Mwamnyeto ni tatizo Yanga sc 2023/2024

mwehu ndama

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
543
1,839
Nikiwa kama mwanachama halali wa yanga na shabiki mwenye mapenzi ya kweli na timu yangu, naomba niseme wazi bila kupepesa macho kwamba mchezaji wetu bakari nondo mwamnyeto ameshuka sana kiwango msimu huu.

Naomba nieleweke wazi kuwa tathmini hii haizingatii mechi hii ya Leo dhidi ya Tanzania prisons pekee, bali katika mechi zote alizoaminiwa na kupewa nafasi ya kucheza huyu jamaa amesababisha hasara kubwa sana kimatokeo kwa timu yetu.

Mechi ya kwanza yanga sc tunacheza na ihefu back pass yake ndio ilileta madhara na ihefu wakutupiga bao la kwanza kabla ya yeye kukabia macho goli la pili la Charles ilafya.

Mechi dhidi ya madeama away Ghana, anafanya makosa mengi ya kiufundi mwisho wa siku anamuachia mzigo dickson job anacheza faulo ndani ya boksi kisha tunapigwa chuma ya penalty na Jonathan soawa.

Mechi dhidi ya Al ahly anafanya making ya kipumbavu kabisa anampasia pass ya wazi percy Tau anatupiga chuma kwa mkapa.

Mechi dhidi ya Tanzania prisons jamaa anafanya makosa lukuki ya kipumbavu, nakumsababishia kadi nyekundu metacha mnata, hiyo haitoshi kwa makosa yale yale anamsababishia kadi nyekundu zabona mayombia wa Tanzania prisons.

Huyu mwamnyeto ajiangalie, Yanga sio ya baba yake wala sio timu ya wazigua, nafikiri niwakati wa yeye kuachia kitambaa cha unahodha katika mikono ya khalidi aucho.

Mwamnyeto wewe ni tatizo Yanga sc.
 
Nikiwa kama mwanachama halali wa yanga na shabiki mwenye mapenzi ya kweli na timu yangu, naomba niseme wazi bila kupepesa macho kwamba mchezaji wetu bakari nondo mwamnyeto ameshuka sana kiwango msimu huu.

Naomba nieleweke wazi kuwa tathmini hii haizingatii mechi hii ya Leo dhidi ya Tanzania prisons pekee, bali katika mechi zote alizoaminiwa na kupewa nafasi ya kucheza huyu jamaa amesababisha hasara kubwa sana kimatokeo kwa timu yetu.

Mechi ya kwanza yanga sc tunacheza na ihefu back pass yake ndio ilileta madhara na ihefu wakutupiga bao la kwanza kabla ya yeye kukabia macho goli la pili la Charles ilafya.

Mechi dhidi ya madeama away Ghana, anafanya makosa mengi ya kiufundi mwisho wa siku anamuachia mzigo dickson job anacheza faulo ndani ya boksi kisha tunapigwa chuma ya penalty na Jonathan soawa.

Mechi dhidi ya Al ahly anafanya making ya kipumbavu kabisa anampasia pass ya wazi percy Tau anatupiga chuma kwa mkapa.

Mechi dhidi ya Tanzania prisons jamaa anafanya makosa lukuki ya kipumbavu, nakumsababishia kadi nyekundu metacha mnata, hiyo haitoshi kwa makosa yale yale anamsababishia kadi nyekundu zabona mayombia wa Tanzania prisons.

Huyu mwamnyeto ajiangalie, Yanga sio ya baba yake wala sio timu ya wazigua, nafikiri niwakati wa yeye kuachia kitambaa cha unahodha katika mikono ya khalidi aucho.

Mwamnyeto wewe ni tatizo Yanga sc.
safi nimekusifu jinsi ulivyowasilisha hoja yako bila matusi
 
Khaass nasubiri maoni benchi ufundi au wenye utaalam sawa na benchi
 
Ni kweli kuna wakati nahodha wetu Mwamnyeto anazingua kwenye baadhi ya mechi anazo amini. Ila bado sidhani ka amefikia hatua ya kuonekana ni tatizo.

Maana yeye anapewa hiyo nafasi ya kucheza na kocha. Kama ni tatizo basi ni la kocha anayempanga kucheza.
 
Mpigebu benchi kwanza akae sawa ....Umri ushaenda mwili wa kujiachia sio mzuri.
 
Naomba nieleweke wazi kuwa tathmini hii haizingatii mechi hii ya Leo dhidi ya Tanzania prisons pekee, bali katika mechi zote alizoaminiwa na kupewa nafasi ya kucheza huyu jamaa
Umetaja mechi nne alizocheza vibaya, je vipi kuhusu mechi nyingine??? Mzani unaelekea wapi?? Wewe mambo yako yote hunyooka?

Nafikiri unasumbuliwa na hiki:

chuki

/t∫uki/

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya.

 
Nikiwa kama mwanachama halali wa yanga na shabiki mwenye mapenzi ya kweli na timu yangu, naomba niseme wazi bila kupepesa macho kwamba mchezaji wetu bakari nondo mwamnyeto ameshuka sana kiwango msimu huu.

Naomba nieleweke wazi kuwa tathmini hii haizingatii mechi hii ya Leo dhidi ya Tanzania prisons pekee, bali katika mechi zote alizoaminiwa na kupewa nafasi ya kucheza huyu jamaa amesababisha hasara kubwa sana kimatokeo kwa timu yetu.

Mechi ya kwanza yanga sc tunacheza na ihefu back pass yake ndio ilileta madhara na ihefu wakutupiga bao la kwanza kabla ya yeye kukabia macho goli la pili la Charles ilafya.

Mechi dhidi ya madeama away Ghana, anafanya makosa mengi ya kiufundi mwisho wa siku anamuachia mzigo dickson job anacheza faulo ndani ya boksi kisha tunapigwa chuma ya penalty na Jonathan soawa.

Mechi dhidi ya Al ahly anafanya making ya kipumbavu kabisa anampasia pass ya wazi percy Tau anatupiga chuma kwa mkapa.

Mechi dhidi ya Tanzania prisons jamaa anafanya makosa lukuki ya kipumbavu, nakumsababishia kadi nyekundu metacha mnata, hiyo haitoshi kwa makosa yale yale anamsababishia kadi nyekundu zabona mayombia wa Tanzania prisons.

Huyu mwamnyeto ajiangalie, Yanga sio ya baba yake wala sio timu ya wazigua, nafikiri niwakati wa yeye kuachia kitambaa cha unahodha katika mikono ya khalidi aucho.

Mwamnyeto wewe ni tatizo Yanga sc.
Upo sahihi Hata gamondi analijua Hili rejea mechi ya simba , mwamnyeto hakupangwa Mpaka dakika za mwisho .
Mechi na Al ahly ilipangwa nafikiri beki za Kati Zote Tatu zilikuwepo akiwemo bacca na job , lakini bado walikuwa hawajampa nafasi gift Fred lakini kwa uwezo sasahivi ni bora gift Fred kuliko mwamnyeto .
Kama gamondi atapanga kwa kuangalia sura yanga itakula hasara kwa jamaa kuchomesha .
Muhimu akae benchi afanye zoezi la kupambania namba .
 
Umetaja mechi nne alizocheza vibaya, je vipi kuhusu mechi nyingine??? Mzani unaelekea wapi?? Wewe mambo yako yote hunyooka?

Nafikiri unasumbuliwa na hiki:

chuki

/t∫uki/

tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya.

Hii tayari nikiashiria cha kuwa wewe hufuatilii mpira, huyo mwamnyeto ameanza mechi chache sana, na asilimi kubwa ya mechi zote alizocheza timu ilikosa utulivu
 
Kuna wakati wachezaji huitajika kupumzisha miili na akili, kuwe na kucheza kwa rotation kwenye mechi zisizo za muhimu sana
 
Nyie jamani kila mtu ni mzee. Bakari ana uzee gani kijana mdogo yule hata kwa sura tu anaonekana.

Nadhani ni uchovu wa kucheza mechi mfululizo mashindano yote msimu uliopita, ila bado hajafikia hatua ya kusemwa namna hii.

Mbona anaokoa hatari nyingi hamsemi?
 
Kila Siku Najiuliza Kwanini Mwamnyeto Anapoteza Kujiamini Katika Nafasi Yake Maana Makocha Wengi Wamamuamini Sana Hadi Timu Ya Taifa Anaaminiwa.


Inabidi Aongee Vizuri Na Dickson Job Kuongezewa Confidence.

Kila La Kheri Dar Young Africans Kwa Ushindi Mwingine Wa 2023/2024
 
Nyie jamani kila mtu ni mzee. Bakari ana uzee gani kijana mdogo yule hata kwa sura tu anaonekana.

Nadhani ni uchovu wa kucheza mechi mfululizo mashindano yote msimu uliopita, ila bado hajafikia hatua ya kusemwa namna hii.

Mbona anaokoa hatari nyingi hamsemi?
Kwenye mpira 30 tu ukifika.tia maji tia maji.
 
Back
Top Bottom