Wakuu habari zenuu,
Mimi hapa ndgu yenu Sasa naingia chuo mwaka wa tatu nasoma diploma ya electrical engineering, naombeni mnisaidie nijikite kweny kipengere gan kizuri zaidi kitacho nifaidisha mtaan baada ya kuhitimu chuo.
Maan electrical engineering Ni Pana Sana, wajuzi wa taaluma hii naombeni mnisaidie
Mimi hapa ndgu yenu Sasa naingia chuo mwaka wa tatu nasoma diploma ya electrical engineering, naombeni mnisaidie nijikite kweny kipengere gan kizuri zaidi kitacho nifaidisha mtaan baada ya kuhitimu chuo.
Maan electrical engineering Ni Pana Sana, wajuzi wa taaluma hii naombeni mnisaidie