Gwajima unataka uchokozwe vipi ndio uelewe?

Gwajima unataka uchokozwe vipi ndio uelewe?

Gwajima anakuambia Makonda alipata ZERO, halafu hapo papo anakuambia tena nina nakala ya cheti chake, na bado kuna misukule na manyumbx wanaamini, wewe Salary Slip mzima kweli wewe ?
Pia nilihoji kuwa kama kweli watu wana ushahidi wa kutosha kwa nini wasijitokeze watu wamshitaki mahakamani kwa manufaa ya umma.

Guess what? Nimesikia tayari watu washaanza kujipanga kufanya hivyo.

Ila nilivyopingwa humu na baadhi ya watu wakati nilipohoji utadhani nilikuwa naongea pumba tupu....lakini hao hao sasa wanaanza kufanya yale niliyoyahoji mimi.

Nyumbu bana....


Wewe ni mnafiki tu tena wa kiwango cha lami na ni mtetezi wa huyo kilaza.
 
Sasa mnasema alipata division 0 halafu mnasema mshenga Gwajima ana cheti kakitoa wapi?
Ninyi vijana wa Chadema mbona mnakuwa kama vichwa vyenu havina ubongo!
kwani kuna ugumu gani wa kuweka pinned results au leavin certificate pamoja na marksheet kuonyesha division 0 kma walivyofanya kwa ole sendeka!!! kwani ole sendeka tuliwekewa cheti au marksheet yenye leaving certificate kwa pembeni maana muhim ni kuweka right registration number ssa kigumu kipi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana huo uwezo porojo tuu ndio nyumbani kwake pale. mchungaji maandazi yule.kuna baadhi ya watu bado wanaamini jamaa anavyeti vya bashite watasubiria sana tenga kujaa maji.
 
Sasa mnasema alipata division 0 halafu mnasema mshenga Gwajima ana cheti kakitoa wapi?
Ninyi vijana wa Chadema mbona mnakuwa kama vichwa vyenu havina ubongo!
Sio vinakuwa mkuu havina kabisa vumbi tupu mule
 
huyo ni mshenzi tu anajitafutia umaarufu kwa kutukana wakubwa, mara agombane na pengo mara makonda, ila simlaumu hayo nimatokeo ya kuugua muda mrefu.

Tusubiri tuone mwisho. Ila naomba nisaidiwe sababu za Gwaji kulivalia njuga wakati wenzake wamenyamaza ni nini?
 
Akutukanae hakuchagulii tusi sasa nakushangaa sijui unasibiri nini kutoa vyeti vya huyo unaemtuhumu maana kwa anayoyafanya ni wazi anakupuuza na si ajabu ipo siku atakubwatukia.

Cha kufanya kwa sasa ni wewe kuita waandishi wa habari kisha ukawakibidhi hivyo vyeti na usihangaike tena kusifiasifia wale walioamua kukaa kimya juu ya jambo hili.

Na kwasababu umeshataja hadharani majina ya waliosoma na Bashite, itakuwa vizuri pia kama kwenye hiyo press conference utaambatananao uliowataja ili nao wawaeleze waandishi wanachokijua kuhusu Bashite.

Mchungaji do the needful.

Enough is enough.

Muache atumie hekima yake ambayo naamini anayo.
 
Mwenye vyeti ndiye anatakiwa kumuumbua Gwajima kama ni muongo kwa kutoa vyeti vyake halisi lakini haya maneno yenu, kwa mtu yeyote mwenye akili timamu anayaona hayana mashiko ni ya kipuuzi. Mwenye vyeti ndiye anatakiwa kulimaliza hili na wala siyo nyie wapambe. 100% Bashite hana vyeti angekuwa navyo angeshavitoa.
Kisheria na kwa mjibu wa sheria ya ushahidi, inasema kuwa yeye mwenye kutuhumu, ndiye anayepaswa kudhibitisha kile anachotuhumu. Sasa Gwajima ndiye anayetuhumu na ni wajibu wake kutoa hadharani hivyo vyeti ili adhibitishe ukweli wa tuhuma zake. Makonda hawezi kutoa vyeti maana siyo yeye anayetuhumu. Alipomtuhumu Gwajima kuwa anajihusisha na madawa ya kulevya, alimtangaza na kumuita aende akajieleze pale central na kweli alienda. Sasa Gwajima anashindwa nini kueleze ukweli. Huyu ni mbabaishaji na amewapata ninyi na anawababaisha, hana lolote la maana. Jana Paul Makonda amesema kuwa hatishwi na hakuna mtu wa kumtisha. Sasa kama Gwajima anoubavu, akamtishe tena akione cha moto.
 
Wewe ni mnafiki tu tena wa kiwango cha lami na ni mtetezi wa huyo kilaza.
Wewe ambaye si mnafiki, tuelezee inakuwaje unaambiwa Makonda ana Zero halafu mtu huyo huyo anakuambia ana ushahidi wa cheti, na bado unakubali tu kila kitu.
 
sasa si mumkamate kwa kesi ya uchochezi ili tukajue huko huko nani mkweli hta ESCROW mlikataaga hivi hivi so hatuwashangai huwa mnakataa kila kitu mwishoni mnaaibika.

kituko 2020 makonda akihamia upinzani utaskia WANACHUKUA MFOJI VYETI wakati kipindi tumeleta hoja mlikuwa mnamtetea
Hamjui kama mmetegwa,hatamagazeti makini hayaandiki habari hizi
 
Ivi kumtangaza mtu hana vyeti ni ni character assasination?

Mimi nadhani mkuu wangu ninayemheshimu sana angeenda mahakamani ili kuondoa huu utata
 
Wewe ni mnafiki tu tena wa kiwango cha lami na ni mtetezi wa huyo kilaza.

Mi nimefurahi tu umeikubali hoja yangu. Hapo nakupa dole juu.

Pia nimeshaitwa majina mabaya zaidi ya hilo la mnafiki.

Kwa hiyo hapo labda ujaribu tena.
 
Wewe ambaye si mnafiki, tuelezee inakuwaje unaambiwa Makonda ana Zero halafu mtu huyo huyo anakuambia ana ushahidi wa cheti, na bado unakubali tu kila kitu.
Kwa wewe mwenye uelewa mdogo wa kupambanua mambo kauli hiyo ya jumla ndio imekuwa utetezi wako?
 
Huyo bongolala Gwajima anapata wapi cheti cha 0 wakat baraza halichapishagi vyeti vya matokeo jayoooo? mnafikiri angekuwa navyo siku ile ya kwanza kumwaga upupu angeacha kuvitoa? hapa vita anayopigwa Makonda ni ya madawa na sio vyeti maana kabla hajawa RC alishakuwa na vyeo kibao kuanzia ktk chama na Serikali kwann hawakuibua haya mpaka atangaze watu wa madawa
 
Mwenye vyeti ndiye anatakiwa kumuumbua Gwajima kama ni muongo kwa kutoa vyeti vyake halisi lakini haya maneno yenu, kwa mtu yeyote mwenye akili timamu anayaona hayana mashiko ni ya kipuuzi. Mwenye vyeti ndiye anatakiwa kulimaliza hili na wala siyo nyie wapambe. 100% Bashite hana vyeti angekuwa navyo angeshavitoa.
Jitu zima hovyo sana..yaani mumtukane na kumtuhumu alaf aweke vyeti badala ya ninyi kuthibitisha tuhuma zenu
 
Back
Top Bottom