Wapendwa wana JF;
Samahani sana kwa kuwatoroka kwa muda wa zaidi ya wiki sasa. NIlikuwa katika sehemu mkoani ambako hakuna mawasiliano ya Computer hivyo nilikuwa kama nipo shimoni.
Nawashukuru wote mliofuatilia hadithi hii na PIA NAWASHUKURU WOTE WALIOIENDELEZA MF. BUCHO NA DAUD1 kwa ushirikiano wao mzuri na wote walioendelea kuifuatilia.
Kama alivyosema DAUD1 hapo juu, hadithi ataiendeleza, tuwe na subira.
Kuna kitu kingine nitakiweka hapa kina EPISODY chache sana lakini cha kusisimua sana. Nitakirusha hewani kuanzia kesho asubuhi hapa MMU.
Very sorry for the inconvenience