Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Nashukuru sana mkuu tuzid kuombeana tutende mema.
 
Asante Sana mkuu holy holm kwa kuhadithia Mikasa na matukio ya maisha yako.
Nimefurahi Sana kuisoma story. Ila daah bado najiuliza hivi kumbe kwenye makambi ya kiroho Kuna wengine mnatongozana na mnanyanduana fresh!!
Sana tu, watu wananyanduana fresh tu maana si unakuta tupo maporini huko ko kunyaduana sio shida.

Ila me cjawai kufanya hicho kitu
 

Hatari sana...
Chapter closed...
 
Uzi wako una mafunzo makubwa mno...pole kwa changamoto zote lakini nikupongeze kwa kubadirika...mshike Mungu sana maana kwa matukio hayo,hakika amehifadhi na kulinda uhai wako mno.
 
Uzi wako una mafunzo makubwa mno...pole kwa changamoto zote lakini nikupongeze kwa kubadirika...mshike Mungu sana maana kwa matukio hayo,hakika amehifadhi na kulinda uhai wako mno.
Umenibariki kwa hii komenti
 
Una brain 🧠 Boss uko sharp sana
 
Imeandikwa maneno ya hekima sana,,,,japo style ya uandishi wako imekua ya kishamba sana.
Aiisee samahani. Mimi si mwandishi. The Word of wisdom as you said is from the Bible. Words were taken from swahil bible version. Sasa hapo ushamba wangu ni upi. Ulitaka niandike vipi mheshimiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…