Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea.....

Maisha baada ya shule siku ya penda kukaa tu nyumbani asubui mpk jioni ilikua ni Tabu kwangu.Mzee alitaka nirudie shule nilikubali ila sema utekelezaji wake ukawa hafifu ko niliamua kusaka vibarua mtaani me na rafiki angu mmoja hivi tulikutana naye church.Vibarua kupata ilikua shida sana.

Kuna Mradi mkubwa wa maji ulikua ukiendelea kujengwa.Vijana ni kama waliishia hapo kwenye mradi kujaribu bahat yao.Me na rafiki angu huyo wa church pia tulikua miongoni mwa hao vijana.Mradi ulikua upo sehemu moja inaitwa Bukanga.Ni mbali na tulipokuwa naishi ila tulikua tunawai asubui sana kujaribu bahat yetu lakin mara nyingi tulikua tuna angukia pua.

Siku zilienda ila kuna siku huyo rafiki angu alipata no Fundi mmoja ( sijui nimuite tu injinia )...basi bna jamaa alifanya mawasiliano kupitia simu yangu na huyo fundi.Cha ajabu alivyokuwa anaongea na huyo fundi alijipigia promo mwenyewe badala aseme kuwa tupo wawili tunaotaka kazi yeye akajiombea mwenyewe.Walimkubalia kuanza kazi Jumapili siku hyo ilikua ni Jumatano.Jamaa alinirudishia Simu akanambia amefanikiwa so me nilijiongeza kibingwa tu kumtafuta kwa baade na mimi nijiombee.Usiku wake nilijarbu kumpigia lkn sikua na salio nilimuomba Mama simu nikamtafuta hakuwa anapatikana kwa huo Muda.Kesho yake Alhamisi nilikua na natoka kwenye huo mradi wa Maji, njiani nilisoma Poster moja hivi kwenye msitima lilikua ni Tangazo la Nafasi ya kazi.Kazi haikuandikwa hapo kwenye hilo Tangazo, basi nilichukua No zao na kwenda kumuomba Mama simu yake iliniwasiliane nao hao watu.

Niliwapigia simu wakapokea na kunielekeza sehemu walipo ( walikua wanapatikana KAMUNYONGE SOKONI ).wakanambia niende ijumaa kwenye Interview basi bna nilisubir ijumaa ikafika nikavaa siku ki gentleman, Mama akanitakia mafanikio mema.

Nilifika kwenye hizo ofisi za hao wenyekazi.Watu waliokuwa wanataka kazi walikua wengi sana hadi nikajisemea Moyoni kuwa " sipati kitu hapa nimejisumbua bure tu "....nilienda nikajiunga na wenzangu kusubiria interview na kweli ikafika zamu yangu kuingia kufanyiwa interview.Nilkuta watu watatu ndani ya ofisi niliulizwa vimaswli kisha nikaruhisiwa kutoka nje kusubiria majibu.

Basi mmoja wa hao staff alitoka nje na karatasi kuongea na sisi,alitwambia watu wanao hitajika kwa ajili ya Kazi ni kumi tu, me nilkua na uhakika simo kwa watao chaguliwa.Ila me nilikuemo kwa waliochaguliwa.Tuliambiwa tuingie wote ofisini kwa ajili ya maelekezo.Huko ndani ndo nilibaki mdomo wazi.Kumbe kazi ilikua ni zile zakutembeza vipodozi ( umachinga ) mtaani.Sikupenda hata na muda huo walitwambia kuwa jumatatu tunaanza kazi, walitaka tukija jtatu twende na paspot size mbili na barua ya utambulisho wa mkaazi.Niliwakubalia tu kishingo upande kisha nikasepa kwenda home huku najiona mnyonge.

Nilifika home mama akanambia kuwa yule fundi alipiga simu ( maana kuna text nilimtumia ).Kumbe Huyo fundi alivyopiga simu Mama aliongea nae na kumweleza hali yangu naku niombea kazi.Yule fundi alikubali na kutaka jpili nikaanze kazi.Nilifurahi sana na kuanza kuingojea siku ya jumapili kwa hamu kubwa...

Itaendelea tena....
Mna bahati sana mliolelewa na wazazi wote wawili
 
Inaendelea

Kuna kipindi maisha yanakua matamu sana yani furaha kama yote na kuna kipindi maisha hua hayana maana kabisa yani unataman mpaka kufa.

Qilah wangu niseme alikuja kibahati sana ( accidentally ) sikua na mawazo kabisa kama nitakuja kuishi nae cku moja.

Mwaka huu mwezi wa 1 alipata msiba kwao huko Arusha ilikua ni must aende me nilisema siendi nae.Nilijua kabisa harudi tena bush kwetu.

Kwa jinsi alivyo afananii kabisa na wa kukaa bush, alikaa wiki mbili tu nikashangaa mtoto huyo karud tena aliniletea viraba flan hivi vikali sema tu vilinipwaya .

Wale wadem zangu wa nyuma ckua nimewaacha kwa kuwaambia tofauti na yule mywangu ndo nilimtema kwa kumwambia.

Mwezi wa kwanza huo huo kipindi qilah alikua msibani Lizy alinitafuta cku hyo akaanza mambo yake sasa kulalamika kuwa nimemtenga wala cmjali kihisia wala kimaendeleo.

Sikua na lamaana sana la kumwambia zaid tu ya kumdanganya.Kuna cku alinitumia text ndefu ya malalamiko ya kutosha akaniuliza kama nipo musoma tuonane nae.Nilimpotezea tu maana me na wadangaji saiv nawakwepa.

Siku moja Qilah alikua kasharud bush sasa cku hyo nilienda bush kuwaona.Niliugua tena yani nilikua natetemeka hatar.Niliamua kwenda zahanati, qilah alinisindikiza.Sasa tumefika Zahanati kulikua na watu wengi sana.So foleni ilihusika niliamua me kukaa chini ya mti ulikua hapo kando ya zahanati.

Qilah yeye alikua mapokez anachukua kadi, alivyorud kwangu alinambia nimuelekeze dukani.Me mwenyewe ckua najua maduka maana bush nilikua sio mwenyeji kabisa.

Alielekezwa na Mmama mmoja hivi, maduka yalikua mbali kidogo.Alipanda boda kwenda kununua daftari ( ilikua ni lazima uwe na daftar ili utibiwe ).kipindi amesepa nilikua tu nimekaa nimeegemea mti najiskia vibaya.Niliamua kutoa simu yngu mfukoni nikaanza kupiga piano.

Yalikua ni mazoea yangu kupiga piano kwenye simu sasa wakat napiga piano kuna jamaa mmoja ni Msimbiti.Alivutiwa na nilivyokua napiga ko alikuja akakaa karbu yangu, sasa alikua yuko so interested na mimi navyopiga piano.

Japokua nilikua naumwa niliamua kuzidisha manjonjo ( nikiona mtu yupo interest na ninachokifnya basi hua najiskia raha )....nili muoshea sana, yaan nilitoa piano nikaweka App ya ORG 21 nikaanza kupiga beat.Jamaa uzalendo ulimshinda akaamua kunisemesha.


Alianza na yeye kujisifia, wakat anaendelea kujisifia Qilah wangu alikua kasharud na daftar, sasa na yeye alikua ana msikiliza huyo msimbiti na sifa zake.Msimbiti aliongea wee mwishoe akaniuliza atapata wapi mtu amtengenezee beat, maana yeye ni mwimbaji wa nyimbo za asili.

Nilimwambia mbn me ni producer ( nilimwambia huku namuangalia qilah wangu usoni )..msimbit alinambia kuwa wimbo mmoja narekodia shngp.Nilimwambia kwani we hua unarekodia shngp,akasema ndo anataka kuanza muziki.

Nilimwambia hutaweza muziki bora heka yako ufanye mambo mengine.Nilimwambia aimbe kidogo tumsikie, alivyoimba qilah ni mjinga alishindwa kujizuia alicheka mpaka na mimi nilicheka japo nilikua naumwa .

Nilimwambia kurekod ina bei yake na kupiga beat kuna bei zake, nilimwambia me natengeneza beats tu kurekod labda jamaa angu mmoja ndo atamaliza show.Nilimwambia beat ni 100k ila yeye kwa vile kaonyesha nia nitamfanyia 70k tu.Hata hakubisha lakin alinambia hana pesa kwa muda ule, ko akadai nimpe no zangu aje kunitafuta.Nilimpa afu tukaendelea na story nyingine ila yeye ndo alikua muongeaji mkuu akitupa story za madisko ya usimbitini.


Saa nane mchana ilifika ndo tukapata huduma pake zahanati.Niliingia chumba cha daktar na qilah, Dokta aliniuliza kama itakua ni vyema Qilah aendelee kubaki ama atoke nje ili dotka aniulize maswali yake.Nilimwambia ata akiwepo ni frsh tu haina shida maana ni mtu wangu wa karibu.

Dokta alianza ooh eti ni lazima kupima ukimwi pale mtu akienda kutibiwa.Nilimwambia kupima c ni hiari ya mtu.Alitwambia mambo mengi ila sana tu alidai kuwa walikua wanataka kujua ni wanakijiji wangap wanaish na vvu...Nilikubali kupima ckua na hofu sana.Nilienda maabara nikapimwa h.I.v pamoja na magonjwa mengine.

Majibu yalitoka nipo vizur kiafya ( sina ukimwi ) ila tu malaria kama kawaida hua haituachi, nilipewa dawa tukasepa kurud home.

Siku hyo Qilah aliniuliza kama kweli me napiga beats nilimwambia me najua ila sio sana ko nilimwambia atulie time hela.Hakua na usemi zaid ya kuguna tu.

Zilipita cku mbili yule msimbit alinitafuta tens cku hyo ilikua cku ya mnada.tulikutana nae mnadani, alininunulia soda ( Pepsi ) wakat hua nikampa simu yngu ajirekod I'll niweze kumpigia beats.Aliimba wee na watu walkua wanatushangaa.Alivyomaliza nikajarbu palepalee kupiga beats kwenye org 21 nikashindwa ( nyimbo za asili kwangu no ngumu ) nikamshawish kwanini nisimpe beat moja hivi aiimbie, alitaka nimsikilizishe nikamsikilizisha.

Hiyo beat niliitengeneza nikiwa Arusha sasa nilikua nayo tu kwenye simu.Jamaa aliipenda hyo beats akanipa 50k kwanza nyingne akadai atanipa akipata, nilimmaind kidogo kwa kunipa hela nusu ( nilikua nazuga tu )...nilimuaga nikapanda zangu gar kurud home nauli buku tu.


Nilifika home nikampa qilah 20k atumie ( nilikua nampenda )...nili Brock namba ya yule msimbit ckutaka anitafute tena.

Kabla cjasimulia hiki kisa hapa Jf nilimsimulia qilah kwanza lakin ni baadh ya matukio, cku msimulia yote lakin yeye alinielewa hata akushangaa.


nitarejea tena.
 
Inaendelea

Kuna kipindi maisha yanakua matamu sana yani furaha kama yote na kuna kipindi maisha hua hayana maana kabisa yani unataman mpaka kufa.

Qilah wangu niseme alikuja kibahati sana ( accidentally ) sikua na mawazo kabisa kama nitakuja kuishi nae cku moja.

Mwaka huu mwezi wa 1 alipata msiba kwao huko Arusha ilikua ni must aende me nilisema siendi nae.Nilijua kabisa harudi tena bush kwetu.

Kwa jinsi alivyo afananii kabisa na wa kukaa bush, alikaa wiki mbili tu nikashangaa mtoto huyo karud tena aliniletea viraba flan hivi vikali sema tu vilinipwaya .

Wale wadem zangu wa nyuma ckua nimewaacha kwa kuwaambia tofauti na yule mywangu ndo nilimtema kwa kumwambia.

Mwezi wa kwanza huo huo kipindi qilah alikua msibani Lizy alinitafuta cku hyo akaanza mambo yake sasa kulalamika kuwa nimemtenga wala cmjali kihisia wala kimaendeleo.

Sikua na lamaana sana la kumwambia zaid tu ya kumdanganya.Kuna cku alinitumia text ndefu ya malalamiko ya kutosha akaniuliza kama nipo musoma tuonane nae.Nilimpotezea tu maana me na wadangaji saiv nawakwepa.

Siku moja Qilah alikua kasharud bush sasa cku hyo nilienda bush kuwaona.Niliugua tena yani nilikua natetemeka hatar.Niliamua kwenda zahanati, qilah alinisindikiza.Sasa tumefika Zahanati kulikua na watu wengi sana.So foleni ilihusika niliamua me kukaa chini ya mti ulikua hapo kando ya zahanati.

Qilah yeye alikua mapokez anachukua kadi, alivyorud kwangu alinambia nimuelekeze dukani.Me mwenyewe ckua najua maduka maana bush nilikua sio mwenyeji kabisa.

Alielekezwa na Mmama mmoja hivi, maduka yalikua mbali kidogo.Alipanda boda kwenda kununua daftari ( ilikua ni lazima uwe na daftar ili utibiwe ).kipindi amesepa nilikua tu nimekaa nimeegemea mti najiskia vibaya.Niliamua kutoa simu yngu mfukoni nikaanza kupiga piano.

Yalikua ni mazoea yangu kupiga piano kwenye simu sasa wakat napiga piano kuna jamaa mmoja ni Msimbiti.Alivutiwa na nilivyokua napiga ko alikuja akakaa karbu yangu, sasa alikua yuko so interested na mimi navyopiga piano.

Japokua nilikua naumwa niliamua kuzidisha manjonjo ( nikiona mtu yupo interest na ninachokifnya basi hua najiskia raha )....nili muoshea sana, yaan nilitoa piano nikaweka App ya ORG 21 nikaanza kupiga beat.Jamaa uzalendo ulimshinda akaamua kunisemesha.


Alianza na yeye kujisifia, wakat anaendelea kujisifia Qilah wangu alikua kasharud na daftar, sasa na yeye alikua ana msikiliza huyo msimbiti na sifa zake.Msimbiti aliongea wee mwishoe akaniuliza atapata wapi mtu amtengenezee beat, maana yeye ni mwimbaji wa nyimbo za asili.

Nilimwambia mbn me ni producer ( nilimwambia huku namuangalia qilah wangu usoni )..msimbit alinambia kuwa wimbo mmoja narekodia shngp.Nilimwambia kwani we hua unarekodia shngp,akasema ndo anataka kuanza muziki.

Nilimwambia hutaweza muziki bora heka yako ufanye mambo mengine.Nilimwambia aimbe kidogo tumsikie, alivyoimba qilah ni mjinga alishindwa kujizuia alicheka mpaka na mimi nilicheka japo nilikua naumwa .

Nilimwambia kurekod ina bei yake na kupiga beat kuna bei zake, nilimwambia me natengeneza beats tu kurekod labda jamaa angu mmoja ndo atamaliza show.Nilimwambia beat ni 100k ila yeye kwa vile kaonyesha nia nitamfanyia 70k tu.Hata hakubisha lakin alinambia hana pesa kwa muda ule, ko akadai nimpe no zangu aje kunitafuta.Nilimpa afu tukaendelea na story nyingine ila yeye ndo alikua muongeaji mkuu akitupa story za madisko ya usimbitini.


Saa nane mchana ilifika ndo tukapata huduma pake zahanati.Niliingia chumba cha daktar na qilah, Dokta aliniuliza kama itakua ni vyema Qilah aendelee kubaki ama atoke nje ili dotka aniulize maswali yake.Nilimwambia ata akiwepo ni frsh tu haina shida maana ni mtu wangu wa karibu.

Dokta alianza ooh eti ni lazima kupima ukimwi pale mtu akienda kutibiwa.Nilimwambia kupima c ni hiari ya mtu.Alitwambia mambo mengi ila sana tu alidai kuwa walikua wanataka kujua ni wanakijiji wangap wanaish na vvu...Nilikubali kupima ckua na hofu sana.Nilienda maabara nikapimwa h.I.v pamoja na magonjwa mengine.

Majibu yalitoka nipo vizur kiafya ( sina ukimwi ) ila tu malaria kama kawaida hua haituachi, nilipewa dawa tukasepa kurud home.

Siku hyo Qilah aliniuliza kama kweli me napiga beats nilimwambia me najua ila sio sana ko nilimwambia atulie time hela.Hakua na usemi zaid ya kuguna tu.

Zilipita cku mbili yule msimbit alinitafuta tens cku hyo ilikua cku ya mnada.tulikutana nae mnadani, alininunulia soda ( Pepsi ) wakat hua nikampa simu yngu ajirekod I'll niweze kumpigia beats.Aliimba wee na watu walkua wanatushangaa.Alivyomaliza nikajarbu palepalee kupiga beats kwenye org 21 nikashindwa ( nyimbo za asili kwangu no ngumu ) nikamshawish kwanini nisimpe beat moja hivi aiimbie, alitaka nimsikilizishe nikamsikilizisha.

Hiyo beat niliitengeneza nikiwa Arusha sasa nilikua nayo tu kwenye simu.Jamaa aliipenda hyo beats akanipa 50k kwanza nyingne akadai atanipa akipata, nilimmaind kidogo kwa kunipa hela nusu ( nilikua nazuga tu )...nilimuaga nikapanda zangu gar kurud home nauli buku tu.


Nilifika home nikampa qilah 20k atumie ( nilikua nampenda )...nili Brock namba ya yule msimbit ckutaka anitafute tena.

Kabla cjasimulia hiki kisa hapa Jf nilimsimulia qilah kwanza lakin ni baadh ya matukio, cku msimulia yote lakin yeye alinielewa hata akushangaa.


nitarejea tena.
Mkuu nilijua umeokoka kumbe bado unaendelea kupiga matukio
 
Kula ugali na kijiko nishawai wakat nipo boding school ilikua ugali wa dona unapakuliwa kwenye sahan yako then mboga pitku au chaina unamwagiwa humo humo sasa lile supu linaloanisha ugali ukilia na mkono uji mtupu solution ni kijko
 
...mwanamke kumuwin ni kitu kidg sana...jitahid uwe smart vby sana ..yaan mzidi kwa kila aspect...atakua ana adabu mwanamke anataka akikupa challenge uitatue...yaan hata kama huna ujuzi na kicho kitu basi jitahid uwezavyo ukinga'amue...! Mwe sijui nielezeje...binafsi mm napenda mwanaume anizidi sana sana yaan iwe 20/80! Ukweli ntastick sana na ww ntahis niko safe mno...! Sio unaambiwa changamoto ndogo unaanza tena muuliza mwanamke wako TUNAFANYEJE!!..
Kuna siku nilibeba mkaa gunia kubwa basi buti haikufunga nikajisahau kbs kuhusu trafiki dah akanidaka ..bas nikawaeleza watu wawili jaman ttafiki amenidaka na mm sitak kumpa hela...mmoja akaniambia dah sasa tunafanyeje! Mwinginr akaniambia nipe simu niongee naye..nikampa..akampa somo mie najitikisa tu najua trafiki hachomoi...na kweli nikarudishiwa key nikasepa kwa mbwembwee....umeona sasa ..sasa mm nakuambia nimeshikwa unaniambia tunafanyeje?? kufa!
Nimejifunza kitu hapa.
 
Back
Top Bottom