Guu la Matege maashaullah

Guu la Matege maashaullah

Nazidi kuona aibu bora tu niondoke maana ni jambo la kustaajabisha kumuona simba anakula majani kwa wanyama wote wale yani inamaana anakuwa amekosa hata sungura?????


Aaaahhh bana hapo hata sungura hapatikani na hapo ana njaa utafikiri simba atafanyaje zaidi ya kula majani
na hapo yuko jangwani ambako hata visungura havitembei Honey Faith
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom