Waheshimiwa, nchi hii haina usalama wa raia wala usalama wa Taifa. ni matatizo tu. that is why unaona maovu yakitokea hivyo vyombo ndio vinakuwa msitari wa mbele kutetea hayo maovu, jambo linaloonyesha wazi kuwa wanajua kilichotokea.mimi nadhani ni vyema huyo mwehu wao wamtunze, then dr. ulimboka akirudi amtambue, ndipo utakapochoka na kuamini kuwa nchi hii inaendeshwa kimkanda mkanda tu !Huyo Mwehu amepandikizwa wakiwa wanaamini kuwa wananchi hawana uelewa so watasikiliza na kuamini kuwa huyo mwehu wao alimteka Ulimboka. Sasa kanisa limekataa, watasema nini tena ?