GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
Hahahaaa we uliona wapi unaenda kufumaniwa eti unapigiwa simu na dem unaemfuata kumfumania hadi anakuja kukupokeaNimecheka mabishoo walivoingia cha kike na kukutana na watot wa mbwa mwitu wakapotezwa vibaya sana aijulikan waliingilia wapi walichukuklia poa poa tu upanga uka wa kosa kosa
Ndo matokeo yake kibao kikageuka akataka kifirw@ yeye akaanza kulia lia halaf watu wanampotezea hadi mvuvi anachangia kuwa apigwe tu
Na yeye ndo akasaini karatasi ya kufumaniwa na fidia laki 2 juu na maumivu😅😅😅😅