Hadaa ya Mihimili ya Serikali

Hadaa ya Mihimili ya Serikali

Ok, nirudi kwenye Swali lako la Muundo wa Serikali za Muungano. Sio kwa asilimia 100 sustainable,
Lakini kati ya Serikali Mbili ni bora zaidi ya Seeikali 3 kwa sababu, at least hii kuna vitu hutukera lakini bado tumefumgwa Kikatiba na Muungano wa nchi mbili (Unitary State) badala ya Shirikisho (Federal Union).
OK! kuna serikali 2 kwa mujibu wako, moja ya Zanzibar. Ya pili ni ipi? Usiniambie Tanzania kwasababu within Tanzania kuna Zanzibar. Tanzania haiwezi kuungana na Zanzibar. Pili, huwezi kuwa na mambo yote 100% ya JMT halafu ukawa na 100% ya mambo hayo kwa SMZ ukasema kuna unitary state.

Na Hizi Kero za Wazanzibar tumekuwa nazo toka 1993 baada ya kufanya marekebisho ya Katiba yetu mwaka 1992, kupitisha mfumo wa Vyama Vingi na tuliongeza Mambo ya Muungano toka 11 na kuwa 22
Katika hayo 11 yaliyoongezwa ni lipi moja tu linaloifadisha Tanganyika? na kama hakuna kipi kinawakera Wazanzibar!
 
OK! kuna serikali 2 kwa mujibu wako, moja ya Zanzibar. Ya pili ni ipi? Usiniambie Tanzania kwasababu within Tanzania kuna Zanzibar. Tanzania haiwezi kuungana na Zanzibar. Pili, huwezi kuwa na mambo yote 100% ya JMT halafu ukawa na 100% ya mambo hayo kwa SMZ ukasema kuna unitary state.


Katika hayo 11 yaliyoongezwa ni lipi moja tu linaloifadisha Tanganyika? na kama hakuna kipi kinawakera Wazanzibar!
Ndugu yangu sisi watu wazima,maswali ya darasa la 5 please! Unaniuliza mimi tuna Serikali 2 nikutajie ili iweje yaani?

Ok. Sio 2 tu kuna Serikali za mitaa, hii inakuwaje? Kwanza elewa maana ya Serikali na majukumu yake maadam vombo hivi vipo kwa mujibu wa Katiba na vinatekelezaje majukumu walopewa.

Narudia kusema hivi kosa letu kubwa ni ibara ya 4. Haitenganishi Mamlaka ya mihimili na Serikali, wakati neno Serikali lipo mara mbili, na muundo wake ni wa KITAWALA ndio maana utasikia Serikali ni Dola na kwa ufafanuzi wa karibu ni kama tunakubali Serikali ni Utawala. Na Utawala wowote una Mtawala. Rais wa JMT na rais wa Zanzibar ni Watawala. Hapa ndipo napo komalia kuwa Katiba ndiyo Utawala sio Taasisi ama mtu.

Kwa hiyo hizi zuga za kusema tuna Kiongozi/Viongozi ili hali tuna Utawala na Waheshimiwa, Matokeo yake tuna nchi kama Utawala wa Roma. Hata Roma kulikuwa na Mfalme mzuri na mbaya! Tatizo ilikuwa ni Mamlaka makubwa walokuwa nayo na sio nchi wanazotawala.

Samahani naingia kwenye pilka za kutafuta riziki. Nitajadili baadae.
 
OK! kuna serikali 2 kwa mujibu wako, moja ya Zanzibar. Ya pili ni ipi? Usiniambie Tanzania kwasababu within Tanzania kuna Zanzibar. Tanzania haiwezi kuungana na Zanzibar. Pili, huwezi kuwa na mambo yote 100% ya JMT halafu ukawa na 100% ya mambo hayo kwa SMZ ukasema kuna unitary state.


Katika hayo 11 yaliyoongezwa ni lipi moja tu linaloifadisha Tanganyika? na kama hakuna kipi kinawakera Wazanzibar!
Ok, nimemaliza majukumu yangu nakujibu swali la mwisho umeuliza katika hauo 11 yaloongezwa ni lipi MOJA tu linaloifadhisha Tanganyika?

Daaah hata wewe? Haya jibu ni Vyama vingi vya Siasa! Au nalo Wanafaidika Wazanzibar!

Mkuu sijui tuanzishe Mada mpya kuhusu Muungano? Naona zimejaa forums za Muungano mpaka basi.

Lakini yaonyesha watu wengi mpaka wasomi hawajui kuhusu Muungano wa nchi zetu. Mpaka zinapotokea Kero kama hizi ndio wanaamka kwa mshangao kulikoni?

All in all Katiba yetu inapuuzwa tena vibaya sana mpaka inatia aibu. Na sii Zanzibar tu, kote watu wanabwabwaja ovyo kama kwamba kweli Katiba ni kitabu sio Sheria Mama ya nchi.

Na Ikisha aminika hivyo hata tuandike Katiba Mpya mara 10 nyingine haitasaidia kubadilisha watu walokwisha jenga imani kuwa wao wako juu ya Sheria na wanayo Mamlaka kikatiba ya kufanya watakavyo bila kuwajibishwa.
 
Ndugu yangu sisi watu wazima,maswali ya darasa la 5 please! Unaniuliza mimi tuna Serikali 2 nikutajie ili iweje yaani?
Daaah hata wewe? Haya jibu ni Vyama vingi vya Siasa! Au nalo Wanafaidika Wazanzibar!
Mkuu usighadhibike. Uzuri wa JF rekodi zipo wazi. Mambo ya Muungano sikuyaanza leo, ni tangu najiunga
Watanaganyika hawakuwa na ufahamu wa nini kianendelea na matobo ya muungano,tumefanya kazi hiyo

Tume ya Warioba ilikusanya mawazo na nakuhakikishia yapo yaliyotoka hapa JF.

Ninauliza maswali ya kijinga kwasababu nahisi kuna kitu ima sielewi au hakieleweki kwa watu.

Ninapokusoma unaandika Serikali ya Bara nashangaa! Hii ya Bara ni serikali ya nchi gani kwasababu Tanzania Bara siyo nchi. Serikali unayiita ya Bara ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT)

Majadiliano yoyote kati ya Serikali ya JMT na SMZ ni upuuzi kwasababu hakuna kitu kama hicho.
Kusuluhisha kero za Muungano kwa kutumia JMT na SMZ ni upuuzi ! nani anawakilisha masilahi ya Tanganyika

Ndani ya Baraza la Mawaziri la JMT wapo Wazanzibar halafu waende kujadiliana na Wazanzibar wenzao! none sense. Hu ndio msingi wa mimi kushangaa unaposema serikali ya Bara! hakuna kitu hicho mkuu , you're better than that

Watu wengi kwa kujua au kutojua Wamepumbazwa. Kwa mfano Wizara ya AFYA si suala la Muungano lakini Wazanzibar wanafanya kazi na wagonjwa wanapelekwa nje kutibiwa kwa gharama zake.
Hoja ya Wazanzibar, ni Wizara ya JMT nao ni sehemu ya Tanzania na inatumia nembo ambayo wao ni wadau

Upande wa pili, Wazanzibar hawataki Mtanganyika kule kama ulivyosikia akina Saada Mkuya wakiwawasumanga.

Hoja ya Saada Mkuya aliyewahi kusimamia fedha za Tanganyika kama waziri wa fedha ni kwamba ukiwa na kitambulisho cha Tanzania hupaswi kutibiwa Zanzibar, bali uwe na kitambulisho cha Uzanzibar.

Kwa upuuzi huu wa akina Saada, Wazanzibar wanasahu kwamba ajira walizo nazo Tanganyika ni kwasababu ya kitambulisho cha Tanzania ikiwemo umiliki wa Ardhi,Ikifika hapa Watanganyika wanahoji, Muungano huu maana yake nini?

Umesikia pia wakijadili kulinda ajira za Wazanzibar kwa lengo lile lile la kuwatenga Watanganyika. Mkuya aliwasema Watanganyika kwa kutimia Watu milioni 60, Wazairi sijui wa vijana anaita Wageni.

Wazanzibar wameajiriwa Tanganyika kuanzia nafasi za uongozi hadi wafagiaji kwasababu ni Watanzania.
Watanganyika wanauliza, Utanzania ni wakati gani na Utanganyika upo wapi.

Fikiria unapokuwa na akina Saada Mkuya 10, unategemea nini cha maana ndani ya Muungano

Tatizo ni kwamba huwezi kuwa na two in one ukabaki salama. Tanzania ni mfano wa 2 in 1

Kuhusu mambo yaliyoongezeka, kwa miaka zaidi ya 10 tumewauliza Wazanzibar hapa jamvini ni lipi lililoongezeka linalonufaisha Tanganyika. Jibu lake ni kama lako kwamba hawajui.

Tunaweza kuondoa mambo yote Tanganyika haitaathirika hata dakika moja. Hivyo kwamba kuna ongezeko la mambo 11 limekera Wazanzibar ni flimsy excuse.

Suluhu ya Muungano si serikali 2, hili limefeli na ushahidi usio na shaka ukiwemo wa akina Saada Mkuya
Kwamba mbegu za ubinafsi za Wazanzibar na chuki walizo nazo pamoja na uelewa zinapeleke hisi kwa Watanganyika. Serikali 3 inaweza kuwasaidia kwasababu tukivunja jahazi Tanganyika haiathiriki na chochote
 
Mkuu usighadhibike. Uzuri wa JF rekodi zipo wazi. Mambo ya Muungano sikuyaanza leo, ni tangu najiunga
Watanaganyika hawakuwa na ufahamu wa nini kianendelea na matobo ya muungano,tumefanya kazi hiyo

Tume ya Warioba ilikusanya mawazo na nakuhakikishia yapo yaliyotoka hapa JF.

Ninauliza maswali ya kijinga kwasababu nahisi kuna kitu ima sielewi au hakieleweki kwa watu.

Ninapokusoma unaandika Serikali ya Bara nashangaa! Hii ya Bara ni serikali ya nchi gani kwasababu Tanzania Bara siyo nchi. Serikali unayiita ya Bara ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT)

Majadiliano yoyote kati ya Serikali ya JMT na SMZ ni upuuzi kwasababu hakuna kitu kama hicho.
Kusuluhisha kero za Muungano kwa kutumia JMT na SMZ ni upuuzi ! nani anawakilisha masilahi ya Tanganyika

Ndani ya Baraza la Mawaziri la JMT wapo Wazanzibar halafu waende kujadiliana na Wazanzibar wenzao! none sense. Hu ndio msingi wa mimi kushangaa unaposema serikali ya Bara! hakuna kitu hicho mkuu , you're better than that

Watu wengi kwa kujua au kutojua Wamepumbazwa. Kwa mfano Wizara ya AFYA si suala la Muungano lakini Wazanzibar wanafanya kazi na wagonjwa wanapelekwa nje kutibiwa kwa gharama zake.
Hoja ya Wazanzibar, ni Wizara ya JMT nao ni sehemu ya Tanzania na inatumia nembo ambayo wao ni wadau

Upande wa pili, Wazanzibar hawataki Mtanganyika kule kama ulivyosikia akina Saada Mkuya wakiwawasumanga.

Hoja ya Saada Mkuya aliyewahi kusimamia fedha za Tanganyika kama waziri wa fedha ni kwamba ukiwa na kitambulisho cha Tanzania hupaswi kutibiwa Zanzibar, bali uwe na kitambulisho cha Uzanzibar.

Kwa upuuzi huu wa akina Saada, Wazanzibar wanasahu kwamba ajira walizo nazo Tanganyika ni kwasababu ya kitambulisho cha Tanzania ikiwemo umiliki wa Ardhi,Ikifika hapa Watanganyika wanahoji, Muungano huu maana yake nini?

Umesikia pia wakijadili kulinda ajira za Wazanzibar kwa lengo lile lile la kuwatenga Watanganyika. Mkuya aliwasema Watanganyika kwa kutimia Watu milioni 60, Wazairi sijui wa vijana anaita Wageni.

Wazanzibar wameajiriwa Tanganyika kuanzia nafasi za uongozi hadi wafagiaji kwasababu ni Watanzania.
Watanganyika wanauliza, Utanzania ni wakati gani na Utanganyika upo wapi.

Fikiria unapokuwa na akina Saada Mkuya 10, unategemea nini cha maana ndani ya Muungano

Tatizo ni kwamba huwezi kuwa na two in one ukabaki salama. Tanzania ni mfano wa 2 in 1

Kuhusu mambo yaliyoongezeka, kwa miaka zaidi ya 10 tumewauliza Wazanzibar hapa jamvini ni lipi lililoongezeka linalonufaisha Tanganyika. Jibu lake ni kama lako kwamba hawajui.

Tunaweza kuondoa mambo yote Tanganyika haitaathirika hata dakika moja. Hivyo kwamba kuna ongezeko la mambo 11 limekera Wazanzibar ni flimsy excuse.

Suluhu ya Muungano si serikali 2, hili limefeli na ushahidi usio na shaka ukiwemo wa akina Saada Mkuya
Kwamba mbegu za ubinafsi za Wazanzibar na chuki walizo nazo pamoja na uelewa zinapeleke hisi kwa Watanganyika. Serikali 3 inaweza kuwasaidia kwasababu tukivunja jahazi Tanganyika haiathiriki na chochote
Nianze hivi, nadhani nyuma kidogo nilikwambia kwamba Muungano wa nchi zetu ulikuwa wa kujenga UMOJA wa KITAIFA (Unitary State) sio wa Shirikisho (Federal Union).

Na nadhani Wanasiasa, wasomi na hata Wananchi wengi hawaelewi hilo ndio maana wanachukuwa ya Muungano wa Shirikisho kuzungumzia Muungano wetu wakihoji hata Muundo wa Serikali 2 tumetoka wapi sio Shirikishi!

Pia nyuma nilizungumzia kwamba mfumo wetu ulichukua mengi ya Utawala wa Muingereza na kupaka rangi ya Utawala wa Kidemokrasia kwa sababu tulilazimika kama nchi kuonyesha mifumo ya Demokrasia. Sheria za Umoja wa Mataifa.

Nakubali kabisa kwamba tulikuwa na Uongozi sawa na wa Kifalme ambao Bunge lilitumika tu kama rubber stamp ilihali sisi tulitaka kuwa Wajamaa kuliko mifumo ya Ulaya ya Kibepari, na mfumo ilokuwa karibu na vision ya Mwalimu na Waasisi wa Muungano iikuwa UJAMAA (Socialism)

Nirudi kwenye hoja. Matatizo ya Muungano wetu yameanzia wapi? Nitasema ni baada ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 1992 hasa baada ya kutoka report ya Nyalali 1991 ambayo maoni ya watu wengi wali base kwenye kuutazama Muungano wetu kama ni Shirikisho. Kwa hiyo, mabadiliko mengi yalofanyika 1992 yalitokana na report ile kwa.kuzingatia Muungano wetu, pamoja na kuongeza mambo yale 11 ya ziada, lengo ni kuimarisha mshikamano wa Watanzania Bara na Visiwani.

Eneo pekee ambalo hawakuligusa nj Muundo wa Serikali zetu ukabakia bila marekebisho tukiaminishwa ujio wa Vyama vingi utaweza kuwawajibisha Viongozi. Lakini Power zote walibaki nazo Marais wa Jamhuri na Zanzibar - KOSA KUBWA
.
Baada ya ujio wa Vyama vingi, Wanasiasa wengi walokuwa na shaka juu ya mwelekeo wetu Kitaifa na Muungano wakapata fursa na mwanya wa kuanza kuhoji nguvu ya rais kutopingwa, kutowajibishwa na chaguzi zake, na upande wa Zanzibar ikwa ongezeko la Mambo ya Muungano wakiona tunaelekea kuwa NCHI MOJA + Zanzjbar inamezwa na Tanganyika.

Madai ya Katiba Mpya yakaanza upya kwa kushinikiza Muungano wa Mkataba (Confederal Union) na Shirikisho (Federal Unioni) dhidi ya Serikali moja. Yote hii ni kutokana na makosa tulofanya 1992, kutotenganisha Kikatoba mamlaka ya Mihimili na hasa Mamlaka ya rais kutokuwa na mkono ndani ya Mihimili mingine, tulijikuta katika Utawala wa Kiumla (Authoritarian).

Kwa hiyo, marais wote toka Mkapa.hadi Samia na hata rais ajae wanaweza ama wamekuwa Madikteta kwa sababu Katiba inawapa hayo mamlaka juu ya Katiba na mijimili mingine bila kuhojiwa wala hakuna Usaili isipokuwa kupitia Chama tawala.

Ilipokuja report ya Warioba, na Bunge la Katiba hapo ndio tukatibua kabisa donda ndugu. Dhahiri Sasa tulitaka Muungano wa Shirikisho (Federal Union) dhidi ya Muungano uloasisiwa (Unitary Union). Na Vyama.vingi gimekuww kama Challenge kwa rais mwenye mamlaka yote.

Kibaya zaidi ni pale Upinzani walipounda UKAWA wakaanza kuhoji hata Muungano, Hati ya Muungano, Mambo ya Muungano yaloongezwa na madai kwamba Zanzibar imetawaliwa na Tanganyika! Msemaji mkuu akiwa huyu huyu Tundu Lissu mnayemsifia leo. Mbunge aloapa kuilinda.na kuitetea Katiba ya JMT

Hata baada ya kufa Bunge la Katiba, Wazanzibar wakaamka, wakaona mwanya ndio huu! Kupitia Umoja wao wa Kitaifa wakaanza kudai UZanzibar na Zanzibar huru. Supported by CUF, UKAWA na sasa ACT. Alokuja kuwasima.ni Magufuli na ajabu ni kuwa hakuna rais kutoka Bara alowahi kupendwa na Wazanzibar kama Magufuli. Ni rais pekee alowafanya wajione wao Watanzania kuliko hata Mzee Ally H Mwinyi.

Katiba ya Jamhuri imesha kote kudhaurika bara na Visiwani. Wazanzibar wamesha anza kujitika madaraka, Wamesha ondoa baadhi mambo ya Muungano wasoyataka. Wamempa heshima kubwa ya Kitafa rais wao huku wakidai nchi yao huru na kibaya zaidi Tuliwa support, leo wanaanza kutekeleza yao kinyemela mnashangaa kama hawa ni Watanzania? Alaaa!

Nimalizie kwa kusema hivi hivi, both sides Tunatumia UTANZANIA pale tunapokwazwa ama penye maslahi na Manufaa kwetu, lakini sote ndani ya roho zetu tumesha onja nyama ya mtu. Na sasa tunawindana wazi wazi katika Utanganyika na Uzanzibar - Where is Unitary Union?

Mwalimu alituonya kuhusu haya 1995 kabla ya Uchaguzi Mkuu akisema Ukisha kula.nyama.ya Mtu hutaacha, na alituambia pia ni Kiongozi wa aina gani Watanzania wanamtaka. Hizo sifa leo hazipo tunakwenda na Upepo wa Kisiasa.
 
Hili ni swali kwa wahenga wa jukwaa hili la Siasa. Naomba pia ufafanuzi wake.

Ni Sura au Ibara gani ya Katiba ya JMT inayosema hivi: -

Serikali ina Mihimili mitatu.
1. Bunge -Parliament
2. Mahakama - Judicial
3. Serikali - Executive
Bunge la Tanzania si muhimili kama tunavyodhani, Rais anayomamlaka kulivunja kama alivywahi kutishia Mwalimu Nyerere, kumbuka wabunge wamechaguliwa! Na wananchi, sasa ni vipi rais anaweza kuwafukuza kazi! Hii ni raha ya nchi inayoendeshwa kwa utashi wa kundi la watu huku katiba wakiiita kijitabu tu, kumbuka JK aliwahi kusema atatokea rais ambaye katiba ataitupa! Tanzania ni kama zizi la ng'ombe, tunaswagwa tu japo katikati yao wamo wenye pembe kuubwa zinazotisha lakini hamna kitu.
 
Bunge la Tanzania si muhimili kama tunavyodhani, Rais anayomamlaka kulivunja kama alivywahi kutishia Mwalimu Nyerere, kumbuka wabunge wamechaguliwa! Na wananchi, sasa ni vipi rais anaweza kuwafukuza kazi! Hii ni raha ya nchi inayoendeshwa kwa utashi wa kundi la watu huku katiba wakiiita kijitabu tu, kumbuka JK aliwahi kusema atatokea rais ambaye katiba ataitupa! Tanzania ni kama zizi la ng'ombe, tunaswagwa tu japo katikati yao wamo wenye pembe kuubwa zinazotisha lakini hamna kitu.
Umeshasema Bunge la Tanzania. Ndio maana nikasema bora tuige muundo wa Marekani ambao rais hawezi kulivunja Bunge (Congress) ila anaweza ti ku veto maamuzi yao ya KiSheria yasipite.

Kwa hiyo wao hakuna kiti kinachoweza kupita kinyemela bila ridhaa ya mwingine.

Kila Mhimili una Nguvu sawa na mwingine hawaingiliani katika shuhjuli zao. Tukiweza kufanya haya nina hakika hata Siasa zetu zitabadilika, zitakuwa na Mwelekeo Mpya.
Katiba ikiheshimiwa, basi tutakuwa na Viongozi na Wanasiasa waumini wa kweli sio Wabaishaji.
 
Nianze hivi, nadhani nyuma kidogo nilikwambia kwamba Muungano wa nchi zetu ulikuwa wa kujenga UMOJA wa KITAIFA (Unitary State) sio wa Shirikisho (Federal Union).
Nakubaliana nawe kwasababu Mwalim Nyerere alidhani baada ya muda mrefu tutafikia hiyo Unitary state.
Ni kwa bahati mbaya hakuwa na partner upande wa Zanzibar.

Watanganyika walikubali hilo na hadi 2010 hawakuwa na habari na Muungano. Wazanzibar waliowaamsha kwamba ni mazezeta ,Wakoloni, wanaionyonya Zanzibar, hawana uchungu na nchi yao n.k.

Watanganyika wakahoji moja baada ya jingine na kubaini wameubeba Muungano na kuibeba Zanzibar. Wakabaini Zanzibar haina mchango wowote wa maana kwa maisha yao. Wakahoji gharama za Muungano ukilinganisha na faida. Hilo likazua hoja moja muhimu, hivi Tanganyika inapoteza nini bila muungano!
Na nadhani Wanasiasa, wasomi na hata Wananchi wengi hawaelewi hilo ndio maana wanachukuwa ya Muungano wa Shirikisho kuzungumzia Muungano wetu wakihoji hata Muundo wa Serikali 2 tumetoka wapi sio Shirikishi!
Wananchi wanatambua kwamba muungano ni unsustainable , wanazungumzia alternative ili kuzuia collapse ambayo sasa ni imminent
Nirudi kwenye hoja. Matatizo ya Muungano wetu yameanzia wapi? Nitasema ni baada ya mabadiliko ya Katiba ya mwaka 1992 hasa baada ya kutoka report ya Nyalali 1991 ambayo maoni ya watu wengi wali base kwenye kuutazama Muungano wetu kama ni Shirikisho. Kwa hiyo, mabadiliko mengi yalofanyika 1992 yalitokana na report ile kwa.kuzingatia Muungano wetu, pamoja na kuongeza mambo yale 11 ya ziada, lengo ni kuimarisha mshikamano wa Watanzania Bara na Visiwani.
Si kweli hata kidogo! Mwaka 1991-1992 Aboud Jumbe hakuwepo madarakani kabisa.
Kilichomuondoa Jumbe ni Muungano tena hoja ya serikali tatu. Baada ya miaka mingi kwa mara ya kwanza Tume ya Warioba ilipotoa rasimu ya serikali 3, Jumbe alionekana hadharani akisema amekuwa vindicated
Hata kabla ya vyama vingi tayari kulikuwa na vugu vugu la kina Shaaban Mloo na wengineo chini chini

Madai ya Katiba Mpya yakaanza upya kwa kushinikiza Muungano wa Mkataba (Confederal Union) na Shirikisho (Federal Unioni) dhidi ya Serikali moja. Yote hii ni kutokana na makosa tulofanya 1992, kutotenganisha Kikatoba mamlaka ya Mihimili na hasa Mamlaka ya rais kutokuwa na mkono ndani ya Mihimili mingine, tulijikuta katika Utawala wa Kiumla (Authoritarian).
Again, si kweli. Muungano wa mkataba haikuwa hoja Tume ya Warioba ilipoanza kukusanya maoni.
Hoja ya Maalim Seif ilikuwa serikali 3 , CUF walipofikisha rasimu yao haraka haraka chini ya huyu DC Mtatiro madai yalikuwa Kurudi kwa Tanganyika.

Maalim Seif akaambiwa kurejea kwa Tanganyika kutaifanya Zanzibar dhaifu . Hapo akaleta hoja ya Muungano wa mkataba. Ni hoja ya kipuuzi sana aliyotoa Maalim Seif kwasababu mara zote hakuwahi kuitetea kwa mantiki. Mkataba utahusu nini na una faida gani kwa Tanganyika! hakuweza kujibu

Hata leo ukimuuliza Jussa, OMO na wengine hakuna anyeweza kukuambia Mkataba ni wa nini na unafaidisha vipi pande zote mbili za Muungano! hawawezi kwasababu ilikuwa hoja ya kipuuzi iliyojengwa kipuuzi na kwa bahati mbaya tunakumbatia upuuzi huo kama hoja muhimu. Huuni moja ya upuuzi wa Maalim Seif, tuiache

Wapambe wake akina Jussa, walisema Kijiografia Zanzibar itabaki katika kivuli cha Tanganyika kwa maana kwamba, Tanganyika ina provide huduma za Ulinzi na Usalama , Budget support, inatoa ajira kwa Wazanzibar kuliko SMZ, ni soko la biashara la Zanzibar kiutalii na kibidhaa. Ni eneo lililobeba Wazanzibar wengi kuliko Zanzibar yenyewe.

Hamad Rashid alisema wapo Wazanzibar 1.2 Milioni Tanganyika wakinufaika na huduma za kila aina bila ubaguzi. Kuwarudisha hawa Zanzibar kutazua mgogoro wa resources na chuki zitarudi
Ilipokuja report ya Warioba, na Bunge la Katiba hapo ndio tukatibua kabisa donda ndugu. Dhahiri Sasa tulitaka Muungano wa Shirikisho (Federal Union) dhidi ya Muungano uloasisiwa (Unitary Union). Na Vyama.vingi gimekuww kama Challenge kwa rais mwenye mamlaka yote.
Hapa si sahihi. Hakuna Tume iliyoundwa ya matatizo ya Muungano iliyokuja na maoni tofauti na ya Warioba. In fact Warioba alipitia rejea za Tume za Nyalali, Shelukindo, Kisanga, Amina n.k. na zote zilikuwa na jibu moja, muundo wa sasa haufai na Serikali 3 ni jawabu.

Warioba alikusanya maoni ya Wananchi akapata jibu lile lile. Kumbuka ilikuwa ni lazima kuwa na jibu la nini kifanyike, na ingekuwa wendawazimu kusema tofauti . Jitihada za kufanya muungano kama taboo zilikuwa za kipuuzi na ndizo zimetufikisha hapa! Warioba sioni kosa lake
Kibaya zaidi ni pale Upinzani walipounda UKAWA wakaanza kuhoji hata Muungano, Hati ya Muungano, Mambo ya Muungano yaloongezwa na madai kwamba Zanzibar imetawaliwa na Tanganyika! Msemaji mkuu akiwa huyu huyu Tundu Lissu mnayemsifia leo. Mbunge aloapa kuilinda.na kuitetea Katiba ya JMT
Mkuu ukilinda Katiba ya JMT haina maana usiwe na maoni tofauti . Huu ndio ujinga uliotamalaki. M
abunge yaliyopita badala ya kutafuta jawabu wanasema wameapa kulinda Katiba.

Ni uongo kwasababu katiba waliyoapa kuilinda ni kwa pale tu wanapotaka. Magufuli alisigina sana Katiba mbona hatukusikia hoja ya kuilinda Katiba. Hata sasa imesigina sana Katiba, hivi kusema ni kosa.

Kuitetea katiba ni pamoja na kusema pale inapoonekana kuna tatizo si kukaa kimya au kuwa 'ndiyo mzee'' kwasababu tu mtu aliapa.
Katiba ya Jamhuri imesha kote kudhaurika bara na Visiwani. Wazanzibar wamesha anza kujitika madaraka, Wamesha ondoa baadhi mambo ya Muungano wasoyataka. Wamempa heshima kubwa ya Kitafa rais wao huku wakidai nchi yao huru na kibaya zaidi Tuliwa support, leo wanaanza kutekeleza yao kinyemela mnashangaa kama hawa ni Watanzania? Alaaa!
Mwaka 2010 tukiwa hapa Jamvini tulimuonya JK kwamba kuwafurahisha Wazanzibar kwa kuruhusu katiba yao iwe juu ya katiba ya nchi ni hatari. JK kama kawaida ni mtu wa kupendeza watu.

Leo Zanzibar wana Jeshi lao, yaani wana Chuo cha Monduli. Wameanzisha Chuo cha Uhamiaji. Hakuna Taasisi isiyo na mbadala. Wanapotaka maziwa na asali za Tanganyika wanabeba vitambulisho vya NIDA, wakirudi kwao si Watanzania. Huu ndio upuuzi uliotufikisha hapa, Watanganyika hawana cha kulaumiwa
Nimalizie kwa kusema hivi hivi, both sides Tunatumia UTANZANIA pale tunapokwazwa ama penye maslahi na Manufaa kwetu,
Watanganyika wanatumia Utanzania kwa faida gani kutoka Zanzibar
Mkuu usijaribu ku balance kuwa mkweli! Ukweli ni kama upembe wa ng'ombe haujifichi

Hatari ninayoiona ni kwamba Viongozi wa sasa ni kama wameridhia kwamba muungano ufikie tamati, na kwa Watanganyika walivyochoshwa si dhani kama kuna miaka 3.
Kumbuka wao ndio wamebeba muungano na hawana cha kupoteza! silent majority! mark my words
 
Nakubaliana nawe kwasababu Mwalim Nyerere alidhani baada ya muda mrefu tutafikia hiyo Unitary state.
Ni kwa bahati mbaya hakuwa na partner upande wa Zanzibar.

Watanganyika walikubali hilo na hadi 2010 hawakuwa na habari na Muungano. Wazanzibar waliowaamsha kwamba ni mazezeta ,Wakoloni, wanaionyonya Zanzibar, hawana uchungu na nchi yao n.k.

Watanganyika wakahoji moja baada ya jingine na kubaini wameubeba Muungano na kuibeba Zanzibar. Wakabaini Zanzibar haina mchango wowote wa maana kwa maisha yao. Wakahoji gharama za Muungano ukilinganisha na faida. Hilo likazua hoja moja muhimu, hivi Tanganyika inapoteza nini bila muungano!

Wananchi wanatambua kwamba muungano ni unsustainable , wanazungumzia alternative ili kuzuia collapse ambayo sasa ni imminent

Si kweli hata kidogo! Mwaka 1991-1992 Aboud Jumbe hakuwepo madarakani kabisa.
Kilichomuondoa Jumbe ni Muungano tena hoja ya serikali tatu. Baada ya miaka mingi kwa mara ya kwanza Tume ya Warioba ilipotoa rasimu ya serikali 3, Jumbe alionekana hadharani akisema amekuwa vindicated
Hata kabla ya vyama vingi tayari kulikuwa na vugu vugu la kina Shaaban Mloo na wengineo chini chini


Again, si kweli. Muungano wa mkataba haikuwa hoja Tume ya Warioba ilipoanza kukusanya maoni.
Hoja ya Maalim Seif ilikuwa serikali 3 , CUF walipofikisha rasimu yao haraka haraka chini ya huyu DC Mtatiro madai yalikuwa Kurudi kwa Tanganyika.

Maalim Seif akaambiwa kurejea kwa Tanganyika kutaifanya Zanzibar dhaifu . Hapo akaleta hoja ya Muungano wa mkataba. Ni hoja ya kipuuzi sana aliyotoa Maalim Seif kwasababu mara zote hakuwahi kuitetea kwa mantiki. Mkataba utahusu nini na una faida gani kwa Tanganyika! hakuweza kujibu

Hata leo ukimuuliza Jussa, OMO na wengine hakuna anyeweza kukuambia Mkataba ni wa nini na unafaidisha vipi pande zote mbili za Muungano! hawawezi kwasababu ilikuwa hoja ya kipuuzi iliyojengwa kipuuzi na kwa bahati mbaya tunakumbatia upuuzi huo kama hoja muhimu. Huuni moja ya upuuzi wa Maalim Seif, tuiache

Wapambe wake akina Jussa, walisema Kijiografia Zanzibar itabaki katika kivuli cha Tanganyika kwa maana kwamba, Tanganyika ina provide huduma za Ulinzi na Usalama , Budget support, inatoa ajira kwa Wazanzibar kuliko SMZ, ni soko la biashara la Zanzibar kiutalii na kibidhaa. Ni eneo lililobeba Wazanzibar wengi kuliko Zanzibar yenyewe.

Hamad Rashid alisema wapo Wazanzibar 1.2 Milioni Tanganyika wakinufaika na huduma za kila aina bila ubaguzi. Kuwarudisha hawa Zanzibar kutazua mgogoro wa resources na chuki zitarudi

Hapa si sahihi. Hakuna Tume iliyoundwa ya matatizo ya Muungano iliyokuja na maoni tofauti na ya Warioba. In fact Warioba alipitia rejea za Tume za Nyalali, Shelukindo, Kisanga, Amina n.k. na zote zilikuwa na jibu moja, muundo wa sasa haufai na Serikali 3 ni jawabu.

Warioba alikusanya maoni ya Wananchi akapata jibu lile lile. Kumbuka ilikuwa ni lazima kuwa na jibu la nini kifanyike, na ingekuwa wendawazimu kusema tofauti . Jitihada za kufanya muungano kama taboo zilikuwa za kipuuzi na ndizo zimetufikisha hapa! Warioba sioni kosa lake

Mkuu ukilinda Katiba ya JMT haina maana usiwe na maoni tofauti . Huu ndio ujinga uliotamalaki. M
abunge yaliyopita badala ya kutafuta jawabu wanasema wameapa kulinda Katiba.

Ni uongo kwasababu katiba waliyoapa kuilinda ni kwa pale tu wanapotaka. Magufuli alisigina sana Katiba mbona hatukusikia hoja ya kuilinda Katiba. Hata sasa imesigina sana Katiba, hivi kusema ni kosa.

Kuitetea katiba ni pamoja na kusema pale inapoonekana kuna tatizo si kukaa kimya au kuwa 'ndiyo mzee'' kwasababu tu mtu aliapa.

Mwaka 2010 tukiwa hapa Jamvini tulimuonya JK kwamba kuwafurahisha Wazanzibar kwa kuruhusu katiba yao iwe juu ya katiba ya nchi ni hatari. JK kama kawaida ni mtu wa kupendeza watu.

Leo Zanzibar wana Jeshi lao, yaani wana Chuo cha Monduli. Wameanzisha Chuo cha Uhamiaji. Hakuna Taasisi isiyo na mbadala. Wanapotaka maziwa na asali za Tanganyika wanabeba vitambulisho vya NIDA, wakirudi kwao si Watanzania. Huu ndio upuuzi uliotufikisha hapa, Watanganyika hawana cha kulaumiwa

Watanganyika wanatumia Utanzania kwa faida gani kutoka Zanzibar
Mkuu usijaribu ku balance kuwa mkweli! Ukweli ni kama upembe wa ng'ombe haujifichi

Hatari ninayoiona ni kwamba Viongozi wa sasa ni kama wameridhia kwamba muungano ufikie tamati, na kwa Watanganyika walivyochoshwa si dhani kama kuna miaka 3.
Kumbuka wao ndio wamebeba muungano na hawana cha kupoteza! silent majority! mark my words

Nakubaliana nawe kwasababu Mwalim Nyerere alidhani baada ya muda mrefu tutafikia hiyo Unitary state.
Ni kwa bahati mbaya hakuwa na partner upande wa Zanzibar.

Watanganyika walikubali hilo na hadi 2010 hawakuwa na habari na Muungano. Wazanzibar waliowaamsha kwamba ni mazezeta ,Wakoloni, wanaionyonya Zanzibar, hawana uchungu na nchi yao n.k.

Watanganyika wakahoji moja baada ya jingine na kubaini wameubeba Muungano na kuibeba Zanzibar. Wakabaini Zanzibar haina mchango wowote wa maana kwa maisha yao. Wakahoji gharama za Muungano ukilinganisha na faida. Hilo likazua hoja moja muhimu, hivi Tanganyika inapoteza nini bila muungano!

Wananchi wanatambua kwamba muungano ni unsustainable , wanazungumzia alternative ili kuzuia collapse ambayo sasa ni imminent

Si kweli hata kidogo! Mwaka 1991-1992 Aboud Jumbe hakuwepo madarakani kabisa.
Kilichomuondoa Jumbe ni Muungano tena hoja ya serikali tatu. Baada ya miaka mingi kwa mara ya kwanza Tume ya Warioba ilipotoa rasimu ya serikali 3, Jumbe alionekana hadharani akisema amekuwa vindicated
Hata kabla ya vyama vingi tayari kulikuwa na vugu vugu la kina Shaaban Mloo na wengineo chini chini


Again, si kweli. Muungano wa mkataba haikuwa hoja Tume ya Warioba ilipoanza kukusanya maoni.
Hoja ya Maalim Seif ilikuwa serikali 3 , CUF walipofikisha rasimu yao haraka haraka chini ya huyu DC Mtatiro madai yalikuwa Kurudi kwa Tanganyika.

Maalim Seif akaambiwa kurejea kwa Tanganyika kutaifanya Zanzibar dhaifu . Hapo akaleta hoja ya Muungano wa mkataba. Ni hoja ya kipuuzi sana aliyotoa Maalim Seif kwasababu mara zote hakuwahi kuitetea kwa mantiki. Mkataba utahusu nini na una faida gani kwa Tanganyika! hakuweza kujibu

Hata leo ukimuuliza Jussa, OMO na wengine hakuna anyeweza kukuambia Mkataba ni wa nini na unafaidisha vipi pande zote mbili za Muungano! hawawezi kwasababu ilikuwa hoja ya kipuuzi iliyojengwa kipuuzi na kwa bahati mbaya tunakumbatia upuuzi huo kama hoja muhimu. Huuni moja ya upuuzi wa Maalim Seif, tuiache

Wapambe wake akina Jussa, walisema Kijiografia Zanzibar itabaki katika kivuli cha Tanganyika kwa maana kwamba, Tanganyika ina provide huduma za Ulinzi na Usalama , Budget support, inatoa ajira kwa Wazanzibar kuliko SMZ, ni soko la biashara la Zanzibar kiutalii na kibidhaa. Ni eneo lililobeba Wazanzibar wengi kuliko Zanzibar yenyewe.

Hamad Rashid alisema wapo Wazanzibar 1.2 Milioni Tanganyika wakinufaika na huduma za kila aina bila ubaguzi. Kuwarudisha hawa Zanzibar kutazua mgogoro wa resources na chuki zitarudi

Hapa si sahihi. Hakuna Tume iliyoundwa ya matatizo ya Muungano iliyokuja na maoni tofauti na ya Warioba. In fact Warioba alipitia rejea za Tume za Nyalali, Shelukindo, Kisanga, Amina n.k. na zote zilikuwa na jibu moja, muundo wa sasa haufai na Serikali 3 ni jawabu.

Warioba alikusanya maoni ya Wananchi akapata jibu lile lile. Kumbuka ilikuwa ni lazima kuwa na jibu la nini kifanyike, na ingekuwa wendawazimu kusema tofauti . Jitihada za kufanya muungano kama taboo zilikuwa za kipuuzi na ndizo zimetufikisha hapa! Warioba sioni kosa lake

Mkuu ukilinda Katiba ya JMT haina maana usiwe na maoni tofauti . Huu ndio ujinga uliotamalaki. M
abunge yaliyopita badala ya kutafuta jawabu wanasema wameapa kulinda Katiba.

Ni uongo kwasababu katiba waliyoapa kuilinda ni kwa pale tu wanapotaka. Magufuli alisigina sana Katiba mbona hatukusikia hoja ya kuilinda Katiba. Hata sasa imesigina sana Katiba, hivi kusema ni kosa.

Kuitetea katiba ni pamoja na kusema pale inapoonekana kuna tatizo si kukaa kimya au kuwa 'ndiyo mzee'' kwasababu tu mtu aliapa.

Mwaka 2010 tukiwa hapa Jamvini tulimuonya JK kwamba kuwafurahisha Wazanzibar kwa kuruhusu katiba yao iwe juu ya katiba ya nchi ni hatari. JK kama kawaida ni mtu wa kupendeza watu.

Leo Zanzibar wana Jeshi lao, yaani wana Chuo cha Monduli. Wameanzisha Chuo cha Uhamiaji. Hakuna Taasisi isiyo na mbadala. Wanapotaka maziwa na asali za Tanganyika wanabeba vitambulisho vya NIDA, wakirudi kwao si Watanzania. Huu ndio upuuzi uliotufikisha hapa, Watanganyika hawana cha kulaumiwa

Watanganyika wanatumia Utanzania kwa faida gani kutoka Zanzibar
Mkuu usijaribu ku balance kuwa mkweli! Ukweli ni kama upembe wa ng'ombe haujifichi

Hatari ninayoiona ni kwamba Viongozi wa sasa ni kama wameridhia kwamba muungano ufikie tamati, na kwa Watanganyika walivyochoshwa si dhani kama kuna miaka 3.
Kumbuka wao ndio wamebeba muungano na hawana cha kupoteza! silent majority! mark my words

Nguruvi3 Mkuu mbona unarudia kuzungumzia matukio wakati mimi nakueleza nini kinasababisha mambo kutokea nyakati hizi.

Hakuna pahala nimemzungumzia Aboud Jumbe lakini wewe umemuweka wakati issue zake ilitokea ndani ya vikao vya Chama na kama sikosei ni pamoja na Mzee Malecela walotaka Serikali 3 na chanzo chake ni Aboud Jumbe alipambana na msukumo wa vijana (GenZ) Kisiasa kule Zanzibar, hakuweza kusimama kama rais.

Unajua katika Utawala unapoapishwa kuwa kiongozi wa nchi na ukaapa mbele ya Mamlaka Kuitetea na Kuilinda Katiba ya nchi, halafu wewe ukageuka kuwa msemaji na mpinzani wa Katiba, hili ni kosa kubwa sana sawa na UHAINI.

Utanisaheme sikuweza kusoma mambo yooote humu kutokana na kwamba tunarudi kuelezea what happened badala nini sababu ya haya kutokea ili tuweze kupata ufumbuzi wake.

Narudia kusema hivi, Muungano wetu ni wa NCHI MOJA inayoitwa TANZANIA na sisi sote ni Watanzania. Kuundwa kwa Serikali ndani ya nchi lengo lake sio kuunda nchi nyingine ndani ya Muungano, bali lengo ni KUGAWA MADARAKA kila Upande uweze KUSIMAMIA majukumu ambayo sii lazima yashughulikiwe na Serikali Kuu. Nyie wazungu mnasema "Division of Power" Ya Bara yatasimaniwa na Serikali Kuu. Kuwa na Serikali hakuifanyi kuwa ni NCHI, tuna Serikali za Mitaa haina maana hizi nazo ni NCHI.

Kule Kwenye Mihimili tunasema "Separation of Power" na kwenye Maeneo tunasema "Division of Power" haina maana nyie sio Kitu kimoja. Hata wana ndoa wanapoana wanaweza gawana majukumu ndani ya nyumba moja, hii haina kila mmoja Chake ni Chake! mkuutane kwenye Bills! Mnaanza hata kunyimana Unyumba! Mkianza hivi ndio Uswahili unakuja hivi Nyumba ni ya Nani? Nani katoa hela zaidi? nani ana shughuli nyingi zaidi, na mengineyo.

Wadanganyika wanadai NCHI yao hapo ndio nashindwa kuwaelewa kabisa kwa sababu umetoka kuitwa Mary sasa unaitwa Maryam ndani ya ndoa, inatokea sintofafamu unauliza kwani ndoa ilikuwa baina ya nani na nani? Kisa jina tu. Nia yako haswa usikie ukiitwa Mary sio Maryam.

Halafu ukisha itwa Mary kinafuata nini? Labda Oooh Mary alikuja katika ndoa na Gari lake, kiwanja chake, Watoto wake n.k yote haya ya nini? Kama hutaki ndoa OMBA TALAKA muachane yaishe, sio kuweka visingizio vya mumeo anaku abuse kwa maneno makali. Unauliza maneno gani aaah anawaambia watu hii ni nyumba Yake! So, unapungukiwa nini?

Anyway, Haya mambo kwangu naona Ujinga mtupu kwa Wazanzibar na Wadanganyika! Umaskini tu unatusumbua.

Niliwahi kusema hapa "ADUI MKUBWA WA UMASKINI NI MASKINI WENYEWE" Hata ndugu wa tumbo moja ikifika maswala ya mali hugombania kugawana Mali za wazazi wao ambazo hawakuzalisha wao. Behind of this, ni dhana ya kuwa I can do better by myself. Umaskini tu.

Miafrika Ndivyo Tulivyo - @ Nyani Ngabu

Maasalaam.
 
Back
Top Bottom