Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Habib Mchange akamatwa na Polisi...!

Status
Not open for further replies.
Duh, afadhali mana mwisho wa hii picha ni watanzania kujua A-Z ya CDM, zimwi likujualo.... Sijui kama mtafika salama 2015.
 
Duh, afadhali mana mwisho wa hii picha ni watanzania kujua A-Z ya CDM, zimwi likujualo.... Sijui kama mtafika salama 2015.
Mchange atakuja kujibu hili,na this itakuwa too bad kwa chama cha Chadema maana naamini atasema ukweli,molemu ungekaa kimya tu
 
Mchange atakuja kujibu hili,na this itakuwa too bad kwa chama cha Chadema maana naamini atasema ukweli,molemu ungekaa kimya tu

Nasikia kalamba kweli na sio simu moja, ila katapeli za mamilioni yaani kamwingiza mfanyabiashara chaka ......
 
du mpaka sasa hajaachiwa tuu??ngoma imellala hiyo huyo kesho Kisutu,mtuletee picha pls

Shoza na Drogba mjipange sasa mkamuwekee dhamana team mate wenu
 
weka picha,kamwibia nan sim,aina gan .kamilisha habari au kama vp ondoa majungu humu
 
Namuonea huruma sana , hata kama ana makosa bado hastahili adhabu ya kudhalilishwa namna hiyo , hebu wana CDM mliokaribu na eneo la tukio muokoeni Habibu jamani !
 
mmmm..... someni vizuri hii movie ya kitoto!

Asubuhi -consultant wa CCM anaanzisha uzi wa kuhoji 'uadilifu' wa mwenyekiti wa BAVICHA, mchana Juliana Shonza anafanya mkutano na waandishi wa habari na kutuhumu uongozi wa juu wa BAVICHA NA CHADEMA kwa jumla, wakati huo huo mjumbe wa PM7 anakamatwa na polisi kwa tuhuma za wizi wa simu! What a coincendence?

Kichekesho, mtuhumiwa wa wizi wa simu anakosa dhamana! Hivi ni kweli dhamana ya wizi wa simu ni ngumu kiasi hicho au kuna mchezo umeandaliwa ili kupata 'maxumum' symphathy toka kwa umma kuwa PM7 'wanaonewa? maccm bana!

this is what we call great thinking!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Miaka hii Mungu hakawizi hukumu, huwezi tukana mtu tegemeo la watanzania km DR. Slaa halafu ubaki salama.
Acha ujinga wa kufikiri usiwe kama kambare bichwa kubwa lakini hana akili huyo babu slaa ni tegemeo la kanisa sio watanzania ana kashifa kibao kama kutembea na mke wa mtu,kutelekeza watoto wake,pesa za mradi wa maji karatu na mengi mengineo za kujikopesha pesa za chama bila kulipa usimtukuze mtu kiasi hicho kama malaika
 
Molemo: Ni kweli wewe ndiye umeanzisha uzi huu...au kuna mtu kavamia JF ID yako na kupost taarifa hii !?
 
Last edited by a moderator:
Imagine Ng'ombe wangekuwa wanapaa..sisi wenye nyumba za makuti sijui tungeishije
 
na vile alikimbia shule...kazi ipo kwelikweli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom