chapaa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2008
- 2,351
- 204
Baada ya kuwa kimya mda mrefu na pilika za maisha japo tulikuwa pamoja kwa namna moja ama nyingine naomba niwape pole kwa ndugu zangu wote walio kutana na wakati mgumu mpaka kufikia kukata tamaa na kwa wale walio fanikisha matarajio yao pia nawapa hongera.NDUGU ZANGU NIMERUDI NA TUKO PAMOJA.