muhogomchungu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 375
- 3
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake