Gwajima ndani ya studio za Clouds

Gwajima ndani ya studio za Clouds

Kila kitu na wakati wake. Najua huyu anaenda pale na mwishoe watamgeuka mda si mrefu.
 
Ameenda na cha yule gaidi mvamia vituo !
Sasa anaogopa nini kwenda na cha mwanae! Atuhakikishie tu waumini wake kuwa yeye ni msafi na hasemi uongo kama anavyotufundisha!
 
Naam kweli kabisa lakini sio kuzaana bila mpangilio. Sasa kama ni kitu kizuri kwa nini anakataa na kusema kasingiziwa. mchungaji akisema uongo wengine tuseme nini. Mchungaji akitelekeza mtoto wengine tufanye nini. Mchungaji akiwa mzinzi wengine tuweje? Ombi moja tu DNA MUBASHARA baasi!
Unavyoongea ni kama vile ulikuwepo kwenye eneo la tukio na wewe ndiye ulishika pembe wakati ng'ombe anakamwa!!!

Siyo kwamba kusema hahusiki ndio kusema uongo, laa hasha!!! Huo ndio ukweli anaoufahamu.

Hawezi kutumia mdomo wako kujieleza.
Otherwise wasiliana na halmashauri ya ubongo wako.

Yusuph alisingiziwa kutaka kumbaka mke wa..... na alifungwa jela. Kasome baibo yako utaelewa nasema nini.
 
Fanyeni balancing ya STORIES kama clouds.....sasa hivi hakuna tena simu
 
Safi sana. Urijali sii jinai bali kufoji cheti ndio jinai.
Bashite ni criminal vinginevyo ajitakase kwa jina analotumia sasa la Paul Makonda.
 
Tena anazaa na wazuri sio wagonjwa.
Kweli kaka mi nilishangaa mtu mpk mwenyewe anasema "Nikisema nimezaa na Gwajima watu hawezi amini maana mi mtu wa chini angezaa na watu waliojuu juu wangetoa kwenye magezeti" nikajiuliza Gwajima huyu huyu Mashine ya kukoboa na kusaga
 
Hiyo Link inanigomea hilo Tangazo linasemaje?
 
Kweli kaka mi nilishangaa mtu mpk mwenyewe anasema "Nikisema nimezaa na Gwajima watu hawezi amini maana mi mti wa chini angezaa na watu waliojuu juu wangetoa kwenye magezeti" nikajiuliza Gwajima huyu huyu Mashine ya kukoboa na kusaga
Mie mama bwana. Huyu Gwajima ni sheeda halafu habahatishi nina wasiwasi ana mashushu wake.
 
Baada ya Gwajima kwenda Clouds, Bashite hatakanyaga tena sehemu hiyo.
 
Kila season inayokuja ni kiboko ya iliopita hapa naona wamebaki masteling tu cjui nani atamuua mwenzake....ngoja umeme urudi
 
Back
Top Bottom