H.Polepole na high expectation, nadra sana duniani!

H.Polepole na high expectation, nadra sana duniani!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,217
Reaction score
14,811
H.Polepole alipotangaza kuongea na kuiambia nchi nzima ikae chonjo ili kumsikiliza nilikuwa na wasi wasi sana kwamba atachemka kwani mara nyingi sana watu wanapokuwa na high expectations huondoka disappointed, lkn H.Polepole ame-meet expectations za watu, yaani watu wamesubiri kwa hamu nchi nzima kumsikiliza na bado wakapata walichokitegemea na zaidi, hii siyo kawaida hata kidunia.

sasa nimeanza kuelewa zile shule za vipaji maalumu waasisi wetu waliona mbali.

respect!
 
1.) Kwamba kuna cable kutoka sisi em kwenda tume ya uchafuzi?
2.) Kwamba eisiitii na chauma ni mipango kuiuna demokrasia?
3.) Kumbe kiku wete na rost tam wameishika fisiem wanajipangia safu ndomana mkewe na mwanawe wanafrii entri?
4.) Hivyo VP na PM wamepisha maana awamu yao ya miaka kumi imeisha lkn kibb anafosiwa na tamaa zake na wanamtandao kuendelea?
5.) Kwahiyo chama kimejaa WAOGA wanashindwa kupingwa maovu yafanywayo na wahuni wakiongozwa na JAKAROSTA.
Tunamengi ya kujifunza na kuyafurumua tatizo kunanchi inawatu wengi WAOGA,wajinga,wasiojali na wasio wazalendo
 
IMG_7913.jpeg


Yule roporopo mwingine wa Mtama si kila siku anatueleza kushinda kwa hila ndio utamaduni wao CCM. Kuna mada ngapi za yule fisadi alietemwa Bumbuli na genge lake kuchezea mfumo wa IT 2015.

Polepole hakuwa na sababu ya kuongelea kwa undani, kitu ambacho tayari ni ‘open secret’ kwa watanzania.

Si ndio maana hata CDM na watanzania wanataka reforms (no elections) swala lingine.

Miscalculated move kwa upande wa Polepole, more like adding substance to a saturated solution.

It changes nothing nor add value, zaidi ya kujiharibia trustworthiness yake, huko mbele watu watakuwa makini kumwambia mazito ya nchi kama hana kifua cha kukaa na siri.
 
View attachment 3448737

Yule roporopo mwingine wa Mtama si kila siku anatueleza kushinda kwa hila ndio utamaduni wao CCM. Kuna mada ngapi za yule fisadi alietemwa Bumbuli na genge lake kuchezea mfumo wa IT 2015.

Polepole hakuwa na sababu ya kuongelea kwa undani, kitu ambacho tayari ni ‘open secret’ kwa watanzania.

Si ndio maana hata CDM na watanzania wanataka reforms (no elections) swala lingine.

Miscalculated move kwa upande wa Polepole, more like adding substance to a saturated solution.

It changes nothing nor add value, zaidi ya kujiharibia trustworthiness yake, huko mbele watu watakuwa makini kumwambia mazito ya nchi kama hana kifua ya kukaa na siri.

Hili ndio linalonishangaza maana haya yote sio mageni.

JM na team yake walikuwa na kitengo pale masaki iko wazi Kwa kila mtu toka 2015, na ndio maana hata sasa amepumzishwa aendelee na majukumu yake yaleyale.

Kipilimba alipelekwa pale NEC IT strategically kila mtu alijua na watu walilipigia kelele hasa team "ulipo tupo",

Prop Lipumba alilipigia kelele na hata kwenda China kufanya uchunguzi juu ya Ballot papers, CUF wanalijua hili vizuri.

HP 2015 na 2020 naye alikuwa engineer WA huu michezo kiasi cha kushinda uchaguzi kelele zikapigwa na watu wakapiga kimya na yeye akashangilia ushindi hata kwa kutukebehi, God father amekufa na sasa network haipo tena tunamuona shujaa.

Watanzania tunahitaji sana utulivu wa akili.

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
HP 2015 na 2020 naye alikuwa engineer WA huu michezo kiasi cha kushinda uchaguzi kelele zikapigwa na watu wakapiga kimya na yeye akashangilia ushindi hata kwa kutukebehi, God father amekufa na sasa network haipo tena tunamuona shujaa.
Ukiwa vitani na ghafla adui yako akakupa hints za namna ya kumshinda, unahitaji kuwa karibu nae as far as hizo hints ni genuine 😄
 
Ufunuo 22:12
"Tazama, naja upesi; na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo."
 
Taifa linaxidi kufunguliwa taratibu , na wao wanajua ,kama siri za ushindi zitaendelewa kuachiwa itafika mahali hata wao wenyewe watajiona wapo uchi .

Sibora tu wangelikubali tu zile minimal reforms halafu watupige kwa upande wa pili kuliko hii haibu wanayoendelea kukutana nayo?
 
Ukiwa vitani na ghafla adui yako akakupa hints za namna ya kumshinda, unahitaji kuwa karibu nae as far as hizo hints ni genuine 😄

Once a traitor always a traitor.
Ogopa msaliti aliyeshangili jana baada ya upepo kuwa upande wake na leo anachukia matendo yale yale baada ya upepo kuwa tofauti na yeye.
Tujifunze Kwa El na team yake walivyoudhoofisha upinzani.

Case ya HP ni gangs war ndani ya CCM na dhamira yao ni ileile wote, tuwe makini hapa.

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Once a traitor always a traitor.
Ogopa msaliti aliyeshangili jana baada ya upepo kuwa upande wake na leo anachukia matendo yale yale baada ya upepo kuwa tofauti na yeye.
Tujifunze Kwa El na team yake walivyoudhoofisha upinzani.

Case ya HP ni gangs war ndani ya CCM na dhamira yao ni ileile wote, tuwe makini hapa.

ndani ya mitaa ya Benghazi Libya.

kama el unamaanisha Lowasa basi sidhani kama uko sahihi kwa kusema alidhoofisha upinzani, uchaguzi chini ya Lowasa uliipa chadema ushindi mkubwa siajabu klk yote kuwahi kutokea, wabunge wengi labda klk kipindi chochote, uliloanzisha career za wanasiasa wapya jiji lote la dar lilikuwa chini ya chadema au unafikiri akina Boni Jacob wanaotamba leo waliotokea wapi?

sema labda kilichopaswaa kutokea ni ku maintain momentum iliyokuwepo lkn kusema kwama Lowasa alidhoofisha upinzani kwa maomi yangu siyo sahihi ...
 
Taifa linaxidi kufunguliwa taratibu , na wao wanajua ,kama siri za ushindi zitaendelewa kuachiwa itafika mahali hata wao wenyewe watajiona wapo uchi .

Sibora tu wangelikubali tu zile minimal reforms halafu watupige kwa upande wa pili kuliko hii haibu wanayoendelea kukutana nayo?
Bado Ngwaj boy aje apigilie msumari wa mwisho
 
Ogopa msaliti aliyeshangili jana baada ya upepo kuwa upande wake na leo anachukia matendo yale yale baada ya upepo kuwa tofauti na yeye
HHP ameondoka mwenyewe kwenye system. Huwezi kusema anaongea haya kwa vile upepo hauko upande wake.

Siku anaandika barua ya kujiuzulu na kuichana serikali upepo ulikuwa upande wake.

Kitu ambacho huna control nacho ndio upepo umekuendea vibaya. Kwa saab hatuna control na hali ya hewa. Usitumie metaphors and idioms usizozielewa vizuri, zinakufanya uonekane wa ovyo.

Polepole ametuma shock waves nchini kwa saab amewaonyesha CCM na serikali kwamba kumbe nguvu ya hela na vyeo ina mahala huwa inakwama.

Si kila mtu, si watumishi wote na makada na wajumbe wa NEC za wilaya mpaka Taifa, na wabunge na mawaziri na watunza siri za nchi wooooote nchini unaweza kuwanunua on demand, pale unapotaka, kwa kuwapa vyeo na hela na landcruiser la serikali na diplomatic passport na kuitwa mheshimiwa kila ukiingia msibani na harusini na kanisani watu wanasimama.

Kumbe sio wote watakubali uwaburuze kama nguruwe na kuwaagiza wauze nchi yao na kusaliti wenzao kwa vyeo na hela za kuhonga wajumbe na wabunge. Kuna siku waziri au mwanajeshi mtunza siri atasanuka mabaya zaidi na atakinukisha pakubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom