Kusajiliwa kuna hatua nyingi mkuu, hapo umeambiwa ni Graduate hivyo anaweza kua amesajiliwa lakini kama GraduateAmeshasajiliwa na ERB? Ni mhandisi au fundi?
Ameshasajiliwa na ERB? Ni mhandisi au fundi?Habari wana jukwaa,
Kuna dogo ni graduate wa electrical Engineering anatafuta fursa ya ajira.
Amehitimu chuo cha St Joseph- Kibamba.
Nawasilisha.
Uliwezaje kusajiliwa bila kazi? Project ulifanyaje Hadi ukakidhi viwango vya ERB?Mhandisi na amesajiriwa na ERB.
Unaweza sajiliwa as Graduate Eng.Hadi ukakidhi viwango vya ERB?
Inawezekana kujisajili kama PE bila kuajiriwa mkuu, unatumia program ya SEAPAmeshasajiliwa na ERB? Ni mhandisi au fundi?
Uliwezaje kusajiliwa bila kazi? Project ulifanyaje Hadi ukakidhi viwango vya ERB?
Unawadharau hao jamaa ndo wako vizuri kwa Sasa kuliko hivyo vyuo unavyo viona vikubwaHaya maVyuo vya kata bwana
Hahahahaaaa...Unawadharau hao jamaa ndo wako vizuri kwa Sasa kuliko hivyo vyuo unavyo viona vikubwa
Hahahahaaaa...Unawadharau hao jamaa ndo wako vizuri kwa Sasa kuliko hivyo vyuo unavyo viona vikubwa
Haya maVyuo vya kata bwana
Huyo ni Graduate Engineer bila shaka.Ameshasajiliwa na ERB? Ni mhandisi au fundi?
Huyo atakuwa ni GE.Inawezekana kujisajili kama PE bila kuajiriwa mkuu, unatumia program ya SEAP
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Grid yote sasa hivi imetambaa 400KV badala ya 250KV? Kwa nini nimeuliza, nimeona signiture yako hapo chini.Huyo atakuwa ni GE.
Kusajiliwa na ERB hakuna uhusiano na kupata kazi.Ameshasajiliwa na ERB? Ni mhandisi au fundi?
Uliwezaje kusajiliwa bila kazi? Project ulifanyaje Hadi ukakidhi viwango vya ERB?
Kibongo bongo hatuna rate ya 250kV tuna 11,33,66,132,220 na sasa hivi kuna miradi ya backbone ya 400kV.Mkuu, Grid yote sasa hivi imetambaa 400KV badala ya 250KV? Kwa nini nimeuliza, nimeona signiture yako hapo chini.
Mkuu ndo utoke huko Nansio ukuje tauni labda nitanufaika kwa kukubebea ngazi na Kasia kwa ujira wa kutosha kununulia parachichiMkuu, Grid yote sasa hivi imetambaa 400KV badala ya 250KV? Kwa nini nimeuliza, nimeona signiture yako hapo chini.