mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,617
- 4,908
Bora gwajima sio mnafiki kuliko makanisa ya kama roman yamekaa kimya yanaona uozo unaendelea nchi yanakaa kimya
Kuna wanaotumia busara na kuna wanaotumia kiki ili wapate watu wa kuwasikiliza nao wapate misukule ya kutosha kama haka kajamaa.