Shamba bado lipo MKUU,,Dah pole sana shamba kama bado lipo niambie tulifanyie maarifa ...BTW hii imenichekesha sanaIkanipelekea kugunduwa aliyefanya vile ni mwanamke..
Maana yake alijisaidia ,,,halafu akakojowa pale chini na kuacha shimo kubwa hata nikahisi kumtamani kingono.
Inaonyesha huyu Mchawi aliyejisaidia hapa alikuwa bado binti mbichi sana,,
Sio kwa ukubwa wa shimo lile..
Kwa mfipa kuna eneo moja linaitwa viziwaziwa.Ni maeneo gani? Boko Mlemela au Kwamfipa?
Pale pale shule ya msingi,,,unaingia ndani kidogo..Napafahamu kule kuna machimbo ya mchanga...unavuka shule ile ya Msingi?
Dah,mkuu iko mahali nilienda huko nchi Jirani sasa wanafanya recycling ya maji ya chooni,dah mkuu yani hata kuoga hayo maji nilisitisha na ni meupe balaa kama maji ya Kilimanjaro,mkuu kinyesi ni kinyesi.China wanafanya hivyo
Yeah unajua tunaangalia initial material ya hiyo productDah,mkuu iko mahali nilienda huko nchi Jirani sasa wanafanya recycling ya maji ya chooni,dah mkuu yani hata kuoga hayo maji nilisitisha na ni meupe balaa kama maji ya Kilimanjaro,mkuu kinyesi ni kinyesi.
Ingawa aya maji tunayokunywa ya kisima ni hayohayo yanachujwa ardhini mpaka yanakuwa masafi,afadhali huko underground hatuoni.thought ukienda nchi za magharibi huko hukwepi kutumia hayo maji,angalau wao wanakula keki kwa wingi na vyakula vya viwango ,njoo Africa mkuu.lol
Mshana bana...umenikumbusha mbali..eti bonge la kimba!
wanangu ukiwapigisha stori af ukitaja hili neno "kimba" wanacheka Sana
Kwa ushauri wangu ni kutumia tu ile tiba ya munyu wa mabongeNini kifanyike kujinasua na huu ubaya? Hata Mimi ndoto km hizi za uchafu uchafu zenye mazingira km hayo huwa naziotaga!
Kwa namna gani kaka! Nielekeze jinsi yakufanya nmechoka na haya majanga
Kwa namna gani kaka! Nielekeze jinsi yakufanya nmechoka na haya majanga
Kwa namna gani kaka! Nielekeze jinsi yakufanya nmechoka na haya majanga
Ok ngoja nisome!Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu
Nipende kwanza kujivunia kwa mada ya tiba mbadala ya chumvi ... Sijivunii kwa wingi wa wachangiaji la hasha bali kwa mada husika kuwa msaada mkubwa kwa wengi mno... Tiba ile imewasaidia hasa kwenye Kutopatwa na mauzauza tena Kuota ndoto mbaya na za kuogofya Kupata usingizi mororo Kukingwa na...www.jamiiforums.com
Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namna gani kaka! Nielekeze jinsi yakufanya nmechoka na haya majanga
Asante Kaka Mungu akupe maisha marefu yenye hatma nzuri!Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
Habarini za usiku huu Ningependa kushare nanyi hii tiba mbadala ya chumvi kwa wale waamini na wenye uhitaji, hii si uchawi ushirikina wala ulozi na wala huhitaji kwenda kwa 'mtaalam' kupoteza pesa na muda wako huku ukiwa kwenye hatari ya kutapeliwa nk Chumvi yenye matokeo bora ni chumvi ya...www.jamiiforums.com
Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app