Graduates waliowahi kuishi Oysterbay na Masaki (au wanaoishi huko sasa tokea miaka ya nyuma) ni hazina kubwa ya taifa

Mwambie, utafiti wake una mashaka, au labda anataka kusema walioishi au kulelewa huko siyo vilaza!
Ntakubali wa huko walibahatika kuwa na fursa za elimu, malazi na maisha bora, ila pia kuwa na vilaza wa kufa mtu, hasa watoto wa vigogo, lakini sidhani wametoa marais, au mawaziri au maspika kuliko siye wa vijijini...
Kwani kuwa raisi,waziri au spika ndio kwamba unaakili kubwa kuliko wengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa raia huwa nawajua sana tabia zao, wengine wako ulaya lakini hela ya matumizi na mambo mengine wanatumiwa na baba zao. Ndio maana sisi wauswazi tunagonga sana dada zao maana wanahitaji matanuzi wakati ndio vile tena vijana wenye mpunga wanatoka uswazi ona Diamond,Kiba na Hasheem wanavyowadharirisha, Mtu kama Lemutuz leo hii amekuwa kibaraka wa watoto wa mjini tena ambao hawana background kama ya kwake. Kinje na Riz1 ndio watoto wa vigogo ninaowaamini kwenye mapambano maana walitumia fursa za wazee wao vizuri nao wakatoboa upande mwingine tofauti na hawa wengine wapaka poda na lipstick za dada zao.
ha ha ha ha ha LE MUTUZ kawa chawa wakati baba yake alikua makam wa rais ha ha ha ha ha ha
 
Kweli mkuu unakuta mtu mzima kama LE MUTUZ anakaa kwao bado hata yeye anakili alivyotoka ulaya akafikia kwao ha ha ha ha ha jamaa ana miaka 60 lakini maish yake hayaeleweki wako wengi ni washkaji zangu lakini unakuta ana 45 bado anatokea home mwingine T.I.D ha ha ha mzee kigogo hana hata chumba cha elfu 50
Ndugu,hata Mo Dewji bilionea kijana Afrika anakaa kwao.
 
Ndugu,hata Mo Dewji bilionea kijana Afrika anakaa kwao.
Mo yule ni utamaduni wao manake hata kuoana wanaoana mtoto wa baba mdogo na baba mkubwa ila sisi sio utamaduni wetu kukaa home ukiwa na umri kama le mutuz
 
Mo yule ni utamaduni wao manake hata kuoana wanaoana mtoto wa baba mdogo na baba mkubwa ila sisi sio utamaduni wetu kukaa home ukiwa na umri kama le mutuz
Hahahaa hilo bifu sasa.Hata wachaga,wamaasai na makabila mengine mtoto wakiume unapewa ardhi ujenge kwenye boma la baba yako.
 
Ni kweli kabisa mkuu MAGU amesaidia sana amevunja ile gepu kuwa kama baba yako alikua kwenye system basi na wewe unakuja ku risishwa mi nawajua baadhi ya watu they didint had a classy and now wako wamepewa nafasi kubwa so hii itasaidia ku create matajili wapya kuliko kuwa na wale wale kila siku

Oyster Bay tunayoongelea Magu hajaikuta. Tunaongelea Oysterbay, Masaki, Capri Point, Isamilo ya mwaka 1984 wakati yeye akiwa bado mwalimu wa Sengerema Sekondari.
 
Hao jamaa kwenye uchumi tunaita ni opportunity cost kiswahili wanakua wamepata ngekewa tu ndio pesa yao sio sustainable ndio mana wakitoka huko wanafulia vibaya mno tofauti na msomi pesa yake inakua sustainable hebu angalia wanamziki wangapi walikua na pesa saizi wamefulia

Hebu mweleze kaka. Halafu hata hao wanamuziki anaosema wametoboa alinganishe ni mwanamuziki gani kama Bitchuka, Gurumoa aliyecheza kwa kushusha suruali hadi chupi inaonekana.

Kimsingi hawa akina Diamond wanatoboa kwa sababu wana reflect kizazi walichotoka cha uswahilini maana huko ndiko tabia zao zinakubalika.

Hebu hata sasa nenda bar zinazojiheshimu uone kama kuna hata moja inapiga nyimbo zao.
 
Ni kazi za ma Layman na wenye elimu ndogo

Kama ma DJ wa sasa ni ma lay man basi ndipo hapo tunakubaliana kwamba kizazi cha Oyster Bay kilikuwa mahiri.

Sifa ya DJ ilikuwa ni kuwa smart kati aenglish anaongea huambui neno hata moja. Ndiyo maana wenzangu humu wanakuambia physiological kuna kitu una miss.
 
Kaka kumbe mmeeleza sawa.

Mimi nimekulia uzunguni hukohuko Masaki, Oyster Bay na mikoani nikaishia sehemu kama hizo.

NIlipoanza maisha nikasema nijichanganye na hawa wa uswahilini tena ndugu zangu, akina mjomba na watoto wao, lengo ili kuwastaarabisha wawe kama mimi na pia nisijione naringa.

Kaka yaliyonipata nimeyaweka kwenye diary yangu sintayasahau. Kimsingi sina hamu kabisa na mtu yeyote aliyekulia uswahilini au vijijini hadi leo.

Unaishi maisha ya kawaida tena moyoni unamheshimu lakini anakuona unaringa na kila jambo analitafsiri kama vile unamsimanga kwamba alipita uswahilini.

Ukimsahihisha anaona unamsimanga eti kwa vile kwao kulikuwa uswahilini, ninajifanya bishoo.

Hata humu angalia comments zao. Zimajaa kuthibitisha kwamba kuna watu walitoka vijijini au uswahilini wakafaulu.

Hebu kaa na hawa waliotoka uswahilini wakumbushe disco, robot, Michael Jackson, Yatch Club, watakufukuza kwenye mazungumzo, wanaona unawaringishia kana kwamba uliwanyima wewe hayo mazuri.

Hata ofisini wamejaa na ndiyo wanaongoza kwa unyenyekevu maofisini ni watu wa kutojiamini wakati wote.

Ni wasumbufu kweli huku maofisini wanaamini kufaulu maisha ni kunyenyekea.

Hata vyeo wanavyopata msingi mkubwa ni kujipendekeza na kujinyenyekeza wala si kwamba wana competence kama wanavyodai hapa.

Kimsingi ni watumwa tangu walipokuwa uswahilini na hadi leo.

Yeah, watoto wa ushuani wanakuwa na roho za kitajiri sana and very civilized wanajua kuheshimu watu wengine. Ila mitoto iliokulia kwenye shida roho nyeusi zisizong'aa hata kwa Jik!
Nimekulia bushi , kule ukiongea kuswahili unaonekana unajidai, ni mwendo wa kilugha kwenda mbele.
Nimeona gap kwenye maisha yangu, kuna ile aggressiveness ambayo ipo kwa watoto wa kishua huwa naikosa. Nimeitafuta muda kweli lakini naikosa.
Hapa nilipo napambana watoto wangu waishi hayo maisha, mambo ya vacation Marekani iwe kawaida.
Uswazi tuna potential kubwa Ila tunakufa nazo. Hatuko competitive, na lile gap la boss na junior ni kubwa sana kwa sisi wa uswazi. Tunajawa heshima ya woga ya kiseng.e wakati wa ushuani full kujiexpress.
kwenye interview na interaction za kawaida ni rahisi kutofautisha wa kishua na uswahilini ndani ya muda mchache tu.


Fake it until you own it
 
Moshi shan't town aisee walioishi maisha ya kitajiri toka utotoni hawana hiyana kabisa ndyo maana waliotoka kwenye familia duni wakiwa viongozi wanafanya manyanyaso sana kwa wafanyakazi au ata ndugu zao hawawapi kazi zikitoka nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka kumbe umeeleza sawa. Mimi nimekulia uzunguni hukohuko Masaki, Oyster Bay na mikoani nikaishia sehemu kama hizo.

NIlipoanza maisha nikasema nijichanganye na hawa wa uswahilini tena ndugu zangu, akina mjomba na watoto wao, lengo ili kuwastaarabisha wawe kama mimi na pia nisijione naringa.

Kaka yaliyonipata nimeyaweka kwenye diary yangu sintayasahau. Kimsingi sina hamu kabisa na mtu yeyote aliyekulia uswahilini au vijijini hadi leo.

Unaishi maisha ya kawaida tena moyoni unamheshimu lakini anakuona unaringa na kila jambo analitafsiri kama vile unamsimanga kwamba alipita uswahilini.

Ukimsahihisha anaona unamsimanga eti kwa vile kwao kulikuwa uswahilini, ninajifanya bishoo.

Hata humu angalia comments zao. Zimajaa kuthibitisha kwamba kuna watu walitoka vijijini au uswahilini wakafaulu.

Hebu kaa na hawa waliotoka uswahilini wakumbushe disco, robot, Michael Jackson, Yatch Club, watakufukuza kwenye mazungumzo, wanaona unawaringishia kana kwamba uliwanyima wewe hayo mazuri.

Hata ofisini wamejaa na ndiyo wanaongoza kwa unyenyekevu maofisini ni watu wa kutojiamini wakati wote.

Ni wasumbufu kweli huku maofisini wanaamini kufaulu maisha ni kunyenyekea.

Hata vyeo wanavyopata msingi mkubwa ni kujipendekeza na kujinyenyekeza wala si kwamba wana competence kama wanavyodai hapa.

Kimsingi ni watumwa tangu walipokuwa uswahilini na hadi leo.
Dah ndio hivyo, yani cha msingi ni kujitahidi kujimix na raia wa calibre yako tu maana waswahili washenzi sana. Mi pia nimetokea family ilio civilized sana so ni rahisi ku cope na watu wa aina nyingi tofauti tofauti provided mtu haniletei dharau tutaivana freshi tu.

Wakati nipo chuo kuna manzi mmoja best yangu alikuwaga ananishangaa nawezaje kuwa rafiki na kila mtu! Maana yeye binafsi hawezi nikamwambia niko flexible tu. Mi sinaga nomare na mtu yeyote mwenye kustaarabika.

Watu waliokulia kwenye dhiki wanakuwaga na roho za kimaskini sana wakipataga nafasi. Ulimbukeni na kunyanyasa watu ama madharau kibao ndio huwatawala. Bure kabisa.
 
Moshi shan't town aisee walioishi maisha ya kitajiri toka utotoni hawana hiyana kabisa ndyo maana waliotoka kwenye familia duni wakiwa viongozi wanafanya manyanyaso sana kwa wafanyakazi au ata ndugu zao hawawapi kazi zikitoka nafasi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka,

Hata mimi ndugu zangu waliokuli uswahili sifikirii kuwapata kazi au kuwafahamisha zinapotoka.

Nimeshaeleza jinsi nilivyowaheshimu lakini wakanitafisi kama naringa, najifanya bishoo, najifanya nimesoma, na kuna kipindi wakadhani nimejitenga na jamii hivyo ninastahili na mimi kutengwa.

Soma post yangu namba 152.

Hivi utamtenganje mtu mwenye connections kama mimi nimekulia Masaki, Oyster Bay, Isamilo?

Hivyo, kazi zinapotoka tunaambiana mimi na wenzangu wa tuliokulia Masaki basi mchezo unaisha.

Sina hamu kabisa na mtu aliyekulia uswahilini yaani Mwananyamala, Manzese, Mburahati, Yombo Dovya na baadhi ya sehemu za Magomeni.

Kule Mwanza sina hamu na watu waliokulia Ushashini, Mabatini
 
Hao jamaa kwenye uchumi tunaita ni opportunity cost kiswahili wanakua wamepata ngekewa tu ndio pesa yao sio sustainable ndio mana wakitoka huko wanafulia vibaya mno tofauti na msomi pesa yake inakua sustainable hebu angalia wanamziki wangapi walikua na pesa saizi wamefulia
Opportunity cost is the benefit forgone after selecting one option instead of other , mfano badala ya kuingia darasani kuhundhuria kipindi ww umeenda kuvua samaki , Kwa hiyo kile kipindi cha darasani ulichokosa ndio opportunity cost ( hiyo ni definition kwenye management accounting) , let's back to discussion, wasomi wengi hawafirisiki Kwa sababu hawana pesa ( ni masikini) ,masikini hatafirisika nn ? Vijana wasiosoma wenye pesa wengine ufirisika Kwa sababu nyingi Tu , sio elimu peke yake, hivi mtu kama umepata pesa halafu umefanya portfolio investments utafirisika vipi ? Ymeinvest kwenye real estate, umenunua shares somewhere, umeweka fixed deposit , umewekeza kwenye retail businesses etc . Wanamichezo wengi udaiwa kuwa broke Kwa sababu ya kukwepa Kodi au kukwepa mgawanyo wa Mali . Anyway shule ni muhimu Kwa kutumikia zaidi jamii otherwise uitumie shule yako kufanya biashara zako binafsi kitu ambacho wengi hatuwezi.
 
Achievements za wa Uzunguni si za kubeza bila kusahau impact yao kubwa kuwakilisha Tanzania kimataifa na kikanda

5 Aug 2010
ITU Kaleidoscope 2009 Video testimonial - Kamugisha Kazaura
 
Back
Top Bottom