.Kama kuna Konda mmoja siyo konda msafi ni hawa makonda wa hiace za kwenda Tarime kutoka musoma.

Ni mwaka huu tu nilikua naenda kijiji fulani hivi kiko karbu na kinesi ( kuruya ) sasa nauli ni 3000 na tulikubaliana na huyo konda kuwa ni hyo bei sasa alikuja kunigeuka kipindi anakusanya nauli, nilimpa hyo buku tatu akadai nauli ni buku nne.Nilimwambia vizur toka saa ngap nauli imepanda. tulibisha sana mpk tulipofika pale darajani kinesi kwenye ile check point konda alimwambia dereva akasimamisha gar alafu konda akanichomesha kwa wale maafande kuwa cna nauli alafu naleta fujo.

Nilikua mpole nikamuanyesha afande mmoja nauli yangu na nikakubali kumlipa konda hyo buku nne.Sasa tulivyofika hapo kuruya gari lilpaki pembeni nikampa nauli konda, kwa vile nilikua na kamzigo kalikua kwenye buti nilimwambia konda anitolee.Napo alivyotoa ule mzigo akadai niulipie tena Buku, nilimwambia nishaulipia maana nauli ni 3k ko hyo 4k niliyompa buku ni ya mzigo.

Konda alinitukana akafu kwa sauti mpk abiria wakawa wanackia pamoja na bodaboda waliyokua hapo pembeni mwa barabara.Neno lililo nikera ni alivyonambia "Unafikiri hili gari ni la baba yako mpk utupangie nauli" nilimpiga konda ngumi ya mdomo akakasirika zaidi tena nikampiga ngumi yenyewe ya pua mpk damu zilimtoka.Dereva alimpa lichuma flani lilikua ndani ya ile gari eti anipige nalo.Nilikimbia kuelekea kule Center na uzuri ni kwamba huyo konda aliangua chini alivyokua akinifukuza, nilivyoona kaangu niliokota likuni nilimpiga nalo mgongoni.nilivyoona nimempiga kisawa sawa nilichukua mzigo wangu nikadandia boda huyo nikasepa.Dereva hakuamini kama nimeondoka maana alijarbu kunikimbiza lakin holaa.


Huyo konda aliyataka mwenyewe na kiukweli cjutii kabisa kumpiga hata cku nikionana nae akitaka ngumi tutazipga tu.


Saivi Holy ni mtu safie kabisa tena mcheshi mpenda masihara. Tena leo baada ya cku nyingi kutokwenda kanisani nimejumuika na wenzangu na tena nimeimba japo nilianza kusahau baadhi ya note.

Biashara ndo inaniweka mjini na kupiga beat ndo kunaniondolea stress kama nikiwa nazo bila kuwa sahau Ndugu zangu, rafiki zangu wa faida bila kumsahau Mama la Mama Qilah nampenda sana.


mcute tu fanya urudi Musoma unipe visa vyako ulivyonisimulia tukiwa sehemu yoyte nzuri

Asanteni sana najihisi sina Deni kabisa ikiwa kuna mtu anaswali akiniuliza nitamjibu hapa au Pm.



Mwisho
Mafanikio mema kaka tunashukuru kwa kutushirikisha mikasa uliyopitia katika maisha yako mengi ya kujifunza mazuri,hatuishi kuwa bora ila tunakuwa bora kwa kuyaona yale tuliyopitia yapo kwa ajili ya kutujenga. Cha mwisho si kila mtu anaweza kuthubutu kama wewe kuwa muwazi. Ni kwa neema tu mkuu Mungu aliyokujalia na kutumika kuwa baraka kuokoa wengine.
 

Nimesoma story yako na umekuwa mu wazi sana. Jambo moja ninaliona ni kwamba Mungu anakupenda sana na ninafikiri ana makusudi na maisha yako ndiyo maana bado unaishi. Kwa ushauri wa kiroho ninaomba usome maandiko yafuatayo:-​

Isaya 1:18-20 "Haya, njoni, tusemezane, asema BWANA. Dhambi zenu zijapokuwa nyekundu sana, zitakuwa nyeupe kama theluji; zijapokuwa nyekundu kama bendera, zitakuwa kama sufu. 19Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi; 20bali kama mkikataa na kuasi mtaangamizwa kwa upanga; maana kinywa cha BWANA kimenena haya."

Rumi 10:9-12 "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu. Kwa maana andiko lanena, Kila amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hakuna tofauti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao."

Matahyo 11: 18-20- Yesu anasema "Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi."

Yohana 1:12 " Bali wote waliompokea (Yesu) na kumwamini aliwapa haki ya kufanywa watoto wa Mungu. 13 Hawa hawakuwa watoto wa Mungu kwa kuzaliwa kwa njia ya asili, wala kwa mapenzi au mipango ya watu bali wamezaliwa na Mungu mwenyewe."

Ufunuo 3:20 "Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami."

2 Koritho 5:17-19 "Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho; yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba".

Yohana 14:6 "Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi."
thanks so much ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻
 
Back
Top Bottom