ninosi
Senior Member
- Jun 30, 2022
- 151
- 333
Kuelekea mechi ya leo kati ya Yanga SC na Tanzania Prisons.. Msemaji wa Tanzania Prisons anena haya wakati akihojiwa na kituo kimoja cha redio:-
Mtangazaji: Kuelekea mechi ya leo, je katika timu yenu kuna majeruhi yoyote?
Msemaji: Benjamini Asukile yupo salama.. Pia wachezaji wenzake wote wako salama.
Hii ni habari njema sana kwetu sisi mashabiki lia lia wa Tanzania Prisons.
Kila la heri Wajelajela
Mtangazaji: Kuelekea mechi ya leo, je katika timu yenu kuna majeruhi yoyote?
Msemaji: Benjamini Asukile yupo salama.. Pia wachezaji wenzake wote wako salama.
Hii ni habari njema sana kwetu sisi mashabiki lia lia wa Tanzania Prisons.
Kila la heri Wajelajela