Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Kwenye kila uzi lazima kuwe na wakuda tuu kujifanya wao ndo wema sanaa kumbe mingine mifiraji tuu. Wee tupe story tunajifunza na kujua

Kuna jamaa amekuja kuharibu uzi ........kama yule mshikaji .....alietuharibia kwa RWANDA MAGERE


ANyway .,mtoa post tupe mavitu
huku kwa muhuni hawezi kuharibu kitu labda ataharibika yeye
 
Inaendelea


Wakati tunasubiria muda wa kuhama ufike, nilikua nimetulia tu yaani niko home siingi tena kuiba nipo tu sana nilichokua nafaidi ni kumgonga yule mdada ( ndugu yake na jamaa )...Maana home nilikua na baki mimi madogo wapo skuli, tulifanya ni jojo aisee na yule mdada alikua ana bwana ake ( alinambia ana mchumba wake )....

Niwarudishe nyuma kidogo kabla cjaendelea mbele kusimulia.

2017nahis kati ya mwezi wa 4 au 5 kuna mkutano wa Atape ( Mambo ya Ujasiriamali ) ulifanyika katika ukumbi wa Mcc saiv ni Open University, basi ilikua ni kila kanisa litoe watu wawili na zaid kwa ajili ya kuwakilisha kanisa.

Kanisani kwangu walichagua watu wa wawili wa kuweza kuhudhuria huo mkutano ( Mkutano ulikua ni mkubwa sana ), watu walio chaguliwa ni alikua jamaa fulani na Mama mmoja.

Huyo jamaa alikubali lakin baadae akatoa udhuru basi huyo Mama akanipendekeza mimi nikawakilishe Kanisa ( wahumini walicheka kusika mimi nimetajwa )...basi nilikubari kwenda ( mimi ni nani hadi nikatae kazi ya BWANA ).

Mkutano ulikua unaanza jumapili na ulikua ni wa siku 4 ( kama sijakosea ),huu mkutano niliufananisha na KAMATA FURSA TWENDE ZETU wa CLOUDS Fm, maana nilyoyakuta ni mambo ya fursa.

Mkutano pia ulikua na kiingilio ( 60k ) kwa kila mmoja, kanisa lilitakiwa kutulipia hyo heka ambayo walinambia watanipa jumapili ya mkutano, huyo Mama yeye alijilipia maana ana hela sana.

Jumapili ilifika nikaenda mkutanoni, watu walikua ni wengi wamekuja kupata madini kutoka kwa watu mbalimbali walio alikwa ( motivation speaker hawakukosa )...nilifika lakin hela ya kiingilio nilikua cjapewa bado ko nilisubir lakin sikupewa ila kuingia ndan niliingia na nikawasikiliza hao ma motivator wanavyo rahisisha maisha kwa hesabu zao za kichwani.


Kesho nilirudi tena nikakutana na yule Mama tuliyo teuliwa nae kuwakilisha kanisa, aliniita na kuniomba samahani kwa kutokuja jana ( kumbe yeye ndo alipewa ile hela anipe )..nilimwambia asijali, basi akanipa zile hela na kunielekeza sehemu ya kuzipeleka.

Aisee nilipeewa hyo 60k ya kiingilio pamoja na 30k kwa ajili ya msosi wa siku zote za mkutano, nilimpelekea huyo cjui ndo alikua muhazini lakin naona alikua bize alafu na alikua anaringa, nampa hela ananambia nisubir bado ana kazi ( na huku hata hana kazi, nikasema sitoi hela na kuingia ndan nitaingia, maana jana c niliingia fresh tu niliona kanisaidia maisha )...nilienda stationary nikanunua note book, na pen nikarud mkutanoni nilimuona jamaa mmoja kaweka kitambulisho kwenye mfuko wa nyuma wa jeans na hana hata habari kama nipo...watu walikua wengi basi katika ile movement nilikichukua kitambulisho chakee ( uzur vilikua havina picha wala majina ) bila ya yeye kujua, nikasema hapa kazi nimemaliza.

Niliingia mkutanoni nilikuta vipindi vishaanza na ulikua ni muda wa ushuhuda wa wajasiriamali n.k

Hapo mdo nilichoka na shuhuda za watu ( motivation speaker ) mara nilianza na robo heka saiv na hakari 200 za mashamba ya mapapai, mara cjui nilianza kuuza karanga baada ya kuuza smartphone yangu now nina kampuni na blah blah nyingine kibao.nilikua naona sielewi kitu naandika vipoint kwa vile tu ilikua lazima nikaelezee kanisa nini nimejifunza na mimi niwafundishe.

Kesho yake tena nilienda mkutanoni siku hyo kweli fursa ilinijia yenyewe ko niliitumia kisawasawa.Kuna Jamaa mmoja cmjui na alikua hanijui, aliniita tu dogo njoo nikupe kazi.

Kazi ilikua ni muuzie cd za ma motivation speaker basi nilikubali maana alisema jioni ataniachia chochote kile. Nilimuuliza cd zipo ngap alikua hajui zipo ngapi ( alikisia tu ) basi nikasema fursa hiyo acha niikalie


Mchana walikuja Jamaa wawili ( mmoja ni teacher wangu wa piano ) mpk kwenye meza niliyokuepo tukawa tupo watatu, niliona wao ni kama vikwazo kwangu.Sikujali walikua wanashangaa tu jinsi navyouza, nikiuza cd moja hela naweka mfuko wa pembeni na nikiuza ya pili hela naweka mfuko mwingine, waliuliza vipi wewe jamaa, niliwaambia bila kupepesa macho. wangefanyaje sasa na huku wananijuaga nikiudhika.

Jioni ilifika muda wa kutawanyika jamaa mwenye cd akaja nikampa hela za mauzo huku nikiwa na wasi wasi kama jamaa lbda alkua ananitega lakin alihesaby hela na kunipa 20k ya soda akanambia kesho napo nimuuizie ckupinga ( me ni nani nikatae kazi ).

Hiyo 20k niliwapa hao washkaji zangu wakanunue vocha, nilifika home nikahesabu zile hela za mfuko wa pembeni nikakuta 55k ( cd mmoja ilikua ni sh 5k ).

Kesho ilifika nikaenda mkutanoni kama kawa wale jamaa nilio wapa ile 20k walini text wakanambia niwaelekeze mahali nilipo nikawambia kuwa nipo pale pa jana, walikuja nika kaa nao tukawa tunapiga stor, mara akaja yule jamaa wa cd kama kawaida na cd akanipa nianze kuuza.Cku hyo nilipiga pesa chafu, niliwagawia wale jamaa maana wao ndo nilikua nawapa wanitunzie.

Kufupisha habar ni kuwa niliamua kutumia fursa kwenye watoa fursa jamaa huyo wa cd nilimdharau sana maana niliona hayuko serious na biashara yake, pilika pilika zake zilikua ni faida kwangu.

Mkutano ulivyoisha sasa muda wa ku represent kile nilichokipata huko nilitumia tu vipoint vile vichache nilivyo viandika yule Mama ndo alikua mwokozi wangu maana yeye ndo alikua anaongea sana kuliko mimi.

Washiriki walitupa Amina na maisha yaliendelea ikabaki ni siri yangu na wale jamaa.

Mungu anisamehe tena kwa hili tukio


Nitarudi tena.
 
Inaendelea


Wakati tunasubiria muda wa kuhama ufike, nilikua nimetulia tu yaani niko home siingi tena kuiba nipo tu sana nilichokua nafaidi ni kumgonga yule mdada ( ndugu yake na jamaa )...Maana home nilikua na baki mimi madogo wapo skuli, tulifanya ni jojo aisee na yule mdada alikua ana bwana ake ( alinambia ana mchumba wake )....

Niwarudishe nyuma kidogo kabla cjaendelea mbele kusimulia.

2017nahis kati ya mwezi wa 4 au 5 kuna mkutano wa Atape ( Mambo ya Ujasiriamali ) ulifanyika katika ukumbi wa Mcc saiv ni Open University, basi ilikua ni kila kanisa litoe watu wawili na zaid kwa ajili ya kuwakilisha kanisa.

Kanisani kwangu walichagua watu wa wawili wa kuweza kuhudhuria huo mkutano ( Mkutano ulikua ni mkubwa sana ), watu walio chaguliwa ni alikua jamaa fulani na Mama mmoja.

Huyo jamaa alikubali lakin baadae akatoa udhuru basi huyo Mama akanipendekeza mimi nikawakilishe Kanisa ( wahumini walicheka kusika mimi nimetajwa )...basi nilikubari kwenda ( mimi ni nani hadi nikatae kazi ya BWANA ).

Mkutano ulikua unaanza jumapili na ulikua ni wa siku 4 ( kama sijakosea ),huu mkutano niliufananisha na KAMATA FURSA TWENDE ZETU wa CLOUDS Fm, maana nilyoyakuta ni mambo ya fursa.

Mkutano pia ulikua na kiingilio ( 60k ) kwa kila mmoja, kanisa lilitakiwa kutulipia hyo heka ambayo walinambia watanipa jumapili ya mkutano, huyo Mama yeye alijilipia maana ana hela sana.

Jumapili ilifika nikaenda mkutanoni, watu walikua ni wengi wamekuja kupata madini kutoka kwa watu mbalimbali walio alikwa ( motivation speaker hawakukosa )...nilifika lakin hela ya kiingilio nilikua cjapewa bado ko nilisubir lakin sikupewa ila kuingia ndan niliingia na nikawasikiliza hao ma motivator wanavyo rahisisha maisha kwa hesabu zao za kichwani.


Kesho nilirudi tena nikakutana na yule Mama tuliyo teuliwa nae kuwakilisha kanisa, aliniita na kuniomba samahani kwa kutokuja jana ( kumbe yeye ndo alipewa ile hela anipe )..nilimwambia asijali, basi akanipa zile hela na kunielekeza sehemu ya kuzipeleka.

Aisee nilipeewa hyo 60k ya kiingilio pamoja na 30k kwa ajili ya msosi wa siku zote za mkutano, nilimpelekea huyo cjui ndo alikua muhazini lakin naona alikua bize alafu na alikua anaringa, nampa hela ananambia nisubir bado ana kazi ( na huku hata hana kazi, nikasema sitoi hela na kuingia ndan nitaingia, maana jana c niliingia fresh tu niliona kanisaidia maisha )...nilienda stationary nikanunua note book, na pen nikarud mkutanoni nilimuona jamaa mmoja kaweka kitambulisho kwenye mfuko wa nyuma wa jeans na hana hata habari kama nipo...watu walikua wengi basi katika ile movement nilikichukua kitambulisho chakee ( uzur vilikua havina picha wala majina ) bila ya yeye kujua, nikasema hapa kazi nimemaliza.

Niliingia mkutanoni nilikuta vipindi vishaanza na ulikua ni muda wa ushuhuda wa wajasiriamali n.k

Hapo mdo nilichoka na shuhuda za watu ( motivation speaker ) mara nilianza na robo heka saiv na hakari 200 za mashamba ya mapapai, mara cjui nilianza kuuza karanga baada ya kuuza smartphone yangu now nina kampuni na blah blah nyingine kibao.nilikua naona sielewi kitu naandika vipoint kwa vile tu ilikua lazima nikaelezee kanisa nini nimejifunza na mimi niwafundishe.

Kesho yake tena nilienda mkutanoni siku hyo kweli fursa ilinijia yenyewe ko niliitumia kisawasawa.Kuna Jamaa mmoja cmjui na alikua hanijui, aliniita tu dogo njoo nikupe kazi.

Kazi ilikua ni muuzie cd za ma motivation speaker basi nilikubali maana alisema jioni ataniachia chochote kile. Nilimuuliza cd zipo ngap alikua hajui zipo ngapi ( alikisia tu ) basi nikasema fursa hiyo acha niikalie


Mchana walikuja Jamaa wawili ( mmoja ni teacher wangu wa piano ) mpk kwenye meza niliyokuepo tukawa tupo watatu, niliona wao ni kama vikwazo kwangu.Sikujali walikua wanashangaa tu jinsi navyouza, nikiuza cd moja hela naweka mfuko wa pembeni na nikiuza ya pili hela naweka mfuko mwingine, waliuliza vipi wewe jamaa, niliwaambia bila kupepesa macho. wangefanyaje sasa na huku wananijuaga nikiudhika.

Jioni ilifika muda wa kutawanyika jamaa mwenye cd akaja nikampa hela za mauzo huku nikiwa na wasi wasi kama jamaa lbda alkua ananitega lakin alihesaby hela na kunipa 20k ya soda akanambia kesho napo nimuuizie ckupinga ( me ni nani nikatae kazi ).

Hiyo 20k niliwapa hao washkaji zangu wakanunue vocha, nilifika home nikahesabu zile hela za mfuko wa pembeni nikakuta 55k ( cd mmoja ilikua ni sh 5k ).

Kesho ilifika nikaenda mkutanoni kama kawa wale jamaa nilio wapa ile 20k walini text wakanambia niwaelekeze mahali nilipo nikawambia kuwa nipo pale pa jana, walikuja nika kaa nao tukawa tunapiga stor, mara akaja yule jamaa wa cd kama kawaida na cd akanipa nianze kuuza.Cku hyo nilipiga pesa chafu, niliwagawia wale jamaa maana wao ndo nilikua nawapa wanitunzie.

Kufupisha habar ni kuwa niliamua kutumia fursa kwenye watoa fursa jamaa huyo wa cd nilimdharau sana maana niliona hayuko serious na biashara yake, pilika pilika zake zilikua ni faida kwangu.

Mkutano ulivyoisha sasa muda wa ku represent kile nilichokipata huko nilitumia tu vipoint vile vichache nilivyo viandika yule Mama ndo alikua mwokozi wangu maana yeye ndo alikua anaongea sana kuliko mimi.

Washiriki walitupa Amina na maisha yaliendelea ikabaki ni siri yangu na wale jamaa.

Mungu anisamehe tena kwa hili tukio


Nitarudi tena.

Mkuu wewe noma,eti jamaa aliweka kitambulisho mfuko wa nyuma wakati holy holm yupo eneo la tukio
 
Inaendelea


Wakati tunasubiria muda wa kuhama ufike, nilikua nimetulia tu yaani niko home siingi tena kuiba nipo tu sana nilichokua nafaidi ni kumgonga yule mdada ( ndugu yake na jamaa )...Maana home nilikua na baki mimi madogo wapo skuli, tulifanya ni jojo aisee na yule mdada alikua ana bwana ake ( alinambia ana mchumba wake )....

Niwarudishe nyuma kidogo kabla cjaendelea mbele kusimulia.

2017nahis kati ya mwezi wa 4 au 5 kuna mkutano wa Atape ( Mambo ya Ujasiriamali ) ulifanyika katika ukumbi wa Mcc saiv ni Open University, basi ilikua ni kila kanisa litoe watu wawili na zaid kwa ajili ya kuwakilisha kanisa.

Kanisani kwangu walichagua watu wa wawili wa kuweza kuhudhuria huo mkutano ( Mkutano ulikua ni mkubwa sana ), watu walio chaguliwa ni alikua jamaa fulani na Mama mmoja.

Huyo jamaa alikubali lakin baadae akatoa udhuru basi huyo Mama akanipendekeza mimi nikawakilishe Kanisa ( wahumini walicheka kusika mimi nimetajwa )...basi nilikubari kwenda ( mimi ni nani hadi nikatae kazi ya BWANA ).

Mkutano ulikua unaanza jumapili na ulikua ni wa siku 4 ( kama sijakosea ),huu mkutano niliufananisha na KAMATA FURSA TWENDE ZETU wa CLOUDS Fm, maana nilyoyakuta ni mambo ya fursa.

Mkutano pia ulikua na kiingilio ( 60k ) kwa kila mmoja, kanisa lilitakiwa kutulipia hyo heka ambayo walinambia watanipa jumapili ya mkutano, huyo Mama yeye alijilipia maana ana hela sana.

Jumapili ilifika nikaenda mkutanoni, watu walikua ni wengi wamekuja kupata madini kutoka kwa watu mbalimbali walio alikwa ( motivation speaker hawakukosa )...nilifika lakin hela ya kiingilio nilikua cjapewa bado ko nilisubir lakin sikupewa ila kuingia ndan niliingia na nikawasikiliza hao ma motivator wanavyo rahisisha maisha kwa hesabu zao za kichwani.


Kesho nilirudi tena nikakutana na yule Mama tuliyo teuliwa nae kuwakilisha kanisa, aliniita na kuniomba samahani kwa kutokuja jana ( kumbe yeye ndo alipewa ile hela anipe )..nilimwambia asijali, basi akanipa zile hela na kunielekeza sehemu ya kuzipeleka.

Aisee nilipeewa hyo 60k ya kiingilio pamoja na 30k kwa ajili ya msosi wa siku zote za mkutano, nilimpelekea huyo cjui ndo alikua muhazini lakin naona alikua bize alafu na alikua anaringa, nampa hela ananambia nisubir bado ana kazi ( na huku hata hana kazi, nikasema sitoi hela na kuingia ndan nitaingia, maana jana c niliingia fresh tu niliona kanisaidia maisha )...nilienda stationary nikanunua note book, na pen nikarud mkutanoni nilimuona jamaa mmoja kaweka kitambulisho kwenye mfuko wa nyuma wa jeans na hana hata habari kama nipo...watu walikua wengi basi katika ile movement nilikichukua kitambulisho chakee ( uzur vilikua havina picha wala majina ) bila ya yeye kujua, nikasema hapa kazi nimemaliza.

Niliingia mkutanoni nilikuta vipindi vishaanza na ulikua ni muda wa ushuhuda wa wajasiriamali n.k

Hapo mdo nilichoka na shuhuda za watu ( motivation speaker ) mara nilianza na robo heka saiv na hakari 200 za mashamba ya mapapai, mara cjui nilianza kuuza karanga baada ya kuuza smartphone yangu now nina kampuni na blah blah nyingine kibao.nilikua naona sielewi kitu naandika vipoint kwa vile tu ilikua lazima nikaelezee kanisa nini nimejifunza na mimi niwafundishe.

Kesho yake tena nilienda mkutanoni siku hyo kweli fursa ilinijia yenyewe ko niliitumia kisawasawa.Kuna Jamaa mmoja cmjui na alikua hanijui, aliniita tu dogo njoo nikupe kazi.

Kazi ilikua ni muuzie cd za ma motivation speaker basi nilikubali maana alisema jioni ataniachia chochote kile. Nilimuuliza cd zipo ngap alikua hajui zipo ngapi ( alikisia tu ) basi nikasema fursa hiyo acha niikalie


Mchana walikuja Jamaa wawili ( mmoja ni teacher wangu wa piano ) mpk kwenye meza niliyokuepo tukawa tupo watatu, niliona wao ni kama vikwazo kwangu.Sikujali walikua wanashangaa tu jinsi navyouza, nikiuza cd moja hela naweka mfuko wa pembeni na nikiuza ya pili hela naweka mfuko mwingine, waliuliza vipi wewe jamaa, niliwaambia bila kupepesa macho. wangefanyaje sasa na huku wananijuaga nikiudhika.

Jioni ilifika muda wa kutawanyika jamaa mwenye cd akaja nikampa hela za mauzo huku nikiwa na wasi wasi kama jamaa lbda alkua ananitega lakin alihesaby hela na kunipa 20k ya soda akanambia kesho napo nimuuizie ckupinga ( me ni nani nikatae kazi ).

Hiyo 20k niliwapa hao washkaji zangu wakanunue vocha, nilifika home nikahesabu zile hela za mfuko wa pembeni nikakuta 55k ( cd mmoja ilikua ni sh 5k ).

Kesho ilifika nikaenda mkutanoni kama kawa wale jamaa nilio wapa ile 20k walini text wakanambia niwaelekeze mahali nilipo nikawambia kuwa nipo pale pa jana, walikuja nika kaa nao tukawa tunapiga stor, mara akaja yule jamaa wa cd kama kawaida na cd akanipa nianze kuuza.Cku hyo nilipiga pesa chafu, niliwagawia wale jamaa maana wao ndo nilikua nawapa wanitunzie.

Kufupisha habar ni kuwa niliamua kutumia fursa kwenye watoa fursa jamaa huyo wa cd nilimdharau sana maana niliona hayuko serious na biashara yake, pilika pilika zake zilikua ni faida kwangu.

Mkutano ulivyoisha sasa muda wa ku represent kile nilichokipata huko nilitumia tu vipoint vile vichache nilivyo viandika yule Mama ndo alikua mwokozi wangu maana yeye ndo alikua anaongea sana kuliko mimi.

Washiriki walitupa Amina na maisha yaliendelea ikabaki ni siri yangu na wale jamaa.

Mungu anisamehe tena kwa hili tukio


Nitarudi tena.
Sawa rudi tunakusubiri
 
Inaendelea


Wakati tunasubiria muda wa kuhama ufike, nilikua nimetulia tu yaani niko home siingi tena kuiba nipo tu sana nilichokua nafaidi ni kumgonga yule mdada ( ndugu yake na jamaa )...Maana home nilikua na baki mimi madogo wapo skuli, tulifanya ni jojo aisee na yule mdada alikua ana bwana ake ( alinambia ana mchumba wake )....

Niwarudishe nyuma kidogo kabla cjaendelea mbele kusimulia.

2017nahis kati ya mwezi wa 4 au 5 kuna mkutano wa Atape ( Mambo ya Ujasiriamali ) ulifanyika katika ukumbi wa Mcc saiv ni Open University, basi ilikua ni kila kanisa litoe watu wawili na zaid kwa ajili ya kuwakilisha kanisa.

Kanisani kwangu walichagua watu wa wawili wa kuweza kuhudhuria huo mkutano ( Mkutano ulikua ni mkubwa sana ), watu walio chaguliwa ni alikua jamaa fulani na Mama mmoja.

Huyo jamaa alikubali lakin baadae akatoa udhuru basi huyo Mama akanipendekeza mimi nikawakilishe Kanisa ( wahumini walicheka kusika mimi nimetajwa )...basi nilikubari kwenda ( mimi ni nani hadi nikatae kazi ya BWANA ).

Mkutano ulikua unaanza jumapili na ulikua ni wa siku 4 ( kama sijakosea ),huu mkutano niliufananisha na KAMATA FURSA TWENDE ZETU wa CLOUDS Fm, maana nilyoyakuta ni mambo ya fursa.

Mkutano pia ulikua na kiingilio ( 60k ) kwa kila mmoja, kanisa lilitakiwa kutulipia hyo heka ambayo walinambia watanipa jumapili ya mkutano, huyo Mama yeye alijilipia maana ana hela sana.

Jumapili ilifika nikaenda mkutanoni, watu walikua ni wengi wamekuja kupata madini kutoka kwa watu mbalimbali walio alikwa ( motivation speaker hawakukosa )...nilifika lakin hela ya kiingilio nilikua cjapewa bado ko nilisubir lakin sikupewa ila kuingia ndan niliingia na nikawasikiliza hao ma motivator wanavyo rahisisha maisha kwa hesabu zao za kichwani.


Kesho nilirudi tena nikakutana na yule Mama tuliyo teuliwa nae kuwakilisha kanisa, aliniita na kuniomba samahani kwa kutokuja jana ( kumbe yeye ndo alipewa ile hela anipe )..nilimwambia asijali, basi akanipa zile hela na kunielekeza sehemu ya kuzipeleka.

Aisee nilipeewa hyo 60k ya kiingilio pamoja na 30k kwa ajili ya msosi wa siku zote za mkutano, nilimpelekea huyo cjui ndo alikua muhazini lakin naona alikua bize alafu na alikua anaringa, nampa hela ananambia nisubir bado ana kazi ( na huku hata hana kazi, nikasema sitoi hela na kuingia ndan nitaingia, maana jana c niliingia fresh tu niliona kanisaidia maisha )...nilienda stationary nikanunua note book, na pen nikarud mkutanoni nilimuona jamaa mmoja kaweka kitambulisho kwenye mfuko wa nyuma wa jeans na hana hata habari kama nipo...watu walikua wengi basi katika ile movement nilikichukua kitambulisho chakee ( uzur vilikua havina picha wala majina ) bila ya yeye kujua, nikasema hapa kazi nimemaliza.

Niliingia mkutanoni nilikuta vipindi vishaanza na ulikua ni muda wa ushuhuda wa wajasiriamali n.k

Hapo mdo nilichoka na shuhuda za watu ( motivation speaker ) mara nilianza na robo heka saiv na hakari 200 za mashamba ya mapapai, mara cjui nilianza kuuza karanga baada ya kuuza smartphone yangu now nina kampuni na blah blah nyingine kibao.nilikua naona sielewi kitu naandika vipoint kwa vile tu ilikua lazima nikaelezee kanisa nini nimejifunza na mimi niwafundishe.

Kesho yake tena nilienda mkutanoni siku hyo kweli fursa ilinijia yenyewe ko niliitumia kisawasawa.Kuna Jamaa mmoja cmjui na alikua hanijui, aliniita tu dogo njoo nikupe kazi.

Kazi ilikua ni muuzie cd za ma motivation speaker basi nilikubali maana alisema jioni ataniachia chochote kile. Nilimuuliza cd zipo ngap alikua hajui zipo ngapi ( alikisia tu ) basi nikasema fursa hiyo acha niikalie


Mchana walikuja Jamaa wawili ( mmoja ni teacher wangu wa piano ) mpk kwenye meza niliyokuepo tukawa tupo watatu, niliona wao ni kama vikwazo kwangu.Sikujali walikua wanashangaa tu jinsi navyouza, nikiuza cd moja hela naweka mfuko wa pembeni na nikiuza ya pili hela naweka mfuko mwingine, waliuliza vipi wewe jamaa, niliwaambia bila kupepesa macho. wangefanyaje sasa na huku wananijuaga nikiudhika.

Jioni ilifika muda wa kutawanyika jamaa mwenye cd akaja nikampa hela za mauzo huku nikiwa na wasi wasi kama jamaa lbda alkua ananitega lakin alihesaby hela na kunipa 20k ya soda akanambia kesho napo nimuuizie ckupinga ( me ni nani nikatae kazi ).

Hiyo 20k niliwapa hao washkaji zangu wakanunue vocha, nilifika home nikahesabu zile hela za mfuko wa pembeni nikakuta 55k ( cd mmoja ilikua ni sh 5k ).

Kesho ilifika nikaenda mkutanoni kama kawa wale jamaa nilio wapa ile 20k walini text wakanambia niwaelekeze mahali nilipo nikawambia kuwa nipo pale pa jana, walikuja nika kaa nao tukawa tunapiga stor, mara akaja yule jamaa wa cd kama kawaida na cd akanipa nianze kuuza.Cku hyo nilipiga pesa chafu, niliwagawia wale jamaa maana wao ndo nilikua nawapa wanitunzie.

Kufupisha habar ni kuwa niliamua kutumia fursa kwenye watoa fursa jamaa huyo wa cd nilimdharau sana maana niliona hayuko serious na biashara yake, pilika pilika zake zilikua ni faida kwangu.

Mkutano ulivyoisha sasa muda wa ku represent kile nilichokipata huko nilitumia tu vipoint vile vichache nilivyo viandika yule Mama ndo alikua mwokozi wangu maana yeye ndo alikua anaongea sana kuliko mimi.

Washiriki walitupa Amina na maisha yaliendelea ikabaki ni siri yangu na wale jamaa.

Mungu anisamehe tena kwa hili tukio


Nitarudi tena.
Shusha nondo mkuu shusha nondo
 
*Habarini ndugu zangu, siku ya leo imekua ni mbaya kwangu na hata kwa taifa.Leo asubui nimepokea taarifa ya msiba wa Kaka angu ( wa ukoo ), kafariki Arusha kwa tatizo la upumuuaji.

Mniwie radhi nimalize msiba ili niendelee kuleta story yangu.

R.I.P Mr President

R.I.P My dear brother*🙏🏻
 
*Habarini ndugu zangu, siku ya leo imekua ni mbaya kwangu na hata kwa taifa.Leo asubui nimepokea taarifa ya msiba wa Kaka angu ( wa ukoo ), kafariki Arusha kwa tatizo la upumuuaji.

Mniwie radhi nimalize msiba ili niendelee kuleta story yangu.

R.I.P Mr President

R.I.P My dear brother*🙏🏻
pole sana mkuu
 
*Habarini ndugu zangu, siku ya leo imekua ni mbaya kwangu na hata kwa taifa.Leo asubui nimepokea taarifa ya msiba wa Kaka angu ( wa ukoo ), kafariki Arusha kwa tatizo la upumuuaji.

Mniwie radhi nimalize msiba ili niendelee kuleta story yangu.

R.I.P Mr President

R.I.P My dear brother*🙏🏻
Pole sana kiongoz. I hope ulishaacha matukio maana ingekua enzi zako hapo lazma ungeenda kutembea na fursa
 
*Habarini ndugu zangu, siku ya leo imekua ni mbaya kwangu.Leo asubui nimepokea taarifa ya msiba wa Kaka angu ( wa ukoo ), kafariki Arusha kwa tatizo la upumuuaji.

Mniwie radhi nimalize msiba ili niendelee kuleta story yangu.

R.I.P My dear brother*

Pole sana Mkuu.
Apumzike Kwa Amani Bro wako.
 
Back
Top Bottom