Gwajima amcharukia Diamond

Bora gwajima sio mnafiki kuliko makanisa ya kama roman yamekaa kimya yanaona uozo unaendelea nchi yanakaa kimya


Kuna wanaotumia busara na kuna wanaotumia kiki ili wapate watu wa kuwasikiliza nao wapate misukule ya kutosha kama haka kajamaa.
 
Kuna wanaotumia busara na kuna wanaotumia kiki ili wapate watu wa kuwasikiliza nao wapate misukule ya kutosha kama haka kajamaa.
Ogopa sana watu wanaokaa kimya wanajifanya wanabusara. Jaribu kutafuta siri ya kanisa katoliki kwenye serikali zote duniani utajua masilahi yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom