Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,690
walikua hawana namba ya nida na sio hao tu kuna kadogo kengine kalijileta na buku jero cku hyo hyo eti nikasajilie line.Hyo buku jero niliiweka halo pesa nikaunga kifurushi cha mega bando.




walikua hawana namba ya nida na sio hao tu kuna kadogo kengine kalijileta na buku jero cku hyo hyo eti nikasajilie line.Hyo buku jero niliiweka halo pesa nikaunga kifurushi cha mega bando.




Hivi yule manzi wa kisiwani uliyekua unapiga kwa mkopo iliishia wapi!walikua hawana namba ya nida na sio hao tu kuna kadogo kengine kalijileta na buku jero cku hyo hyo eti nikasajilie line.Hyo buku jero niliiweka halo pesa nikaunga kifurushi cha mega bando.
holy holm Nasema Holly unafaa sana kuwa diwani na hata Mbunge. Uandishi umeuweza, nimekutunuku cheo cha kuwa ‘ Muhamasishaji" a.k.a motivational speaker.
Tatizo una vipaji vingi, sijui umeamua kuanza na kipi. Unaweza kuwa, mganga, mfanya biashara mkubwa, mchungaji mzuri, mwimbaji, mwandishi, DJ.
Sijui ndoto zako ukiwa mdogo zilikuwa ni zipi? Lakini Amini kuna makusudi ambayo umeumbwa uje utimize hapa duniani, endelea kuomba kwa imani yako kusudi mapenzi yake juu yako yatimie. Pengine uweze kushuhudia wajukuu na vitukuu vya uzao wako. Amen
Duh upo nae mpaka sasaHongera kwa kupata mke, nakumbuka mke wangu naye nilimpata kwa staili inayofanana.... Demu alileta bag akakomaa haondoki huku alisisitiza yeye ndio mke Mungu kanipa, nikawa mkali nikampa mateso yote aliyashinda
![]()
Mbona kama kule Nyuma, ulisema utakuja kumuuelezea huko mbele.?mbn nilimuelezea..kwa ufupi tu alikua mshenzi sana
Si ndio huyo ambae alielezea kua yeye Holy alimpa huyo manzi godoro lake ambalo alinunua aanze life lake, lakini badae uyo manzi akawa ana mambo ya kiwaki holy akamwambia kua anaenda fata godoro lake manzi akasema njoo fata kimalika chako ..... holy akafata manzi alijua utani ................Mbona kama kule Nyuma, ulisema utakuja kumuuelezea huko mbele.?
Au ulishamuelezea mimi ndio nimesahau?
Maana matukio ni mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa sawa nimeipata.Si ndio huyo ambae alielezea kua yeye Holy alimpa huyo manzi godoro lake ambalo alinunua aanze life lake, lakini badae uyo manzi akawa ana mambo ya kiwaki holy akamwambia kua anaenda fata godoro lake manzi akasema njoo fata kimalika chako ..... holy akafata manzi alijua utani ................
nimemuelezea humu ngoja niitafuteMbona kama kule Nyuma, ulisema utakuja kumuuelezea huko mbele.?
Au ulishamuelezea mimi ndio nimesahau?
Maana matukio ni mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishaipa Fundi, we Shusha mambo za mbele hizi zisikusumbue.nimemuelezea humu ngoja niitafute
HahahaaaKuna watu mapimbi line kusajiliwa hadi upewe kesho![]()
Kuna watu waliwadanganya kwamba ukienda mkoa unaweza kumpa mtu milioni akutunzie bila kuandikishianajamaa walipigwa msibani 😂😂😂
nahis hao ni wanaume wa kinondon chips unatuma uletewe