Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea


Wakati nikiwa bush nilikua nikikaa alone basi nilikua namkumbuka sana hyo Manzi hyo hari ilikua inanitesa moyoni.

Pindi ndugu zangu wamekuja nao bush atleast nika avoid hyo situation...bro wangu alinambia kuwa kanitafutia kazi kiwandani ko niende kupiga kazi kuliko kukaa home bila kazi maalumu.

Nilikubali na kiwanda kilikua kiko Arusha nilitakiwa mwezi wa nne niwe Arusha kuanza kazi ( sikuambiwa na sikuuliza kiwanda kinatengeneza nini ).....lakini kutokana na Korona kupamba moto sana kiwanda kilisitisha kwa muda kupokea watu.

Ilibidi nisubir mpk waanze kuchukua tena watu....bush nilikaa mwez mmoja nikapachoka kutokana kaz ya kupalilia aaah...kiukweli ckuweza niliamua kurud tu musoma kwa vile Nyumban kwao mama ni wakulima wa mpunga, Bibi kizaa Mama alinituma gunia mbili na Nusu..ko mimi nilichukua kilo 80 ili nikifika nazo msoma niuze kwa wadau.

Basi siku ya safari nilishangaa....bro ma yule mdogo wangu ( mwiz ) nao walitaka kuondoka bush basi kwa pamoja tukasepa kurud musoma.Bush walibaki Mzee, mama na ndugu zangu watatu.

Nikiwa musoma niliuza ule mchele kama kilo 50 kwa kilo 1 sh 1000 watu walikua wanaung'ang'ania hatar.

Kwenye mwez mei hivi kuna dogo mmoja alinifuata pale ps.

Nilitaka kusahau kuhusu yule classmate wangu kumwelezea .

Wakati nikiwa bush boss siku moja alinipigia simu akaanza kunieleza madudu ya classmate kuwa ckuiz kawa mjanja na hela haioni.Mpka akawa anasema bora ungebaki kupiga na cjui kwanini nilimkimbia. duh..nilicheka na kusikitika kwa wakati mmoja.Huyo boss alisahau kuwa hyo biashara ina wenyewe na wenyew ilikua ni sisi kiukweli alikurupuka sana kumweka classmate wangu ndo asimamie kila kitu.

Me nilimpa pole tu nikamwambie amvumilie ataziona hela.Hazikupita siku nyingi classmate nae alinipigia simu, alikua anadai kuwa kuna demu alianza nae mahusiano kumbe demu alikua ni mdangaji hatari.Hela za ps zilikua zinaishia kwa huyo demu.

Alitaka nimsaidie 240k ili ampe boss wake maana alikua hajampa boss hela kama wiki tatu karbu mwez hela ya ps.Yaani alikua hana hata aibu kuniomba hela yote ile maana nikikumbuka nilivyokua nikimuomba hata buku tu ya msosi anasema hana hela.

Nilimwambia siko vizur kipesa labda nimpe 20k akasema nimkopee kwa mtu.jamaa alikua fala nilikataa ikabid nimpe tu hyo 20k.

Jamaa boss alimtema ko alifunga ps kwa muda akawa ananisubir nirud msoma niendelee na job.Sikutaka kurudi kupiga job pale tena nilichofanya nilivyorud msoma nilienda tu ps nikakaa kwa muda nikawa na mtafutia dogo ili ampigie kaz maana me nilijua muda wowote nasepa zangu Arusha.

Turudi tena kwa huyo dogo aliyenifuata ps.Huyo dogo alikua anasimu anauza ( samsung A20 ) lakini ilikua mbovu ( screen na touch vilikua vibovu ) ko alitaka nimpe 50k tu.Nilikubali lakin nikamwambia kwa muda huo sina kitu aje kesho yake achukue pesa.

Niliipeleka simu kwa fundi aone itani cost shngp kutengeneza kwa vile fund nilikua nafahamiana nae alinambia kioo na touch pamoja na hela ya fund jumla nimpe 160k nililia lia akakubali kunitengenezea kwa 120k cku fund nikampa 10k kwanza ikabaki 110k.

Na nilikua sina smartphone kabisa ko nilitaka hyo simu fundi atengeneze chap ili nirud mtandaoni.Kama kawaida ya mafundi sio waaminifu kila nikienda anasema njoo kesho njoo kesho yani mpk mwezi wa sita ukafika ni njoo kesho.

Wakati fundi ana nambia njoo kesho na mimi ndo nilikua namwambia yule dogo mwenyewe simu hivyo hvyo.Na mwezi wa sita ilifika kiwandani niliambiwa niende na hapo hapo Mzee alikua amepata mkwanja ( cjui alitoa wapi ) mkwanja ulikua mrefu sana, alinipa 1.2 milioni za kuanza nazo maisha, nilichofanya nilichukua 300k nikanunua smartphone Samsung A30 na vitu vingine vya kwenda navyo chuga.kwenye yale matumiz nilijikuta nimebaki na laki 8.

Kwa vile likizo ilikua imeisha basi ilibid pia wale wadogo zangu wawili ( wa kike na yule mwiz ) pamoja na sister tusafir nao pamoja kwenda wao wakiwa wanaenda kwanza Karatu kuchukua vitu fulani alafu ndo waende dodoma.

Siku ya safar me niliwaambia kwanini wasisubir twende siku inayofuata, walikataa wakasema wanawai, basi me ckwenda nao.Kesho yake ilikua ni cku mby sana kwetu kama familia tulipata habari kuwa sister na wadogo zangu wawili basi walilokua wanasafiria limeanguka na kuua na kujeruhi.


Sister angu yeye hakuumia kabisa lakin hao madogo ndo waliumia sana hasa huyo wakike aliumia vby yani alkua mahututi.Waliwapeleka hospital iliyokua jiran na mdogo wangu huyo wa kike alihamishiwa hospital ya mkoaranga akawa anapigania maisha yake ( ICU )...huyo wa kiume yeye alivunjika mguu, wakike nae alivunjika mguu vby mpk saiz hawez kutembea bila magongo.

Nacho shukuru ajali hyo ilitokea Mzee alikia ana hela sana ko pesa ilitumika nyingi sana kwenye matibabu..yan nyie acheni tu kila muda tulikua tunapigiwa simu kuwa tumuombe mdogo wetu muda wowote ana kata kamba.

Sicheki kwa mazuri ila katika kipindi nilichomkumbuka Mungu kwa dhati ni hicho kipindi nilikua naomba kila muda tena kwa dhati.


Mungu ni mwema sana alijibu maombi na Huyo dogo kwa uwezo wa Mungu alipona ubaya tu ndo hatembei dogo.


Ngoja nikomee hapa kwanza nitarejea.


Poleni kwa kuwaweka sana.
Duuh dogo Mungu alimsaidia asee inavyoonekana ajali ilikua mbaya sana mpaka kuvunjika kabisa miguu
 
Kwanza pole sana kwa ajali waliyopata nduguzo, but speaking from my experience wanawake ni wabaya sana kama ukiwa nao kwenye mahusiano halafu ukawa unawadekeza dekeza na kujirahisisha sana ( I mean ukaonyesha kumpenda kupita kiasi, kila anachokitaka unafanya, akikohoa kidogo umo, sijui akitaka hiki unampa, kosa lake unaomba msamaha wewe)

Hapo lazima uchezee za uso, inaonekana hata wewe jamaa pamoja na harakati zako zote kwa huyo demu ulikua bwege ndio maana. The more you love the more you suffer, the more you care the more you are fuck3d!

Nilipitia same scenario niliamini kumpenda sana kwa kujishusha kwake ndio mapenzi kumbe ndio akaniona boya "hakuna anae value cheap item" the same thing kwetu pia wanaume. Baadae after ku suffer rafiki zangu kadhaa wa kike wakanipa siri moja kua

Wanawake wengi wanapenda na kuvutiwa na wanaume (makauzu) sina maana mkawapige wapenzi wenu maana yake hapa ni wanaume wenye kujiamini na kua na misimamo yao, wasiotingishwa wala kubabaishwa na uzuri wa hao wapenzi wao, kifupi kua gentleman ila usiwe too romantic japo all in all ukiwa good financially itakupa confidence zaidi ya kua na misimamo yako heavy

Wote mnaoteswa na wanawake wenu be a man acheni kulia lia kama watoto, wapendeni lakini kuweni na conditions, na limit zenu, usipoiona thamani yako wewe mwenyewe kwanza, hakuna atakayeiona na kuithamini
 
Kwanza pole sana kwa ajali waliyopata nduguzo, but speaking from my experience wanawake ni wabaya sana kama ukiwa nao kwenye mahusiano halafu ukawa unawadekeza dekeza na kujirahisisha sana ( I mean ukaonyesha kumpenda kupita kiasi, kila anachokitaka unafanya, akikohoa kidogo umo, sijui akitaka hiki unampa, kosa lake unaomba msamaha wewe)

Hapo lazima uchezee za uso, inaonekana hata wewe jamaa pamoja na harakati zako zote kwa huyo demu ulikua bwege ndio maana. The more you love the more you suffer, the more you care the more you are fuck3d!

Nilipitia same scenario niliamini kumpenda sana kwa kujishusha kwake ndio mapenzi kumbe ndio akaniona boya "hakuna anae value cheap item" the same thing kwetu pia wanaume. Baadae after ku suffer rafiki zangu kadhaa wa kike wakanipa siri moja kua

Wanawake wengi wanapenda na kuvutiwa na wanaume (makauzu) sina maana mkawapige wapenzi wenu maana yake hapa ni wanaume wenye kujiamini na kua na misimamo yao, wasiotingishwa wala kubabaishwa na uzuri wa hao wapenzi wao, kifupi kua gentleman ila usiwe too romantic japo all in all ukiwa good financially itakupa confidence zaidi ya kua na misimamo yako heavy

Wote mnaoteswa na wanawake wenu be a man acheni kulia lia kama watoto, wapendeni lakini kuweni na conditions, na limit zenu, usipoiona thamani yako wewe mwenyewe kwanza, hakuna atakayeiona na kuithamini


Kuandika rahisi...
 
Kwanza pole sana kwa ajali waliyopata nduguzo, but speaking from my experience wanawake ni wabaya sana kama ukiwa nao kwenye mahusiano halafu ukawa unawadekeza dekeza na kujirahisisha sana ( I mean ukaonyesha kumpenda kupita kiasi, kila anachokitaka unafanya, akikohoa kidogo umo, sijui akitaka hiki unampa, kosa lake unaomba msamaha wewe)

Hapo lazima uchezee za uso, inaonekana hata wewe jamaa pamoja na harakati zako zote kwa huyo demu ulikua bwege ndio maana. The more you love the more you suffer, the more you care the more you are fuck3d!

Nilipitia same scenario niliamini kumpenda sana kwa kujishusha kwake ndio mapenzi kumbe ndio akaniona boya "hakuna anae value cheap item" the same thing kwetu pia wanaume. Baadae after ku suffer rafiki zangu kadhaa wa kike wakanipa siri moja kua

Wanawake wengi wanapenda na kuvutiwa na wanaume (makauzu) sina maana mkawapige wapenzi wenu maana yake hapa ni wanaume wenye kujiamini na kua na misimamo yao, wasiotingishwa wala kubabaishwa na uzuri wa hao wapenzi wao, kifupi kua gentleman ila usiwe too romantic japo all in all ukiwa good financially itakupa confidence zaidi ya kua na misimamo yako heavy

Wote mnaoteswa na wanawake wenu be a man acheni kulia lia kama watoto, wapendeni lakini kuweni na conditions, na limit zenu, usipoiona thamani yako wewe mwenyewe kwanza, hakuna atakayeiona na kuithamini
Mapenzi ayana formula mkuu, unatakiwa kuzingatia kitu kimoja, ukipata nafasi ya kumuumiza mwanamke akikisha unamuuuza kisawa sawa yaaani
 
Kuandika rahisi...
Sio rahisi mkuu ila nimemaanisha nilichokiandika, nilikua na mwanamke mkali nikaamini ndo atakua wangu wa maisha, kwao mpaka mama yake alinifahamu, ndugu zake kasoro tu baba yake,, shida nilijirahisisha sana kwake nikaamini ndio mapenzi ya kweli, duh huyo mwanamke alivyorudi chuoni "udsm" nae ali change kama jamaa hapa alivyomuelezea wake.
Nili suffer almost two weeks then nikapata lesson pili nikawa strong kwa sababu ndio option pekee niliyokua nayo, baada ya hapo nilimuacha, nika block kila kitu between us, hapo ndo alert ya hatari ikaingia kichwani mwake sababu aliamini kwake sina ujanja wala siwezi muacha,, mbona alianza kunitafuta upya. Nilimchomolea ila hio ndo ikawa kanuni yangu mahusiano mengine after hapo hakuna mwanamke aliyenitingisha tena sababu ukiwa neutral ukabalance shobo kisaikolojia unakua umempiga mwanamke wako kiasi kwamba atajiona ni wa kawaida.
 
Sio rahisi mkuu nimemaanisha, nilikua na mwanamke mkali nikaamini ndo atakua wangu wa maisha, kwao mpaka mama yake alinifahamu, ndugu zake kasoro tu baba yake,, shida nilijirahisisha sana kwake nikaamini ndio mapenzi ya kweli, duh huyo mwanamke alivyorudi chuoni "udsm" nae ali change kama jamaa hapa alivyomuelezea wake.
Nili suffer almost two weeks then nikapata lesson pili nikawa strong kwa sababu ndio option pekee niliyokua nayo, baada ya hapo nilimuacha, nika block kila kitu between us, hapo ndo alert ya hatari ikaingia kichwani mwake sababu aliamini kwake sina ujanja wala siwezi muacha,, mbona alianza kunitafuta upya. Nilimchomolea ila hio ndo ikawa kanuni yangu mahusiano mengine after hapo hakuna mwanamke aliyenitingisha tena sababu ukiwa neutral ukabalance shobo kisaikolojia unakua umempiga mwanamke wako kiasi kwamba atajiona ni wa kawaida.
Applies to upande wa 2 pia...mtaishi kwa kuheshimiana sana sana...!
 
Mapenzi ayana formula mkuu, unatakiwa kuzingatia kitu kimoja, ukipata nafasi ya kumuumiza mwanamke akikisha unamuuuza kisawa sawa yaaani
Sio wote wana deserve kuumizwa, mfano kakuumiza mwanamke A ukaachana nae kisha ukawa na mwanamke B unaanzaje kumuumiza wa mfano? Otherwise uwe unaongelea kisasi kwa huyo huyo aliyekuumiza "mwanamke A'

Mapenzi hayana formula kweli lakini wewe lazima uwe na formula zako, mfano mimi nilifanya simple research kwa rafiki zangu kadhaa wa kike na wote wakanijibu kiti kile kile kinachofanana

Kua kujirahisisha sana kwa mwanamke kunakufanya akuone cheap, na wengi wanavyotamani ile ya 50%-50% hapo sasa ndio lazima atumie huo unyonge wako kukuzingua sana, na ukishampa hio 50%-50% watataka wakuzidi tena wawe na 80%-20%
 
Sio wote wana deserve kuumizwa, mfano kakuumiza mwanamke A ukaachana nae kisha ukawa na mwanamke B unaanzaje kumuumiza wa mfano? Otherwise uwe unaongelea kisasi kwa huyo huyo aliyekuumiza "mwanamke A'

Mapenzi hayana formula kweli lakini wewe lazima uwe na formula zako, mfano mimi nilifanya simple research kwa rafiki zangu kadhaa wa kike na wote wakanijibu kiti kile kile kinachofanana

Kua kujirahisisha sana kwa mwanamke kunakufanya akuone cheap, na wengi wanavyotamani ile ya 50%-50% hapo sasa ndio lazima atumie huo unyonge wako kukuzingua sana, na ukishampa hio 50%-50% watataka wakuzidi tena wawe na 80%-20%
🤣🤣🤣🤣...mwanamke kumuwin ni kitu kidg sana...jitahid uwe smart vby sana ..yaan mzidi kwa kila aspect...atakua ana adabu mwanamke anataka akikupa challenge uitatue...yaan hata kama huna ujuzi na kicho kitu basi jitahid uwezavyo ukinga'amue...! Mwe sijui nielezeje...binafsi mm napenda mwanaume anizidi sana sana yaan iwe 20/80! Ukweli ntastick sana na ww ntahis niko safe mno...! Sio unaambiwa changamoto ndogo unaanza tena muuliza mwanamke wako TUNAFANYEJE!!..
Kuna siku nilibeba mkaa gunia kubwa basi buti haikufunga nikajisahau kbs kuhusu trafiki dah akanidaka ..bas nikawaeleza watu wawili jaman ttafiki amenidaka na mm sitak kumpa hela...mmoja akaniambia dah sasa tunafanyeje! Mwinginr akaniambia nipe simu niongee naye..nikampa..akampa somo mie najitikisa tu najua trafiki hachomoi...na kweli nikarudishiwa key nikasepa kwa mbwembwee....umeona sasa ..sasa mm nakuambia nimeshikwa unaniambia tunafanyeje?? kufa!
 
🤣🤣🤣🤣...mwanamke kumuwin ni kitu kidg sana...jitahid uwe smart vby sana ..yaan mzidi kwa kila aspect...atakua ana adabu mwanamke anataka akikupa challenge uitatue...yaan hata kama huna ujuzi na kicho kitu basi jitahid uwezavyo ukinga'amue...! Mwe sijui nielezeje...binafsi mm napenda mwanaume anizidi sana sana yaan iwe 20/80! Ukweli ntastick sana na ww ntahis niko safe mno...! Sio unaambiwa changamoto ndogo unaanza tena muuliza mwanamke wako TUNAFANYEJE!!..
Kuna siku nilibeba mkaa gunia kubwa basi buti haikufunga nikajisahau kbs kuhusu trafiki dah akanidaka ..bas nikawaeleza watu wawili jaman ttafiki amenidaka na mm sitak kumpa hela...mmoja akaniambia dah sasa tunafanyeje! Mwinginr akaniambia nipe simu niongee naye..nikampa..akampa somo mie najitikisa tu najua trafiki hachomoi...na kweli nikarudishiwa key nikasepa kwa mbwembwee....umeona sasa ..sasa mm nakuambia nimeshikwa unaniambia tunafanyeje?? kufa!
nimecheka sana aiseee.. "eti tunafanyaje sasa"
 
Inaendelea


Nirudi tena kwa Manzi angu...............


Kabla My wangu hajaenda chuo tulikua tunapendana balaa nikikumbuka mapenz aliyokua akinipa....ila mapenzi yakiwa yamenoga sana basi ujue ndo yanakarbia kuisha ( kwa kizaz chetu lakin ) kuna cku Manz alinambia anasafir kwenda Simiyu kuchukua Cheti cha form four ili aweze ku aplayi ( apply) Chuo, basi alinambia atarud cku hyo hyo ko nije nimpokee stend wakat akirud.

Kweli alisafir na wakat akiwa njian anarud alinambia niende kumpokea, ilikua usiku ckuhyo kimvua cha uongo kilinyesha na baridi ndo ilikua ya kutosha.

Mtaalamu ilivyofika saa mbili nilifunga ofisi huyo nikadandia boda kwenda kumpokea Mywangu nilifika stend ya zamani basi lilikua bado halijafika ilibid nimsubir.Ilifika saa tatu Basi likawa limefika AFRICA RAHA mtoto akashuka nikampokea pochi yake, tukaenda kwa boda mmoja ni mtu mzima tukapanda.Mywangu ndo alianza kukaa na kwa vile alikua amevaa kimini alikaa ki kike alafu me nikakaa nyuma yake.

Wakat boda iko kwenye mwendo wa taratibu me nilikua nampiga mabusu mazito mtoto wa watu mpk akawa hoi nilikua nampapasa kwenye matiti na kiunoni, cjui yule boda aliona wivu au hisia zilimzidi.Tulivyofika ile njia ya kwa mkuu wa mkoa tulishangaa pikipiki inasimama.Boda alitutaka tushuke tuchukue boda nyingine aligomba kuwa hatuna adabu yule myngu alimwambia adabu gani na huku hela unapewa .

Ila hili tukio nikilikumbuka hua nacheka tu....basi tulichukua boda nyingine maana yule boda alivyo tushusha hakutudai hata hela, tulipanda tukasepa mpk kwao na Manzi mitaa ya Kamnyonge tuliagana nikasepa zangu kwa rafiki zangu ni wape hyo story.


Sema hyo Mywangu alikua anapendwa na wengi walikua wakimtongoza ananambia fulani kamtongoza ko nilikua cna noma na hao wanao mtongoza maana nilijua nao wanajarbu bahat zao.

Me nilimwambia tu heshima ndo anipe.Jamaa mmoja tulikua tuna sali nae walikua ni marafiki wakubwa na Mywangu mpk kuna cku moja tukia church manzi alinambia anajiskia vby ko akaondoka kwenda kwao..nilimwambia anisubir sehemu hivi nitamkuta.Sasa ile sehemu tuliyokubalia kuwa nitamkuta nilifika nikamkuta kasimama na kale kafala ( rafiki ake )..niliwapita bila kuwa semesha hasira zikawaka hatari.Dem mwenyew alijua akanifuata ananiita siitiki ( eti nikawa nimenuna ) alinikimbilia akaanza kusema ooh...usinifikirie vby yule ni rafiki cjui nini cjui nini....yani alijitetea sana cku hyo akanambia me ndo bwana ake wa maisha ( ila nyie watoto wa kike nyie acheni laana za bure bure ) hasira ziliisha tukaanza kupiga story za kawaida.


Siku anaondoka kwenda chuo basii tabu ikaanza kuwa juu yangu...niki mtext kujibu mpk apende nikimwambia mbn kimya mara cjui yupo busy na kitabu na uki check last seen yake whatsapp ni online duh..na nilijua sina changu mpk nikakumbuka wasela walinambia kua huyu demu akishaenda chuo basi huna chako.


Demu alifanya stress zangu zizidi kuwa nyingi ukijumlisha na yule classmate kunipindua pale job.kuna cku ameweka status yupo na bishoo mmoja huko chuo ( Udom ) niliumia cjawai kuumizwa hivyo ila uzur hayo maumivu yalikua yananijenga chakula kikua hakipiti yani mpk home walikua wanambia mbn ckuiz huwa unakula wapi mbn hatukuon ukikula...yan nyie acheni tu mapenzi.

Kabla hatuja achana rasmi na bado alikua hajaenda chuo nilijisikia vby ckumoja nilimsaliti.

Siku hyo ilikua hivi....Nilitoka job usiku sana nilifika home nikawa na chat na huyo mywangu.nilitoka nje kuongea na simu.ile namaliza tu kuongea naskia sauti ikiniita hoy..holy we holy...ilikua ni saut ya kike

kalikua ni kabinti kadogo ka form two alikua anaishi na bibi ake na walikua ni jirani zetu.Nilimfuata kusikia anasema nini...hakua na chamaana sana kuniambia.Nilimtaka tukapige story kwenye ile nyumba yetu iliyokua bado haijamaliziwa kujengwa, kalizingua kidogo lakin kakakubali.

Ile naondoka naye hivi bibi ake alitoka nje acha aanze kugomba kuwa mampelekea wapi mjukuu wake.niliona ili asilete noma nilimpa buku 2 huyo bibi akatulia kama sio yeye aliyekua anagomba.Alitaka niwai kumrudisha mjukuu wake.

Tulienda kwenye hyo nyumba ckua na story ko nilikapiga rungu katoto ka watu alafu nikarudisha kakalale.

Hako katoto nako kalienda kusimulia kwa marafiki zake ko noma ilikuepo lakin sio sana.


Tarehe 01 January 2020 ndo mapenzi yangu na Mywangu yalifika tamati siku alinipigia ( wakati huo yupo chuo ) akanitakia heri ya mwaka akadai mapenz yetu yazid kukua kwa jina la Yesu kristo.

kesho yake tarehe 02 nikaona status kaniweka kaandika caption old alafu status iliyofuatia alikua yeye na mpenzi wake mpya kaandika "*new chapter *".....jamani me nilikua na mademu wengi lakin cku hyo niliumia sana.

Mpk niliweka hapa Uzi nikiomba msaada wa namna ya kusoma sms za mpenzi wako bila yeye kujua.

Nilimua kwa muda lakini niliona ni ujinga kwa mtu kama mimi kuumia umia kisa mapenzi.Kwanzs nilimtafuta lizy wangu tukayajenga upya ingawa alikua mdangaji ckua na namna kabisa.


Note.Hapo nimewarudisha nyuma kidogo kabla cjaanza kutapeli/ kudhumu watu.


Nitarejea.
Acha ushamba hujui my na wangu ni neno moja? Eti mywangu sawasawa na barabara ya morogoro road.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom