agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Aaah mkuu kanisa ni moja tu hao wengine wafanya biashara ...hapo lazima umeelewa mkubwa..Kanisa lipi??? Wenzio wapo kwa mtumishi gwajima. Wewe Je.....
Aaah mkuu kanisa ni moja tu hao wengine wafanya biashara ...hapo lazima umeelewa mkubwa..Kanisa lipi??? Wenzio wapo kwa mtumishi gwajima. Wewe Je.....
Ninakupenda bure mkuu.... Kabisa lipi hilo?Aaah mkuu kanisa ni moja tu hao wengine wafanya biashara ...hapo lazima umeelewa mkubwa..
Kanisa lipi hilo mkuu?????Aaah mkuu kanisa ni moja tu hao wengine wafanya biashara ...hapo lazima umeelewa mkubwa..
Ni heri kwenda huko unakokuita kwa biashara kuliko kwenda kuwangaAaah mkuu kanisa ni moja tu hao wengine wafanya biashara ...hapo lazima umeelewa mkubwa..
Mjinga dawa yake kumyamazia kama hujui kasema nnKidogo unaweka ukakasi pengine nikutojitambua.Unawazungumzije waumini karibu ya maelfu walio ktk kanisa linaloongozwa na mch.Gwajima? Wewe akili yako iko sawa kweli ama ni dharau za kutojimbua au ni wa dini Fulani ile
Wewe kama nani,jiangalie nitakuchukulia hatuaHakuna sehemu niliyodharau zaidi ya kusema ukweli...tafakali chukua hatua...
Waache wasali, ni maamuzi yao, ni watu wazima na akili zao, hawajalazimishwa na mtu kwenda pale kusali, wameamua kwa hiyari na utashi wao, sioni haja ya wewe kuwakashfuMnaosali kwa gwajima mnamatatizo ya kisaikolojia.
Kama binadamu mwenye uhuru wa kutoa maoniWewe kama nani,jiangalie nitakuchukulia hatua
Wanaongoza kukashifu imani za wengine ni hao wajiitao wachungaji so kama wewe ni muumini kuwa mpole .....Waache wasali, ni maamuzi yao, ni watu wazima na akili zao, hawajalazimishwa na mtu kwenda pale kusali, wameamua kwa hiyari na utashi wao, sioni haja ya wewe kuwakashfu
Mbona mimi najua wote wanaosali hawana akili maana wanamuomba mungu ambae hayupo, kitu kinaitwa Mungu hakijawahi kuwepo na wote wanaokiomba hawana akili maana kitu hicho hakipo lakini siwezi kuwatuna maana najua wameamua kwa utashi wao.
Lazima uishi kwa kuheshimu mawazo na fikra za watu wengine.
Wewe sema unasali/kuswali wapi nikuonyeshe jinsi usivyo na akili kusali mahala hapo.