Mtani kasauti kako lol..! Mtu anaweza sinzia wallah
Chombeza time.ulikasikia wapi mtani???
Nilibanwa kidogo na majukumu na bado yanaendelea kunibana ila nitakapomaliza nitarudi
mshana jr
Matege
Honey Faith
ha ha ha ha dhambiOna kitu hiyo...
Nipo kaka nipo, ila Kibo10 anachofanya (kwenye mabano)
Honey Faith kwa ile ngoma ya jana ni balaa naona kama hawakupata wahusika sabuni ziliwahusuAaaah basi poa kama una taarifa zao.Isije kuwa ashki ziliwapofua buree
Waarabu wa pemba nyie mnajuana kwa vilemba tuwaache wenyewe
Honey Faith kwa ile ngoma ya jana ni balaa naona kama hawakupata wahusika sabuni ziliwahusu
Nini tena Honey Faith usione aibu bana
Unajua umeongea hayo maneno mbele ya shemeji yangu atiii!!Ni bora ungeniambilia chamber kuliko hapa atiii!!!!
Ni mwanaume bana na simba akizidiwa na njaa hata majani ni msosi kwake na mwanaume akizidiwa ana njia zake za kumaliz ahilo Honey Faith