Hackers wafanya yao website ya UDSM

Asanteni kwa kujitambulisha....! tunapitia rekodi ili tuwasombe wote...!
 
Hope it's ethical hacking n done in good faith...! Big respect comrades...!
 
hackers kutoka Tanzania waingilia tovoti ya universtiy of dar es salaam kitengo cha aquatic

wanadai serikali inawasomesha lakini ajira wanapeana kindugu na zoezi hili ni endelevu





aquatic.udsm.ac.tz
Wanazingua, unaweza kuingilia system... Nenda ka hack Voda au Tigo chukua mitonyo m-pesa au Tigo pesa then kafanye bussness. Ka hack NMB iba mitonyo.. Unapambana ili uajiriwe. Ajira ni udwanzi tu
 
Na wasiwasi na hilo neno ASEE a clue for the unsub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…