Gwajima unataka uchokozwe vipi ndio uelewe?

Gwajima unataka uchokozwe vipi ndio uelewe?

We mjinga hujui hata vita inapiganajwe!

Hii ya BASHITE ni vita kati ya HAKI na UDHALIMU. Ndio maana utaratibu unafuatwa!

Ushahidi hata mimi ninao, BASHITE alipata sifuri kidato cha nne.

Hili la BASHITE mbona litawatokea puani?
una maana gani mkuu? Nani kanyimwa haki?
 
ata akipata zero result slip huwa wanatoa labda anayo result slip
Hahaaaaaa Cheti kimegeuka result slip sio Muda kitakuja Kuwa Kitu kingine.
Mwenyewe anawaambia waamini kwamba alienda kuomba vyeti vya mtu mwingine NECTA. Huyu Jamaa sio timamu ndio maana hadi pepo linamwambia Huyo mtu haingiliki sio dhaifu na mtenda dhambi wakuingiwa na mapepo hovyo
 
Gwajima anajipanga maana atawasha moto mkubwa na mtu atapotea mazima
Kama aliomuwashia pengo, kama alivyogeuza misikiti kuwa sunday schools, kama alivyowawashia moto wachawi na Mungu kwa kuwafufua waliowaua! Ama kweli wajinga waliwao askofu anayetegemea ulinzi wa mabaunsa wakati ana uwezo wa kufufua!
 
Sasa mnasema alipata division 0 halafu mnasema mshenga Gwajima ana cheti kakitoa wapi?
Ninyi vijana wa Chadema mbona mnakuwa kama vichwa vyenu havina ubongo!
Weka hivyo halali
 
Kama aliomuwashia pengo, kama alivyogeuza misikiti kuwa sunday schools, kama alivyowawashia moto wachawi na Mungu kwa kuwafufua waliowaua! Ama kweli wajinga waliwao askofu anayetegemea ulinzi wa mabaunsa wakati ana uwezo wa kufufua!
Acha maneno weka vyeti
 
Acha maneno weka vyeti
Cheti cha uendawazimu bado hajakipata, kipo mbioni kinatafutwa, ugonjwa wake wa utotoni ukimrudia tutapata cheti. Mtu keshawaambia yeye mgonjwa wala hamumuulizi aliugua nini, kazi kusema weka cheti, utapewa cheti cha mamako cha kliniki
 
Akutukanae hakuchagulii tusi sasa nakushangaa sijui unasibiri nini kutoa vyeti vya huyo unaemtuhumu maana kwa anayoyafanya ni wazi anakupuuza na si ajabu ipo siku atakubwatukia.

Cha kufanya kwa sasa ni wewe kuita waandishi wa habari kisha ukawakibidhi hivyo vyeti na usihangaike tena kusifiasifia wale walioamua kukaa kimya juu ya jambo hili.

Na kwasababu umeshataja hadharani majina ya waliosoma na Bashite, itakuwa vizuri pia kama kwenye hiyo press conference utaambatananao uliowataja ili nao wawaeleze waandishi wanachokijua kuhusu Bashite.

Mchungaji do the needful.

Enough is enough.
U are the great thinker umeongea kilichopo ktk fikra zng vile vile lkn ktk lugha nyepesi na ya kueleweka zaidi
 
huyo ni mshenzi tu anajitafutia umaarufu kwa kutukana wakubwa, mara agombane na pengo mara makonda, ila simlaumu hayo nimatokeo ya kuugua muda mrefu.
Bashite Albert ndio unaemuita mkubwa ww??mzee wa fa fa fa fa fa
 
Unafikiri Gwajima anachochote cha maana? Hana cheti wala kitu chochote kinachofanana na Cheti, haiwezekani Gwajima adai ufeki wa vyeti na kutofaulu kwa Makonda na madai kuwa alitumia vyeti vya watu wengine nakutaja jina halisi la Makonda, iweje leo ataje taarifa za Makonda baada tu ya yeye Gwajima kutajwa kuhusika na Madawa ya kulevya? Makonda alianza kuwa Mkuu wa Wawilaya, na baadaye Rc, na alipoanza kushughulika na mihadarati, na kumtaja Gwajima, ghafla ikaja hoja ya vyeti, pia ikumbukwe kuwa kabla ya tuhuma za mihadarati kwa Gwajima, Gwajima mwenyewe aliwahi kumkaribisha Makonda kwenye kanisa lake, sasa aliwezaje kumkaribisha Makonda mwenye vyeti feki,tena akatumia mimbari ambapo ni mahali patakatifu. Gwajima ni Muongo mkubwa.
Mkweli atuonyeshe vyeti tuweze kumwamini
 
Cheti cha uendawazimu bado hajakipata, kipo mbioni kinatafutwa, ugonjwa wake wa utotoni ukimrudia tutapata cheti. Mtu keshawaambia yeye mgonjwa wala hamumuulizi aliugua nini, kazi kusema weka cheti, utapewa cheti cha mamako cha kliniki
Acha maneno weka vyeti
 
Wewe jamaa una akili sana leo wanaomba ambacho walikuwa wanakipinga jana,ndo akili zao JK anawafahamu sana his jamaa 70%wanafuata upepo tu

Pia nilihoji kuwa kama kweli watu wana ushahidi wa kutosha kwa nini wasijitokeze watu wamshitaki mahakamani kwa manufaa ya umma.

Guess what? Nimesikia tayari watu washaanza kujipanga kufanya hivyo.

Ila nilivyopingwa humu na baadhi ya watu wakati nilipohoji utadhani nilikuwa naongea pumba tupu....lakini hao hao sasa wanaanza kufanya yale niliyoyahoji mimi.

Nyumbu bana....
 
Unafikiri Gwajima anachochote cha maana? Hana cheti wala kitu chochote kinachofanana na Cheti, haiwezekani Gwajima adai ufeki wa vyeti na kutofaulu kwa Makonda na madai kuwa alitumia vyeti vya watu wengine nakutaja jina halisi la Makonda, iweje leo ataje taarifa za Makonda baada tu ya yeye Gwajima kutajwa kuhusika na Madawa ya kulevya? Makonda alianza kuwa Mkuu wa Wawilaya, na baadaye Rc, na alipoanza kushughulika na mihadarati, na kumtaja Gwajima, ghafla ikaja hoja ya vyeti, pia ikumbukwe kuwa kabla ya tuhuma za mihadarati kwa Gwajima, Gwajima mwenyewe aliwahi kumkaribisha Makonda kwenye kanisa lake, sasa aliwezaje kumkaribisha Makonda mwenye vyeti feki,tena akatumia mimbari ambapo ni mahali patakatifu. Gwajima ni Muongo mkubwa.
Nzuri zaidi anacheti cha bashite alichopata zero.
 
Pia nilihoji kuwa kama kweli watu wana ushahidi wa kutosha kwa nini wasijitokeze watu wamshitaki mahakamani kwa manufaa ya umma.

Guess what? Nimesikia tayari watu washaanza kujipanga kufanya hivyo.

Ila nilivyopingwa humu na baadhi ya watu wakati nilipohoji utadhani nilikuwa naongea pumba tupu....lakini hao hao sasa wanaanza kufanya yale niliyoyahoji mimi.

Nyumbu bana....
Yaani wee jamaa ni kiranja wa kilaza,huyo mumeo bashite atoe vyeti vyake ugumu uko wapi hapo?unatetea ujinga
 
Vipi kwani....nawe unataka nikutekenye ucheke?
No nataka nikusaidie kukutekenya ili ucheke tena vizuri,dume zima mbele ya midume wenzio unajikesha hovyo namna hio ktk issue za maana utachambia kamasi
 
Back
Top Bottom