- Thread starter
- #21
Ndibalema wee ni noma.Bwana mabel mbona umeanzisha hii topic wakati huu ambao vichwa vimeshachoka na pilika pilika za siku nzima!
Ungeuliza asubuhi hakyanani mimi ningetoa jibu sahihi lakini sasa hivi nipo hoi hapa.
Kwa hiyo tukikupa nafasi ya kujibu kesho asubuhi utatupatia jibu sahihi au utakuja na stori zingine?