Saraalee!! Aibu kubwa kwa jeshi la polisi na serikali ya Magamba. Nimependa sana ITV walivyoripoti kwa kuweka kipande cha povu alilolitoa Kova. These are signs of the falling empire.
Kwanini walitaja ametubu kwa Gwajima kabla ya kumshirikisha kwanza kwenye dili lao?
mi huwa najiuliza abt INTELIJENSIA
Kukosa akili na mbinu ni janga mazee!
Yaani kova anadiriki kumkamata kichaa halafu anaitisha press conference
Mchungaji anaweza pelekwa msitu wa pande
Unajua mm bado sijaelewa, hawa jamaa wanasema walimkamata kanisani baada ya kupata taarifa toka kwa wasmaria wema, walinzi wa kanisa anasema walimpeleka polisi baada ya kuona ni mshari na hatari then wote wakakubaliana ni kichaa, wakati huohuo walinzi wanasema alikutwa na simu yenye ujumbe uliotumwa kwa no ambayo haikutajwa kuwa nimeshafika najaribu kuwazoea pia kakutwa na hati ya kusafiria ya dharura na kitambulisho cha uraia wa kenya Du!!!.
Maswali :kichaa gani anamiliki simu
Anajua kuitumia
Anatambua uwepo wa kitambulisho na matumizi ya hati ya kusafiria
Je walinzi wa kanisa waliviona hivyo vitu
MASWALI MENGI KULIKO MAJIBU, kwa mujibu wa utaratibu wa kenya unaweza ku confirm namba ya utambulisho wa uraia kwa SMS 2031 for ID jaribuni kuingiza hizo no tuone kama litatokea jina lake
Gwajima hawezi kuruhusu sadaka zipungue. Hatakubali kamwe!
Kwa aibu hii, ningekuwa Kova ningeomba likizo nipotee kwa muda mpaka hili vumbi litulie! Hivi hata kama wanataka kudanganya kwa nini wanadanganya kijinga kiasi hicho? Yaani akili yao yote iko kwenye kuitoa serikali lawamani kiasi kwamba wanashindwa hata kujipanga jinsi ya kujinasua.
Uje siku moja umsikilize tuone kama utarudi msikitini au kwenye dini yako, majini yote yatakuachia na utakuwa huru from then.