MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Dah..Tanzania raha sana.
Miaka mitano ileee...ndio inatokomea.
Miaka mitano ileee...ndio inatokomea.
Nakwambia...............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Dah wasukuma wamekuja mjini
Ijue kweli na kweli itakuweka huru.Wewe ya mchungaji wako unayajua...
Kesho lazima nikasali kwa Gwajima ngoja niandae na sadaka ya kutoshacoming soon:
View attachment 492823
Salamaaa
Sina mengi zaidi ya kumwambia diamond kesho anunue ndimu pamoja na kinywaji kikali kwani mchungaji keshasema kesho anakuchambua nami ntakwenda kumsikiliza kwamaan umetapika sana kwenye wimbo wako huu mpya.
Kwakuwa uu mnafiki sana basi dawa yako imepatikana.
Sina mengi zaidi ya kukupa pole kwa huu mlango ulioingilia.
Atakunwa tu .....Anawashwa huyo!
Akili za kibashite Msubiri Gwajima ndipo uhukumuEditing at its very best!
Endapo mchungaji atagusia huu wimbo na mwimbaji wake atakuwa amejishusha zaidi, a very defensive mindset kutoka kwa mchungaji itakuwa!
Hahhaaa kweli kila siku linakuja jipya. Siku nikipoteza smartphone sijui itakuaje. Maana naona wasiokuwa na smartphone hawaifaidi hii nchi
Ijue kweli na kweli itakuweka huru.Uvccm kazini. Piga kazi. Buku saba jioni
Anaweza kubadirisha matokeo mda wowoteGwajima na mpira.