Gwajima ndani ya studio za Clouds

Gwajima ndani ya studio za Clouds

Kosa la Makonda ni kwamba anapaswa kutambua yeye ni kiongozi mkubwa na habari anazotakiwa kutoa ni habari za umakini na si za udaku. Kosa la Gwajima pia anapaswa kutambua yeye ni kiongozi mkubwa wa dini, anapasa kupamba na mtu kiroho na kumuombea hata mtu akiwa adui yako. Sasa hawa viongozi wote wamechanganya humo siasa, udaku na ubabe wamesahau wao wanawadhifa gani kulingana na nafasi walizomo.
 
Mbona Jamii Forums,waliingiliwa na bunduki na vitendea kazi kuchukuliwa na wamiliki kutupwa selo,hatukumuona NAPE,MENGI wala GWAJIMA kwenda kuwapa pole
Nyakati zinabadilika. Kibatala anapenda kukumbusha: walivyowasomba jews nilinyamaza kwa vile sikuwa Jew, etc etc na mwisho walivyokuja kunifata mimi ndio nilipogundua kuwa hamna mtetezi, wenzangu wote walishachukuliwa.

Watanzania tuamke tutetee wenzetu, leo wao, kesho sie.
 
Mbona Jamii Forums,waliingiliwa na bunduki na vitendea kazi kuchukuliwa na wamiliki kutupwa selo,hatukumuona NAPE,MENGI wala GWAJIMA kwenda kuwapa pole
Thats a perfect thinking...

Why harakati za kuotetea clouds zimeanza jumatatu na studio ilivamiwa ijumaa usiku??

why walichelewa kwenda kuripoti??

nani alivujisha ile video ya Gwajima online??

nani alivujisha CCTV footage wakati wa kuingia na kutoka tu??

vipi footage nyingine za ndani ya Studio??

walisema wakati kipindi kinarekodiwa kilikuwa na watu wengine pia wakirekodi; Clouds waweke wazi ni akina nani hao waliorekodi??
 
Clouds ni tv/ redio ya ushilawadu, wanapata pesa nyingi kupitia ushilawadu wa bifu za wasanii, watawamaxize hawa watu mpaka supu ya mifupa iishe.
Kwani ndio unajua leo? Shilawadu si ndiyo kipindi pendwa cha president? Acha unyumbu huo
 
Cheti kanajionyesha kwenye kazi yake. Sisi tunachotak ni vipimo vya DNA halafu asianze kujizimisha hapa. Tena tunataka vipimo Mubashara ha ha ha!
Kazi ipi hiyo?! Ile ya kuvamia studio za clous na askari kwa ajili ya kufatilia habari za udaku
 
Hiyo ni B-52 teknolojia ya enzi zile za vita ya Ghuga kule Iraq na mmkumbuke yule mkaguzi wa silaha za maangamizi wa enzi zile Richard Batler.hatareee sana ata ikithibitika hana silaha za sumu kwa kua ana zero(Bashite) atapigwa tu maana hakuna namna.usifunzwa na mzazi wako dunia itakufunza tu maana ndio msaada pekee wa kukomboa la sivyo tunakupiga kibiri majivu tunamrudishia huyo anaekukingia kifua...
 
Back
Top Bottom