(Gregorian calendar) Is he pious?

upo sahihi. Ila chukulia mfano viumbe walio ktk hatari ya kutoweka wanavyolindwa.Wenzetu pamoja na ubaya wao wanafahamu hatari ya kuwa na fikra potovu za kufuta watu,na viumbe tofauti. as long as hatuna hatari kwao kwa kiasi ambacho hawawezi tua ccomodate tutakuwa salama.Ila shida ni huku kutojua tuendapo. AU ni katawi viongozi wa aina ya Gaddafi, China, Arab propagandists, so chances are tunaweza kujikuta tuna siasa mbaya na tupo ktk wrong boat na hivyo tukawa halali malizwa.
si swala la self esteem hapa ila ndio ukweli kwani ni vitu gani tunavyojitengenezea wenyewe waafrika? ni nchi chache zinazojitengenezea madawa nguo na vitu vingine vya kutumia nyingi zetu ni za kusubiri tupewe toka nje au tununue, sera tunatunga tunasubiri kuambiwa hizo ziendelezeni hizo acheni, we have no power to decide anything in this world,wenye power ndio wanasema nasi tunafuata sasa democracy ndio utawala mzuri na tunalazimishwa kuufwata ikiwa tunataka tuwe sehemu ya international society,ukienda kinyume wewe gaidi wewe utasakamwa hadi upotee,the fact that we have no power on issues in the world ndio inayotufanya tuone kuwa sisi ndio tutakuwa waathirika wa haya mambo, leo hii peleka bidhaa yako nchi za magharibi kwanza ukifanikiwa kuipeleka shukuru lakini kuitumia hiyo bidhaa ni tatizo huko nje,lakini sisi kwa vile sio wazalishaji wa kila kitu basi tunapokea kila kijacho.majaribio ya madawa nchi zetu ndio zinakuwa projects tungekuwa na power tusingekubali lakini sasa mtakataaje wakati ikiwork tutapewa kama msaada?
 
kichuguu! Unajua vitu vingine usicomplicate kanisa lime rise karne ya tatu, huyo petro alikufa mwaka gan? Yesu alikufa mwaka takriban 30+. Unadhani petro angeish mgaka yote hyo had karne ya tatu aione,anyway tusiame mada,naona baadh ya waungwana wananipa majib kidogokidogo
 
Realness,

Nilitoa jibu ambalo nadhani lingeeleweka kwa mtu yeyote mwenye kuangalia jambo hili kwa kina. Inawezeka ndugu yangu una agenda unayotaka watu waikubali badala ya kujadili facts. Binafsi sina uhakika kama Papa Gregory alikuwa na makubwa kiashi cha kuweza kubadilisha majina ya miezi katika karne hiyo ya kumi na sita ambapo dunia ilikuwa imeendela sana, ila nimekuambia kuwa mchango wake ulikuwa ni mdogo sana kwenye kalenda yetu hii na ulifanyika kwa ushirikiano mkubwa sana na wansayanis wakati huo: Astronomers na mathematicians. Mchango huo ulikuwa ni kupunguza dakika 10 na nusu kwa mwaka, au siku moja kila baada ya miaka 132 ambayo watu wengi hawawezi hata kujua kama kuna upungufu wa siku kwenye kalenda kwa vile wengi watakufa kabla hawajamliza cycle hiyo. Jambo kubwa katika historia ni lile la kurudisha nyuma kalenda hiyo kwa kuruka siku kama kumi na moja hivi, na wala hilo halikuwa tamko alilotoa kwa dunia nzima ila lilikuwa ni ndani ya kanisa lake tu, mataifa mengine yalianza kuikubali kalenda hiyo pole pole na hadi leo hii bado waislamu na wachina hawaikubali.

La zaidi ni kuwa yeye na wataalamu wake wa wakati huo walirahisisha kwa kuweka formula kuwa kama mwaka wowote kwenye Julian Calendar utagawanyika kwa 400 basi usihehasibwe kama mwaka mrefu ingawa miaka inayogawanyika kwa 4 ni miaka mirefu; kulikuwa na formula nyingine iliyotumika kulipa hizo dakika 10 na nusu kwa mwaka ila siikumbuki. Nina kitabu kimoja ofisini kinachoongelea historia ya kalenda ila sasa hivi niko spring break sitaweza kukuthibitishia historia hiyo; nikirudi ofisini wiki ijayo nitakuandikia formula halisi waliyopendekeza ili kuhakikisha kuwa muda unaoongezwa na Julian Calendar unaondolewa.

Labda jambo moja la kujivunia ni kuwa kalenda hii mwanzo wake hasa ni Afrika hapa kwetu, yaani huko Misri ambako Julius Caesar aligundua kuwa kalenda yao warumi haikuwa sahihi kulinganisha na ile ya wamisri alipokokuwa akila maraha na malkia Cleopatra wa Misri. Julius Caesar alikopi sehemu kubwa ya kalenda ya wamisri ndiyo ikaitwa Julian Calender, na Pope Gregory alipunguza siku moja katika kalenda hiyo kila baada ya miaka takriban 132.

Sipendi kuongelea mambo ya kidini ila kama kanisa hilo liliibuka karne ya tatu kama usemavyo, basi siyo vizuri kudai kuwa Gregory ndiye aliyekuwa na power kuliko mapapa wengine wote.
 
upo sahihi. Ila chukulia mfano viumbe walio ktk hatari ya kutoweka wanavyolindwa.Wenzetu pamoja na ubaya wao wanafahamu hatari ya kuwa na fikra potovu za kufuta watu,na viumbe tofauti. as long as hatuna hatari kwao kwa kiasi ambacho hawawezi tua ccomodate tutakuwa salama.Ila shida ni huku kutojua tuendapo. AU ni katawi viongozi wa aina ya Gaddafi, China, Arab propagandists, so chances are tunaweza kujikuta tuna siasa mbaya na tupo ktk wrong boat na hivyo tukawa halali malizwa.

viumbe walio katika hatari ya kutoweka lazima wawalinde kwani wanawaingizia faida fulani sisi tunawaingizia faida gani? zaidi ya kukalia resources ambazo wao wanazihitaji na kwa kuwa sasa tupo huru na sheria za kutulinda zipo kimataifa basi ni kikwazo kwao hivyo basi kuondolewa sisi kwao si jambo la ajabu. na mbinu mbalimbali zitatumika kutuondoa.
hawa sio watu wema basi tu wanishi nasi kinafki.
 
Hatuna ushahidi wowote kama kweli secret societies wapo. Ila kuna watu wenye mental problems ambao huogopa kila kitu. Wakiona Obama wanaogopa...wakiona China inapaa wanaogopa. Wanajenga nadharia za uwongo na kuzieneza. Hawa ndiyo wale wanaodhani dunia hii iliumbwa kwa ajili yao na ni wao peke yao ambao wana haki ya kuitawala dunia hii. Ni weupe wachache vichaa. Ndiyo wale kwa mfano waliojiita KKK na slogan yao ya 'white power'. Ndio hao ukiwaambia kwamba in fact mababu zetu weusi ndo waliowaumba kinamnanamna enzi hizo hapo ndo unaongeza cheche za moto...:wink2:

hivi ni kweli hakuna ushahidi wa kuwepo kwa secret societies? jamani nisaidieni
 
Hatuna ushahidi wowote kama kweli secret societies wapo. Ila kuna watu wenye mental problems ambao huogopa kila kitu. Wakiona Obama wanaogopa...wakiona China inapaa wanaogopa. Wanajenga nadharia za uwongo na kuzieneza. Hawa ndiyo wale wanaodhani dunia hii iliumbwa kwa ajili yao na ni wao peke yao ambao wana haki ya kuitawala dunia hii. Ni weupe wachache vichaa. Ndiyo wale kwa mfano waliojiita KKK na slogan yao ya 'white power'. Ndio hao ukiwaambia kwamba in fact mababu zetu weusi ndo waliowaumba kinamnanamna enzi hizo hapo ndo unaongeza cheche za moto...:wink2:

lile jengo la freemason Hall pale posta ni kina nani wale?
 
lile jengo la freemason Hall pale posta ni kina nani wale?

Kuna mambo mengi yanazushwa tu hapa duniani. Nadharia nyingi zinatungwa. Secret societies wasingeweza kubaki secret kwa mamia ya miaka yote hii. Labda kama wapo katika hali ya kutoonekana kwa macho ya kawaida. Kwamba kuwe na watu wanaojificha kwa miaka mingi kiasi hicho haiwezekani--vyombo vya habari duniani vingekuwa vimesha document mabo haya. Swali pia ni hili: kwa nini wajifiche? Kama wanataka kuficha agenda ya new world order, mbona ipo wazi--inazungumzwa sana na umoja wa mataifa, ingawa kwa lugha isiyotisha sana. Kama ni agenda ya kuwamaliza watu "wasiohitajika" (undesirables), mbona mawazo hayo yamekuwa wazi toka zamani (ondoa weusi, ondoa wayahudi, nk.) na yanasemwa hadi sasa na baadhi ya vichaa. Kama kuna freemasons hapo posta, kwa nini vyombo vya habari huru visifuatilie kwa makini na kudocument? Bado nasema hatuna ushahidi bali ni conspiracy theories tu...
 
si swala la self esteem hapa ila ndio ukweli kwani ni vitu gani tunavyojitengenezea wenyewe waafrika? ni nchi chache zinazojitengenezea madawa nguo na vitu vingine vya kutumia nyingi zetu ni za kusubiri tupewe toka nje au tununue, sera tunatunga tunasubiri kuambiwa hizo ziendelezeni hizo acheni, we have no power to decide anything in this world,wenye power ndio wanasema nasi tunafuata sasa democracy ndio utawala mzuri na tunalazimishwa kuufwata ikiwa tunataka tuwe sehemu ya international society,ukienda kinyume wewe gaidi wewe utasakamwa hadi upotee,the fact that we have no power on issues in the world ndio inayotufanya tuone kuwa sisi ndio tutakuwa waathirika wa haya mambo, leo hii peleka bidhaa yako nchi za magharibi kwanza ukifanikiwa kuipeleka shukuru lakini kuitumia hiyo bidhaa ni tatizo huko nje,lakini sisi kwa vile sio wazalishaji wa kila kitu basi tunapokea kila kijacho.majaribio ya madawa nchi zetu ndio zinakuwa projects tungekuwa na power tusingekubali lakini sasa mtakataaje wakati ikiwork tutapewa kama msaada?

Bwana Nicolas,

Naomba nipingane na wewe juu ya hoja yako hii "we have no power to decide anything in this world,wenye power ndio wanasema nasi tunafuata". Mtanzania inaelekea unajiweka mwenyewe kwenye nafasi ya chini sana duniani. Hakuna mtu anayekulazimisha uchukuwe nafasi hiyo. Nami nakushauri kwamba uachane na nafasi hiyo ktk uringo huu wa kimataifa. Kama wanakupangia mambo nawe ni mtu wa kufuata tu basi nakuombea sana ujiokoe na mnyororo huo. Cha kufanya ni hiki: Jiulize swali kwa nini wanipangie na kwa nini sina "power"? Nakwambia hivi, ukitaka kuwa na power utapata power yako, jambo kubwa ni uamuzi wako mwenyewe. Pia usipotaka kupangiwa mambo na jirani yako ni hatua nzuri. Hatua inayofuata ni kuanza kujipangia mwenyewe. Ukifanya hayo, hutaona mtu anakuingilia...ndiyo kwanza atakuheshimu sana maana unajitegemea na unaonyesha utashi wako. Mtanzania simama wima na chukua nafasi yako kama mtu mwenye hadhi na uwezo sawa na wengine duniani. Just act! Kama nimekuudhi, basi unisamehe. Ila napenda kuona kwamba mtanzania anajisikia yupo sawa na watu wengine wowote duniani, na anatambua uwezo wake na jinsi ya kuutumia.
 
sioni ubaya wa hizo amri. The world has to be depopulated, but naturally via natural deaths and family planning. Tunazaana sana hovyo na while the human race is dynamic, nature is static.

Na wewe mleta mada jifunze kuandika kwa ufasaha, na kuedit pia maana inaonekana umetubwagia hapa bila hata ya wewe kupitia

Ni sawa. Kama wanang'ang'ania kwamba watu wapunguzwa artificially, basi tuanze kazi hiyo kwa sharti moja: kwamba tuanze na wao wanaopendekeza hatua hiyo na kutuwekea maandishi hayo...
 
The commandments are vague and in danger of self violating themselves from "avoid petty laws and useless officials. What are petty laws? Useless officials to whom?

Overpopulating the world is bad (basically we will be choking our resources), a population target of 500 million (just under half the population of India) is equally bad in that it will vastly underutilize the world's resources and reduce the collective brainpower of humanity drastically.

The world, with the help of responsible technology, can maintain a population of 5 billion with no adverse repercussions.
 
who made the stone? for sure this stone is not mysterious, it must been made by someone or may be secret societies not God
 
who made the stone? for sure this stone is not mysterious, it must been made by someone or may be secret societies not God

God does not engage in senseless deeds such as this. Maybe the underworld gods or goddesses who are said to have claimed to be real gods. In fact, zile mbao zimewekwa na KKK--lile kundi linapigania "white supremacy" in USA. Mioyo inawauma sana wanapoona kundi la weupe linazidi kupungua mwaka hadi mwaka na cha kushangaza, watu weusi/nusu weusi wanashika hatamu za nchi na kuonyesha umahiri...kwa hiyo suluhisho ni kupendekeza tuwe na watu wachache sana ambao, katika akili zao, wengi wa hao watakaobaki watakuwa weupe...pana akili timamu hapo kweli?
 
The commandments are vague and in danger of self violating themselves from "avoid petty laws and useless officials. What are petty laws? Useless officials to whom?

Overpopulating the world is bad (basically we will be choking our resources), a population target of 500 million (just under half the population of India) is equally bad in that it will vastly underutilize the world's resources and reduce the collective brainpower of humanity drastically.

The world, with the help of responsible technology, can maintain a population of 5 billion with no adverse repercussions.

mis-management of resources by the helpof the so called technology,technology Huria,praising technology blindly, comfortable with quantity and not quality,had not been the blindly use of technology which has resulted in misuse of natural resources that could sustain hundred of billions of human on earth,matokeo yake tunajidanganya kuwa dunia imejaa, samahani mkuu,swali la kizushi, pamoja na juhudi zako zote za kukariri maquantam physics na kuelewa mambo ya kwenye magalaxy na juhudi unayoionyesha kutafuta elimu hiyo je ? kijijini kwenu MBU bado anasumbua ndugu zako ? au mwenyewe walala kwenye net kuogopa MBU ?
 
Raia are you saying kua tusha reach hio stage ya kutakiwa tupungue? Nature is kind of dynamic too I believe...

The world is so vast and dynamic we waache wahangaike wanavyoweza but they can NEVER never beat mother nature.
Naamini nature ina jinsi ya kuji-adjust itself, hakuna mwanadamu anayeweza ku-control nature.
Kama nikufa tutakufa lakini hakuna anayeweza kuifanya dunia iwe anavyotaka yeye, HAKUNA.
 
Kuna mambo mengi yanazushwa tu hapa duniani. Nadharia nyingi zinatungwa. Secret societies wasingeweza kubaki secret kwa mamia ya miaka yote hii. Labda kama wapo katika hali ya kutoonekana kwa macho ya kawaida. Kwamba kuwe na watu wanaojificha kwa miaka mingi kiasi hicho haiwezekani--vyombo vya habari duniani vingekuwa vimesha document mabo haya. Swali pia ni hili: kwa nini wajifiche? Kama wanataka kuficha agenda ya new world order, mbona ipo wazi--inazungumzwa sana na umoja wa mataifa, ingawa kwa lugha isiyotisha sana. Kama ni agenda ya kuwamaliza watu "wasiohitajika" (undesirables), mbona mawazo hayo yamekuwa wazi toka zamani (ondoa weusi, ondoa wayahudi, nk.) na yanasemwa hadi sasa na baadhi ya vichaa. Kama kuna freemasons hapo posta, kwa nini vyombo vya habari huru visifuatilie kwa makini na kudocument? Bado nasema hatuna ushahidi bali ni conspiracy theories tu...

No one can beat mother nature.
Ni mawazo ya kibinafsi na urafi ndio unafanya watu wa hofu kuwa resources zitaisha.
Remember ecosystem lazima i-balance no matter what.
 
how nature becomes dynamic? Human race has a multiply effect. Does nature multiply itself? Talking about nature is talking about resources.


Raia when we talk of nature being dynamic, this is completely contrary to nature being able to multiply.... Nature is of course dynamic but can not multiply.....
 
Raia when we talk of nature being dynamic, this is completely contrary to nature being able to multiply.... Nature is of course dynamic but can not multiply.....

labda hujanisoma. Nimekuuliza kama nature ina multiply effect. Nakuuliza tena, nature ni dynamic kivipi? Maybe dynamic backward towards diminishing
 
who made the stone? for sure this stone is not mysterious, it must been made by someone or may be secret societies not God

ofcourse not god but few people called themselves small group of americans who seek the age of reasoning,
here is the story

Here is thestory of the ordering of the guidestones as told by the official guidebook.
"what started out as a usual friday afternoon in mid-summer has ended in the production and erection of one of the world's most unusual monuments, produced under the most unusual conditions. Joe fendley, president of elbert granite finishing company, inc. In elberton, georgia,was spending this friday afternoon in june 1979 like he spends most friday afternoons … Studying his weekly reportsand generally closing up shop for a weekend … And then it all started.
A neatly dressed man walked into fendley 'state street office and said he wanted to buy amonument. Since everyone else in the office was busy, fendley decided to talkto the stranger himself and explained that his company does not sell directly to the public, but only on a wholesale basis.
Not to be discouraged, the middle-aged man who identified himself only as mr. Robert c.Christian, said he wanted to know the cost of building a monument to theconservation of mankind and began telling fendley what type of monument hewanted. With this he outlined the size in metric measurements.
Fendley admitted that his first reaction to mr. Christian was not very good, but after listening for about 20 minutes and learning the massive size of the monument hewished to purchase and have erected, fendley decided he should take this man seriously."

this is how it was built, and the day it was officaly opened there were members who believed to be freemasons this was because of the way they were dressing, masonic chains and others stuffs.


 


hivi kweli mtu au watu wakaharibu pesa zao bila sababu tu namna hii, lazima walikusudia na walikuwa na jambo tena kwao la muhimu
 
Back
Top Bottom