Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,355
- 23,072
Usisahau singasinga mwenye puto tumboni naye ALIKUWA MCHANGIAJI wa chama pale mlimani cityHii ya kuunganisha NIDA,NEC na CCM imenivuruga kabisaaa.
Yaani Siamini kama nchi iitwayo Tanzania ipo au tuna kitu kinaitwa Tanzania-Rostam-Mtandao.
Wahuni wamemgeuza Rais wetu kama Nyapara wa kulinda masilahi yao!