Mimi hapaWakuu kuna nafasi za kazi .
Wanahitajika Gradute Engineers (Civil) wawili na Driver mmoja. Engineers wawe wame graduate mwaka jana 2023. Driver awe ana cheti cha NIT na awe amezaliwa kuanzia mwaka 1979 hadi 1988. Tupeane mawasiliano DM.
Kwa hiyo mkuu tuliozaliwa 90s hapa tumeshaangukia puaWakuu kuna nafasi za kazi .
Wanahitajika Gradute Engineers (Civil) wawili na Driver mmoja. Engineers wawe wame graduate mwaka jana 2023. Driver awe ana cheti cha NIT na awe amezaliwa kuanzia mwaka 1979 hadi 1988. Tupeane mawasiliano DM.
Mkuu Yaani ata two years of experience huna afu CV Ina 5pages,, ebu ipunguzeMimi hapa
Water technician?. Ni course mpya?.Water Technician tushituane
Ohooo, syo mpyaWater technician?. Ni course mpya?.
Hio naifahamu mkuu, na najamaa zangu wengi wameajiriwa taasisi za maji, lkn ulivyosema Water technician nikashangaa.Ohooo, syo mpya
Course yake n Water supply and sanitation engineering, inatolewaaa chuo Cha maji Toka miaka ya 70 na kitu, pia inatolewa chuo Cha DIT, pia kw Sasa intolewa Singida tawi la chuo Cha Maji
Kwa ujumla ni Plumber au fundi Bomba ila yeye anakuwa na NTA level 6. Kule veta inaishia trade test au NTA level 3 tu.
🙌🏿🙌🏿🙌🏿, bas cheo chake n Water Technician. Mean Fundi sanifu MajiHio naifahamu mkuu, na najamaa zangu wengi wameajiriwa taasisi za maji, lkn ulivyosema Water technician nikashangaa.
Nipe ramani. Akiitajika🙌🏿🙌🏿🙌🏿, bas cheo chake n Water Technician. Mean Fundi sanifu Maji
Mkuu Yaani ata two years of experience huna afu CV Ina 5pages,, ebu ipunguz
Sawa,Mkuu Yaani ata two years of experience huna afu CV Ina 5pages,, ebu ipunguze