Hadithi: Mtambo wa mauti

Hadithi: Mtambo wa mauti

Nilikisoma zamani sana nikiwa shule ya msingi, google inaniambia Frolika Liyumit, Mashaka publications, 1989.

Kwa mara ya kwanza kusikia CIA, FBI, NIS, Visiwa vya Roben, kwa ufupi nilikipenda sana!
Samahani. Unaweza kwenda ofisi za mkuki na nyota ingawa sina hakika.
 
Aisee!?? Hakika Ben Ntobwa alikuwa ni Hazina Ya Utunzi katika Nchi Hii... Pumzikeni kwa Amani wewe na mzee mwenzio Elvis Musiba

Dah!!! Mkuu na wewe upumzike kwa amani. Hata wewe ulikuwa sihaba.
 
Back
Top Bottom