Habari Corparation imezaliwa Upya?

muhogomchungu

JF-Expert Member
Jan 9, 2011
375
3
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake
 
fanyeni utafiti mtagundua

mi pia nimenote some changes, hasa wanaposoma magazeti kwen TV asubuhi, sina hakika na changes kwenye bodi ya uhariri kwa sababu kusema kweli siyanunui hata siku moja, lakini ni kweli kuna mabadiliko flani
 
kaka nimeipenda hii ustarabu muhimu , mambo ya kutukanana yamepitwa na wakati pinga hoja cyo matusi
 
Hapa kuna ukweli hasa mtanzania limebadilika, lakini haya magazeti rai na mtazania si ni Rostam
 
Hivi kwani hamfahamu camp ya RA na EL wamekuwa na strategy ya kuichafua serikali ya mkwere na kuiondolea imani kwa umma, imani ambayo tayari haipo...in short wanafanya kila wawezalo kufanya kazi ya serikali iwe ngumu mara mia!!
 
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake

umetumwa kuyafanyia udalali?

waambie magazeti yao yapo kwenye kundi moja na Uhuru, Daily Noise, HabariLeo, Jambo Leo, Mtanzania, RAI, Mzalendo

aya magazet yanachukiwa kama inavyochukiwa CCM
 
mi pia nimenote some changes, hasa wanaposoma magazeti kwen TV asubuhi, sina hakika na changes kwenye bodi ya uhariri kwa sababu kusema kweli siyanunui hata siku moja, lakini ni kweli kuna mabadiliko flani

wamefulia hao mtanzania.

hata leo ukitaka gazeti lenye habari za majungu kuhusu dr.slaa, soma mtanzania na rai
 
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake

AAaaaah Muhingooooo....unaanza promo eeeh???? Kudadadeki hatununui ushuzi wowote wa habari corp.hata mkiremba vipi!
 
wewe umejiharishia.... katawaze

Tuko kwenye karne ambayo tuna teknolojia ya 3D( three dimension). wewe ubongo wako bado unafikiria fikiria in 1D( One Dimension).

Jitatahidi kuatazma,kusoma na kuchambua mambo kwa marefu ,mapana na kimo chake.

Usikute unawacheka kina makamba kumbe wana nafuu zaidi yako
 
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake

Tatizo kubwa unalo, unakuja jamvini unanuka kila mtu anakukimbiza, huchambi ww,
hujui kuoga jitu zima, Magazeti ya kifisadi, stop popularizing them, ww mwenye muhogomchungu maskini fukara kunuka, unatetea magazeti ya kifisadi, stop enslaving
urself, no dought umetumwa, kibaraka ww
 
Ndugu zangu msidanganyike na magazeti yanayofanya kazi za propaganda. Mtachanganyikiwa bure tu. Ebu fikiria yalivyofanya kazi ya kumchafua Dr. Slaa (PhD) na chadema na kuipamba ccm!!! Halafu leo hii mtu aniambie eti magazeti yameanza kuichambua ccm, ni ukinyonganyonga wa hayo magazeti ni move iliyobuniwa rasmi kuvuruga upinzani. Hakuna lolote hapo. Wapuuzwe tu.
 
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake

Changa la amcho
 
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake

Okay muhogomchungu, sasa tuambie lengo lako la kuleta hii hoja jamvini - je ni kwamba unatushauri tuanze kuyanunua hayo magazeti ? Kama ni hivyo mimi nakuambia bila kumung'unya maneno - siyanunui ng'o ! Unataka kujua sababu ? Haya nitakuambia - wanaoendesha hayo magazeti wananuka ! Bila shaka unajua ni viumbe gani vinapenda kuogelea penye uvundo na uchafu, haya nitakuambia - ni inzi ! Magazeti ya Habari Corporation ? you must be kidding !
 
As far as i know C.E.O wa Habari Corporation ni Hussein Bashe swahiba wa Rostam so i am not sure kama kuna changes zozote ambazo tuzitarajie hasa kwenye uandikaji wa habari zao
 
kila nikisoma magazeti ya Rai na Mtanzania naona sasa tofauti, yanaichambua ccm, kuna tetesi kwamba bodi ya habari corparation imekaa na imeamua kuichambua ccm kama Karanga, hata wale magwiji wa makala zinazoichambua ccm kama vile hilal k. Sued amerudishwa tena kuandika makala ktk gazeti la rai na sasa ameambiwa atumie ipasavyo kalamu yake kuichambua ccm na ameicha solemba mwanahalisi ambayo alitimkia.hii inatokana na magazeti hayo hapo mwanzo kuelemea sana ccm jambo ambalo wachambuzi imeona itakuwa pigo kwa wale wanaowania urais na kuungwa mkono na magazeti hayo. sharti kubwa kutomgusa mmiliki wake

Nani kakutuma kufanya matangazo? Naona hali inazidi kuwa mbaya Habari ciorporation, kwa ushauri wangu fungeni au uzeni kampuni.
 
Mpaka Rostam aache umiliki ndio ntapata imani na hayo magazeti.....kwa sasa sinunui wala sisomi kwa mtu aliyenunua...kwa kuwa ntamzidishia Rostam utajiri wakati ananiibia
 
Mimi nachukia mmiliki wa haya magazeti kwa sababu ametuibia vya kutosha, ametudhalilisha kiasi cha kutosha hata najikuta kuchukia magazeti yeyewe na waandishi wake. Waandishi wa habari Corp wananuka kama anavyoinuka mmiliki wao!!! Hata waandike nini siwezi kusoma magazeti yao, labda wahame waende vyumba vingine vya habari na waache uozo walioambukizwa na Muejemi wao! Phu...... tuondolee takataka za kuwapamba mafisadi na mali zao!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi kwani hamfahamu camp ya RA na EL wamekuwa na strategy ya kuichafua serikali ya mkwere na kuiondolea imani kwa umma, imani ambayo tayari haipo...in short wanafanya kila wawezalo kufanya kazi ya serikali iwe ngumu mara mia!!

Kama Ni kweli wanatenda hayo toka rohoni na si mdomoni basi mwanangu Hekima inasema mamlaka yeyote ikijifitini LAZIMA ISAMBARATIKE Hasira ya mkizi ni furaha kwa mvuvi!
 
Back
Top Bottom