Gwajima yuko very wrong kwa hili! Extremely wrong!

Mkwepakodi,
Hakuna mtanzania analikataa hilo la kurekebisha nchi, kinacholeta malumbano ni jinsi gani ya kukabiliana na hawa wenye nguvu zao ambao tuliwapa nchi yetu kwa kupenda wenyewe.
Hivi nikuulize,
Ni sahihi kurekebisha makosa kwa kufanya makosa?
Inahitaji mjadala, inahitaji jopo la wanasheria nguli wakae waumize vichwa vyao ili tupate upenyo wa kuponyoka mikononi mwa hawa watu.
Tukitumia "Uzalendo" zaidi bila kuchungulia wapi tumenasa na jinsi ya kujinasua basi itakuwa heri hata kuibiwa kuliko kutoibiwa.
 
Kwa uelewa wako mpana unafikiri matokeo ya tume ya upande mmoja yatatufikisha wapi kwenye kudai chetu? Na bila kusahau kuwa disputes zetu zinasikilizwa ICSID
 

Uchama na Tamaa ya madaraka ndio vinavyowafelisha..Na kwa style hiyo madaraka mtaishia hukohuko kwenye saccoss
 
Matusi kwa Rais ya nini? Mimi nilishamjua huyu siku nyingi kuwa ni mtumwa wa kupuuzwa tu. Ana vinasaba vyote vya ulimbukeni wa kuwa Marekani ndio maana haishi kutuwekea picha zake hapa na visutisuti vyake. Kama unataja viongozi waliokuwepo Serikalini wakati mikataba inapitishwa mbona intentionally umewaacha Sumaye na Lowassa ambao walikuwa far too seniors??
Nashauri haya makanisa yanayosaidia baadhi ya wanavijiji wanaoishi kwenye mazingira magumu kwenda kuishi nje wawe makini katika kuchagua.
 
Mkuu MKWEPA KODI, I salute you!

Naomba nianze kwa kukukumbusha kuwa: mtu yeyote mwenye NIA NJEMA na nchi hii, basi ataanza na KATIBA, na sio tu kuirekebisha, bali pia kuhakikisha anaisimamia na hii ikiwa ni pamoja na utawala bora na demokrasia.

Haya yanayolumbaniwa leo, yametokana na udhaifu wa katiba. Waliyoyafanya walijua kuwa 'makaburi hayatafukuliwa' na badala yake watatangaziwa neema ya kupumzika. Kilichotokea ni watu wachache kuamua VIBAYA kwa niaba ya taifa, na leo tunalumbana na kurusha makombora kwa wawekezaji tukiwaita jina baya. Kumbukumbu zangu zinanikumbusha kuwa UPINZANI ULIPIGA KELELE JUU YA USIRI WA MIKATABA YA MADINI, lakini kwenye bunge letu kuna 'Team Ndiooooo' na Refa ni wao, uwanja ni wao...wanasahau kuwa TAIFA NI LETU. Kwa kipindi kile, mbaya hakuwa ACACIA, wabaya walikuwa WAPINZANI. Nikukumbushe kuwa, kwenye GESI nako Team Ndioooo ilipiga show kwenye HATI YA DHARURA.

Mkuu MKWEPA KODI, unachoniambia leo ni kuunga mkono juhudi fulani ambazo binafsi sizielewi zinalenga nini. Ikiwa sakata hili ni matokeo ya USIRI na MAAMUZI YA WACHACHE, mbona tunakanyaga mule mule? BOMBADIER haikuwa hata na hati ya dharura wala kipande cha bajeti. Ikiwa kesho pakatokea msuaguano wa kiufundi kuhusu 'maintenance' ya hizi ndege, napo tutaombwa kuonesha uzalendo kwa kitu ambacho kilifanywa 'kwa nia njema'?

Mkuu MKWEPA KODI, pamoja na jeuri yooooote ya Trump au rais awaye yote yule wa taifa kuuuuuubwa la Marekani, mbele ya BUNGE ni breki. Bunge likisahau jukumu lake la kuisimamia serikali, kiasi likakubali kuwa hata Naibu Spika atoke Serikalini, basi tumeumia. Nimekua nikiajua kuwa ni bunge la bajeti ndio linaidhinisha allocation of fund na hiyo ni baada ya kuhoji uhalali na yaliyomo katika matumizi ya wizara mbali mbali, lakini si ni juzi tu hapa Waziri wa Afya kasema hajui madaktari wanaoajiriwa Kenya Style watalipwaje?

Wallah kwenye hili ndugu zangu, tunahitaji kuweka itikadi pembeni. Ni haki ndio huinua taifa na sio nyimbo. Bunge liwe bunge.
 
China hakuna mchezo, lakini hapa kwetu viongozi wamejitengenezea antibiotic katika katiba, Hakuna kushtakiwa ukimaliza muda wako.
 
Una jeuri eeh??
uzuri ww ni verified user hivyo wakikuhitaji watakupata tu!
hizi sifa za kijinga unazovuna hapa kuwa makini zisijezikakufanya ujute bdae
Ni hayo tu mkuu unahiyari kuyachukua au kupotezea
 
Solution no serikali y'all awamu ya tano kukaa name Hawa wawekezaji chini na just review mikataba,its just a matter of telling them that mikataba mliyoingia na serikali tangulizi are not friendly to our side.
Sasa basi ili muendelee kufanya biashara hapa TX let's go back to the table for the benefit of the people, inaweza ikawa gentle man's talk, win win situation.
Sizani Kama watakataa, wakileta ubishi, kamata hao wote walio uza taifa kwa wazungu weka ndani, then vunja mkataba waone tulivyo serious,wenyewe wataregea na kurudi mezani.
Amini msiamini ukumchoma ndani mkapa na name wataalam wake walio tu misguide,japo najua haiwezekani, choma ndani jk na wataalam wake walio tu MI's guide, walahii nakuapia Acacia name wenzake watarud mezani na kurud for a talk.. Japo najua haya yote hayawezekani.
 
Mkuu kumbuka haya yote ni kutokana na sheria zetu wenyewe jiulize hata katiba iliyopo 1977 inampa kinga mkuu wa nchi by then kushtakiwa cha msingi ni kujenga msingi bora wa sheria ndio tukimbilie kuangalia maswala nyeti kama haya
 
Unalialia tu,heading na story vipo tofauti.Humu sijaona ulipomtaja Gwajima.Ndio akili za bavicha hizi
 
Mada Tamu sana ngoja nikapate futari halafu nirudi nisome vizuri
 
Acha tupate shida kaa hukohuko USA tuachie TZ yetu!!
 
Acha tupate shida kaa hukohuko USA tuachie TZ yetu!!
 
Kwa sisi tulio wai kuchimba na kusafirisha tunaelewa meng sana, kiukweli tume imefanya vitu vya ovyo sana, Mkuu T.L.Marandu umenena vema kabsa
Vipi habari za TMAA?? Tulia sindano ikuingie vizuri kijana!!
 
Mi sijui unalalamika nini?
So far acacia hawaendelei na shughuli zao, sijui kazi ipi lkn tume ya mruma ilikabidhi report ya awali ambapo imeshaanza kufanyiwa kazi!
Anyway labda ufahamu wangu ni mdogo Naomba kufahamishwa kinachoendelea
 
ivi gwajima ni mwana siasa au inakuaje mi sielewi ujue
Ana haki ya Maoni kama Mtanzania na Kiongozi wa Dini ,Lakini haina maana muda wote yuko sahihi,he can be wrong,very wrong!
 
wewe kwa maoni yako haya kama hujatumwa ni wakuonewa huruma. huna self esteem unafikiri marndeleo yataletwa na wageni au mabwanyenye.
 
Una jeuri eeh??
uzuri ww ni verified user hivyo wakikuhitaji watakupata tu!
hizi sifa za kijinga unazovuna hapa kuwa makini zisijezikakufanya ujute bdae
Ni hayo tu mkuu unahiyari kuyachukua au kupotezea
Wakina nani? wakinihitaji kwa lipi? Mimi sio mhalalifu na wala Sijatenda kosa kuvoice maoni Yengu! Nani Unadhani anayo mamlaka ya Kunihitaji mimi hapo Tanzania kwa Mambo ya Kipuuzi? Mwenye uwezo huo hakuna, alie afuge ndevu anyoe, whatever niko beyond Jurisdiction ya hao mnaowaabudu! Labda ningefanya Capital crime kama Kuua, Ugaidi, au kutaka Kulindua serikali ya Tz! Mambo ambayo hayawezvie kuwa Mawazoni mwangu hata ningeishi miaka milioni moja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…