Gration Mukoba achaguliwa kuwa Mwenyeiti mpya wa CHADEMA Kagera

Uchumi TV

Member
Apr 11, 2023
14
19
Rais wa Chama cha Walimu Mstaafu ndg Gration Mukoba amechaguliwa kuwa mwenyejkiti wa chadema mkoa wa Kagera ambapo amepata kura za ndiyo 58 na 5 za hapana.

Msimaizi wa uchaguzi ni John Mrema na Wenje

unaweza kutazama utangazaji wa matokeo hapa chini katika matngazo ambayo ni live
hotuba ya mukoba`.jpg
 
Rais wa Chama cha Walimu Mstaafu ndg Gration Mukoba amechaguliwa kuwa mwenyejkiti wa chadema mkoa wa Kagera ambapo amepata kura za ndiyo 58 na 5 za hapana.

Msimaizi wa uchaguzi ni John Mrema na Wenje

unaweza kutazama utangazaji wa matokeo hapa chini katika matngazo ambayo ni live


View: https://youtube.com/live/-dlsoETNK5w?feature=share

Kwa hiyo alishastaafu ualimu tayari?maana hawezi changanya siasa na kazi.

Huyu alikuwaga TUCTA kama sijakosea.Hiv ndiyo huyu kama sikosei ambaye wakati wake hakumualika Raisi wakati huo Kikwete kwente sherehe za may mosi
 
Back
Top Bottom