Uchumi TV
Member
- Apr 11, 2023
- 14
- 19
Rais wa Chama cha Walimu Mstaafu ndg Gration Mukoba amechaguliwa kuwa mwenyejkiti wa chadema mkoa wa Kagera ambapo amepata kura za ndiyo 58 na 5 za hapana.
Msimaizi wa uchaguzi ni John Mrema na Wenje
unaweza kutazama utangazaji wa matokeo hapa chini katika matngazo ambayo ni live
Msimaizi wa uchaguzi ni John Mrema na Wenje
unaweza kutazama utangazaji wa matokeo hapa chini katika matngazo ambayo ni live