Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,314
- 10,017
Kama una upungufu wa kusikia au unamjua ndugu, jamaa au rafiki yako mwenye upungufu wa kusikia, tafadhali mjulishe kuwa chama cha kuhudumia viziwi Tanzania kitatoa vifaa vya kusaidia kusikia bure kabisa bila malipo yoyote, jumatano ya tar.19 June 2019 katika mji wa Dodoma.