Kumbe kesho sio Leo,Kila season inayokuja ni kiboko ya iliopita hapa naona wamebaki masteling tu cjui nani atamuua mwenzake....ngoja umeme urudi
hapa nafikiri hawataki kupigiwa simu tena.
Kumbe kesho sio Leo,Kila season inayokuja ni kiboko ya iliopita hapa naona wamebaki masteling tu cjui nani atamuua mwenzake....ngoja umeme urudi
Sosolisooooo!! 😀😀😀😀😀 kweli Good Idea amuandame Wenger weeeee mpaka aamue kuachia ngazi mwenyewe!Huyu Gwajima tutawaomba wapenzi wa Arsenal wamkodi kwa muda akawaondolee Bashite wao pale Emirate Stadium..
Hujaelewa, Ruge amekuwa na uadui na bashite, Gwajima kwenda clouds ni hatua ya kuunganisha nguvu kumnyoosha bashite.Haya yanasemwa na kubaki madhabahuni. Tukiingia kitaa, bampa kwa bampa
Ndivyo walivyo hawa jamaa tukiwaachia nchi tutajutia saana kama hivi wala hakuna kuwajibishana kwasababu za "hom boy wangu huyu"nchi inakosa mwelekeo na kujengwa chuki katika jamii sababu ya wasukuma wawili tu
Kama humwamini kanisa ni moja?amekufunga kwa kamba ?Sasa anaogopa nini kwenda na cha mwanae! Atuhakikishie tu waumini wake kuwa yeye ni msafi na hasemi uongo kama anavyotufundisha!
Njeeseka kikwetu ni mtoto wa mitaani ambaye haijui familia yake!Asubiri kesi yake, jinai kutelekeza familia
Hii fomeshen hatari sana. Hata ile ya Antonio Konte haioni ndani. Fafafa three.Hahahaaaq mchezo mtamu sana huu
Sasa nchi inatikiswa na wasukuma watatu
Yamekuwa hayo.Huyu Gwajima tutawaomba wapenzi wa Arsenal wamkodi kwa muda akawaondolee Bashite wao pale Emirate Stadium..