guess why?

guess why?

utakuwa umehamia Airtel bana baada ya kusumbuka sana na ule mtandao wa kwanza bongo lol!
 
Naona alie kua anajua kapiga kimya, maana yake hata yeye hakujua yuko karibu. In fact nilipewa kazawadi kazuri kazuri kakanifurahisha and nilipotaka kulala nikafunga macho nikakumbuka kazawadi kangu ndio nikatabasam na nikalala with that image in my mind and that smile on my face...
Memories are forever...
 
Naona alie kua anajua kapiga kimya, maana yake hata yeye hakujua yuko karibu. In fact nilipewa kazawadi kazuri kazuri kakanifurahisha and nilipotaka kulala nikafunga macho nikakumbuka kazawadi kangu ndio nikatabasam na nikalala with that image in my mind and that smile on my face...
Memories are forever...

lol! You are lucky my dear! Leo vipi?
 
Naona alie kua anajua kapiga kimya, maana yake hata yeye hakujua yuko karibu. In fact nilipewa kazawadi kazuri kazuri kakanifurahisha and nilipotaka kulala nikafunga macho nikakumbuka kazawadi kangu ndio nikatabasam na nikalala with that image in my mind and that smile on my face...
Memories are forever...
dah! hongera kwa kuvalishwa pete,ushauri wangu bana mpaka alete ile ingine yake ziwe 2 sawa ?
 
dah! hongera kwa kuvalishwa pete,ushauri wangu bana mpaka alete ile ingine yake ziwe 2 sawa ?
Pete nilivikwa zamani, tena zote mbili. Nakumbuka Afrodenzi alikua na post ya kuuliza haya mambo nikajikuta na mimi nimesema yangu...
Ni zawadi ingine tu nzuriiiiiii kadogo kadogo ila kazuri kanafurahisha
 
Hata leo naona kuna possibility ya kazawadi tena, ngoja tuone...
sasa ulikuwa unabisha nini hahaha!

Pete nilivikwa zamani, tena zote mbili. Nakumbuka Afrodenzi alikua na post ya kuuliza haya mambo nikajikuta na mimi nimesema yangu...
Ni zawadi ingine tu nzuriiiiiii kadogo kadogo ila kazuri kanafurahisha
Aah! nimeshajua Tanzania Darkness Supply hawajafanya madudu yao hapo mtaani kwenu hahaha!
 
Uporoto naona wewe umesha amua ni hayo yako ya uvinza tu. Sio kabisaaaa, anza kufikiria vingine.
 
Uporoto naona wewe umesha amua ni hayo yako ya uvinza tu. Sio kabisaaaa, anza kufikiria vingine.
mimi nimeshindwa naona tunacheza mchezo wa username yako yaani russian roulette.
Lakini kama ni flowers usishangilie sana kuna mama wa kiingereza alisema mume wangu akiniletea maua najua usiku huo mguu upande lol!
 
Pete nilivikwa zamani, tena zote mbili. Nakumbuka Afrodenzi alikua na post ya kuuliza haya mambo nikajikuta na mimi nimesema yangu...
Ni zawadi ingine tu nzuriiiiiii kadogo kadogo ila kazuri kanafurahisha

Hongera bidada hope koloni bado lina mwenyewe na hizo pete hazikukinahi!!
 
Anajua kwa nini nasmile, sio sababu ya message ninayo andika, ni sababu ya memory...
 
Back
Top Bottom