Guu la Matege maashaullah

Wala usitumie nguvu kubwa nitafutie mrembo mmoja niongozane nae......ili niondoke kwa amani....

Chukua kitu hicho mtakuwadiana wenyewe 1417529107128.jpg
 
Ni mwanaume bana na simba akizidiwa na njaa hata majani ni msosi kwake na mwanaume akizidiwa ana njia zake za kumaliz ahilo Honey Faith

Nazidi kuona aibu bora tu niondoke maana ni jambo la kustaajabisha kumuona simba anakula majani kwa wanyama wote wale yani inamaana anakuwa amekosa hata sungura?????
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom