Guest House

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
pic%2Bof.jpg
 
Dah!!Kwa hilo jina hapo nadhani hasi na chanya hawaingii bila cheti cha ndoa.
 
Haya makubwa! Lakini si ajabu kwa kuwa hizo ni nyumba za kulala wageni kwa bahati mbaya sana siku hizi zimegeuka kuwa za kulala wenyeji.
 
Hakuna ambaye ataweza sema kwamba injili haikumfikia, Yesu alikuja kuokoa waliopotea kwa hiyo hayo maneno lazima yatamuachia mtu alama ya kwanini yale maneno pale na maswali mengine mengi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom