democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
hii ni kweli mkuu au ndo kukandiana kunaendelea? but just questioning
Aliyeleta habari ajitahidi kufafanua huo wizi wa cm? Ilikuwaje na kivip! Tueleze,na mnaochangia bila kuhoji mmekurupuka
Wakati ccm na majangiri, mafisadi, watoa roho, watesaji, wakwale ni damu moja.Mbona hakuna cha kushangaza hapa, CDM na Polisi dugu moja tangu zamani!