Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Status
Not open for further replies.
Mkuu Molemo siamini sana taarifa hizi kwani Habib Mchange japo tumemfukuza Chama ila tulimuamini mpaka kumpa nafasi ya kugombea Ubunge hivyo viwango alivyokuwa amefikia ndani ya chama naamini sio mtu wa kuiba simu.

Nafikiri japo kuna tofauti ya kimtazamo UTU na THAMANI YA UTU tusiipoteze kwa sababu ya siasa

hizi taarifa zitakua za kweli make mwenzake TUNTEMEKE hajakana hapo juu
 
Alivyokua CDM walimuona muhimu kwao na walikua wanamlipa kwa kazi waliyomtuma, leo kamwagika CCM hawataki hata kumsikia amekua kama cond..m! poor habib.......... umechoka mpk unaiba simu? ukitoka nenda temeke mtemvu kashawatafutia ajira uarabuni.......!
 
Watu wenye akili kama yako na mtoa mada hamstahili kuwa CCM kabisa hata fedha mlizobahatishwa kuhongwa shukuruni ur not deserved mmepotea cjui mtakimbilia wapi CHaumma,ADC au NCCR bcoz CCM no Chance mmeumbuka
Vijana waliohukumiwa wote niwale wanaotokea Mbeya, Mbozi na Kibaha. Wakati Vijana wa Kilimanjaro wameachwa kwa madai wao wametoa ushirikiano.

Waliohukumiwa ni:
_Mtela Mwampamba-Mbozi, Mbeya
_Habib Mchange-Kibaha, Pwani
-Juliana Shonza-Mbozi, Mbeya
-Joseph Kasambala – Mbeya mjini (kasimamishwa)
- GWAKISA Mwakasendo –Rungwe, Mbeya (kasimamishwa)

Pamoja na wanachama watatu waliopo Mbeya mjini waliofukuzwa uanachama.

Waliosamehewa ni:
_Ben saanane-Kilimanjaro
_Exaud Mamuya-Kilimanjaro.

Hii ni dhamira ya wazi kabisa kwamba CHADEMA sasa ni chama cha kikanda
, Viongozi wa CHADEMA wanatumika kutangaza ukanda kwa watanzania.

Kwa maana hiyo wale wote wasio wa kaskazini ndani ya Chadema tusitegemee kutendewa haki.

source; juliana shonza
 
Masalia PM7 hawahitajiki kabisa CCM
Alivyokua CDM walimuona muhimu kwao na walikua wanamlipa kwa kazi waliyomtuma, leo kamwagika CCM hawataki hata kumsikia amekua kama cond..m! poor habib.......... umechoka mpk unaiba simu? ukitoka nenda temeke mtemvu kashawatafutia ajira uarabuni.......!
 
Sometimes yes! Sometimes no! Juzi watu walisema kijana anaukwasi wa kufa mtu baada ya kusaliti ubunge mwaka 2010. Imekuwaje??????

TENA LEO?????????? Yes or No!!

Niwe Tomaso
 
-Kuna aliyekua anatoa mapovu bungeni kutaka posho iongezwe ifikie laki 5 kwa siku na kuibatiza UJIRA WA MWIHA sasa kumbe povu lote lile ni ili aje adhamini uasi kupitia MASALIA GROUP

-Juzi amewapiga chenga hajatoa hela za press conference.Maskini huu ukwapuaji wa simu ni katika jitihada za kuziba ombwe ili wafanye Press conference kwa kuwa viongozi wao ni mabingwa wa kuwakana na kuwaachia soo wenyewe.

Tuungane kupinga vijana kutumika na wakati huo huo tuwawajibishe na kuwalaani vikali wale wanaotaka kutumia vijana vibaya kwa maslahi yao


Hahaaa!! "UJIRA WA MWIHA" - Ben hatari sana
 
mh jaman hebu tuwe wakweli katika hili wajua hizi habari ni za kushtua kidogo ni kweli kamanda mchange kakamatwa yupo mabatini
 
B saa tisa atakuwa anahusika hapa, lazima atakuwa amemtegea hiyo kitu! Hutu dogo ni afadhali ya Yuda !
 
Vijana wa CCM hatutaki kuwaona kabisa hawa makahaba wakisiasa hawana nafac kabisa CCM hata ya Balozi wa Nyumba kumi ama ukuu wa Kaya. Kama Viongozi mafisadi watawapokea ama kuwaunga mkono hawa utakuwa ni upuuzi mwingine kwa CCM yangu hawa ni type ya le mutuz hawastahili kabisa kuwa CCM ya Nyerere

daa leo umeongea kama mtu, umeamua uzirudishe akili zako ulizoazima
 
kama kiogozi anafikia hatua ya kukwapua simu, sasa si anaweza kuwauza hata wananchi wake? CDM mnaona mbali jamaa asingewafaa. ntapita hapo kijitonyama ni njia ya kwenda nyumbani nimcheki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom