Gwajima ndani ya studio za Clouds

Gwajima ndani ya studio za Clouds

Makonda endelea kuwakimbiza


Wengi wangekuwa hawana mambo ya uchafu na kuvunja sheria wangeshaachana na wewe, ila bado unawagusa unawagusa wachome haswaaaaaa sasa ili wakujue wewe ni nani.

Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar

Mh. Makonda

Makonda oyeeeeee
 
Napenda awe mubashara kabisa
 
Makonda endelea kuwakimbiza


Wengi wangekuwa hawana mambo ya uchafu na kuvunja sheria wangeshaachana na wewe, ila bado unawagusa unawagusa wachome haswaaaaaa sasa ili wakujue wewe ni nani.

Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar

Mh. Makonda

Makonda oyeeeeee
Mmoja Wa wajinga hakuna mtu anashangaa vyeti tu uvamie kituo kweli
 
Hio mashine tena fuso sasa nashaangaa colora ishindane mbio na fuso si maajabu haya.
 
Makonda endelea kuwakimbiza


Wengi wangekuwa hawana mambo ya uchafu na kuvunja sheria wangeshaachana na wewe, ila bado unawagusa unawagusa wachome haswaaaaaa sasa ili wakujue wewe ni nani.

Hongera Mkuu wa Mkoa wa Dar

Mh. Makonda

Makonda oyeeeeee
Vipi wewe anakugusa?
 
Back
Top Bottom